Hebu wamchunguze huyooo mkewe!!
pole sana mzee wangu Mangula.Hii kitu ni zaidi ya majaribu aliyoyapata Ayubu mtu wa Mungu.Damu ya kristo iwafunike wafiwa wote.Mtoto wa kwanza wa Makamu nwenyekiti wa CCM Philip Mangula ,Peter Mangula amefariki Dunia leo asubuhi.
Ntaendelea kuwapa update zaidi
R.I.P Peter Mangula, siso sote mavumbi.
Hakuna kitu kinauma kama mzazi kuzika wanae. Watoto ndio wanatakiwa kuzika wazazi na sio vinginevyo.