Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,554
- 2,160
Pole sana Mzee Mangula,RIEP Peter.
Duh..! Mwaka huu wake Mangula... inasikitisha.
Anawatoa kafala.
CCm ni chama kinachoendeshwa kwa misingi ya tutoana kafala.
Duh, pole sana mzee Mangula. Amefiwa mke, binti, na sasa kijana wake mkubwa. Haya ni mapigo na majribu makuu kwa mzee Mangula.Mtoto wa kwanza wa Makamu nwenyekiti wa CCM Philip Mangula ,Peter Mangula amefariki Dunia leo asubuhi.
Ntaendelea kuwapa update zaidi
R.I.P Peter Mangula, siso sote mavumbi.
Anawatoa kafala.
CCm ni chama kinachoendeshwa kwa misingi ya tutoana kafala.
Anawatoa kafala.
CCm ni chama kinachoendeshwa kwa misingi ya tutoana kafala.