Goodluck Mshana
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,272
- 1,128
Watanzania,
Ni mstuko ndani ya Taifa hili baada ya Mungu kumchukua na kwenda kumhifadhi Mzee wetu Peter Kisumo. Mzee wetu amefariki dakika chache zilizopita.
Tutazidi kuwajuza taratibu zote na baadhi ya Taarifa kadri tutavyobarikiwa kuzipata.
Updates za Taratibu za Mazishi
Ratiba mazishi ya Mzee PK
JUMANNE- August 11
- Heshima za mwisho Dar
- Saa tatu asubuhi
- Karimjee
- safari ya kwenda Moshi
JUMATANO- August 12
- safari Moshi to Usangi
ALHAMISI - August 13
- Misa kanisa kuu Usangi
- Mazishi nyumbani kwa PK
Tunashukuru kwa maombi na faraja katika kipindi hiki kigumu kwa wanafamilia.
Bwana Alitoa na Bwana Ametwa.
Amen!
Ni mstuko ndani ya Taifa hili baada ya Mungu kumchukua na kwenda kumhifadhi Mzee wetu Peter Kisumo. Mzee wetu amefariki dakika chache zilizopita.
Tutazidi kuwajuza taratibu zote na baadhi ya Taarifa kadri tutavyobarikiwa kuzipata.
Updates za Taratibu za Mazishi
Ratiba mazishi ya Mzee PK
JUMANNE- August 11
- Heshima za mwisho Dar
- Saa tatu asubuhi
- Karimjee
- safari ya kwenda Moshi
JUMATANO- August 12
- safari Moshi to Usangi
ALHAMISI - August 13
- Misa kanisa kuu Usangi
- Mazishi nyumbani kwa PK
Tunashukuru kwa maombi na faraja katika kipindi hiki kigumu kwa wanafamilia.
Bwana Alitoa na Bwana Ametwa.
Amen!
RIP Mzee Kisumo.
Mzee Kisumo amefariki akiwa ni mwenyekiti wa barza la wadhamni wa CCM.
Moja ya wosia ambao ameacha lakini ukiwa haukupokwlewa kwa shwari ni kuwaambia wazee wengi walio kwenye chama kwamba hawana budi kuwaachia vijana nafasi.
Mzee Kisumo alipokuwa waziri kwenye serikali ya hayati Mwalimu Nyerere mwaka 1965, Cleopa Msuya alikuwa kamishna katika wizara ya fedha wakti huo, waziri mkuu maehemuRashid Mfaume Kawawa, Michael Kamaliza.
Mzee Kisumo ni miongoni kwa viongozi wane waliojiuzulu mwezi January nwaka 1977 baada ya kashfa ya mauaji huko katika mikoa ya shinyanga na Mwanza. Mzee Alhaji Ali Hassan Mwinyi alijiuzulu nafasi ya uwaziri wa mambo ya ndani, Mzee Siyovelwa nae akiwa waziri wa usalama wa taifa Ikulu nae akajiuzulu, hali kadhalika mzee Peter Kisumo akiwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga na Marco Mabawa akiwa mkuu wa mkoa wa Mwanza.
Baada ya hapo Mwalimu akafanya mabadiliko kwenye baraza lake la mawaziri kama ifuatavyo:
Waziri Mkuu: Edward Sokoine
Mambo ya Nje : Ben Mkapa
Ulinzi: Rashidi Kawawa
Waziri wa Fedha : Edwin Mtei
Waziri wa Ujenzi: Alfred Tandau
Maliasili: Solomon Ole Saibul
Waziri wa Kazi : Crispin Tungaraza
Kilimo: John Malecela
Ardhi: Tabitha Siwale
Elimu: Nicholas Kuhanga
Sheria : Julie Manning
Habari na Utangazaji : Isaac Sepetu
Utamaduni na Michezo: Mirisho Sarakikya
Mawasiliano : Amir Jamal
Biashara : Alphonse Rulegura
Mambo ya ndani : Nassor Moyo
Waziriwa mitaji : Hasnu Makame
Afya : Leader Stirling
Maji : Al-Noor Kassum
Viwanda : Cleopa Msuya
Utumishi : Abel Mwenga
Ilikuwa kazi kazi tu.