Tanzia: Mzee Peter Kisumo afariki Dunia

Tanzia: Mzee Peter Kisumo afariki Dunia

lo jaman juzi tu kasherekea miaka 80 ya kuzaliwa lo Mungu ampumzishe mzee wetu
 
Alikuwa mzee poa sana. Nilikutana naye kwenye hospitali fulani nje ya nchi na kukaa naye kama wiki mbili. Jamaa alikuwa anapenda sana kuongea kiingereza. Lakini alijawa hekima. Siku zote niliponana naye alikuwa akinishika mkono kwa muda bila kuuachia akiomba assurance kama atakuwa salama. Kama nakumbuka vizuri alikuwa ana matatizo kwenye moyo na figo. Bila shaka ni hayohayo yaliyomuua.
Yeye ni kati ya watanzania wachache waliokuwa na uwezo wa kwenda nje ya nchi (kwa gharama za serikali na yeye binafsi) na kupata huduma bora na za kisasa, la sivyo angekuwa ni ordinary citizen angekuwa kafariki zamani sana. RIP Mzee Peter Kisumo.

Mkuu wewe utakuwa mtu wa hadhi yake maana kwa sisi tuliowai kuwa karibu yake Hamna mtu aliyekuwa na makidai kama Kisumo
 
R.I.P Mzee peter Kisumo
(Huyu mzee alikuwa mwenyekiti wa bodi ya wadhamini ya CCM )

Hapa amzee Peter Kisumo alikuwa hosp
na profesa Mwandosya huko India.

a26508d81dL.jpg
Peter%20Kisumo%281%29.jpg
IMG_0783.JPG
PC24.jpg
 
Last edited by a moderator:
R.I.P MZEE KISUMO baba mlezi wa Jk na Lowassa kisiasa.

Jk lowassa uso kwa macho msibani,can't wait to c the reaction za marafiki hawa wa zamani.

kwahiyo hapo msibani watkutana
MKATAJI (Vasco d gama)
MKATWAJI (Babu mamvi)
MEMBA WA KITENGO (Ben, Malecela, warioba, karume, etc).
WAPAMBE ( Kingunge, mgeja, etc..)
Sijui itakuwaje hapo...?
 
Pole zetu kwa familia yake! RIP Mzee Peter Kisumo!!
 
Mzee alikuwa mkal na mkwel sana. Ana mwanae bangi mtu anaitwa fred kwenye msiba wa mkewe kikwete alitaka kumpa fred udc mzee akachomoa na kumwambi kikwete kuliko kumpa fred udc heri ampe mathewa (kichaa maarufu pale usang) ila Pale juu ngujin usang home kwakwe ni pa finyu sana labda msiba ufanyikie pale uwanja wa uvtc
kwahiyo hapo msibani watkutana
MKATAJI (Vasco d gama)
MKATWAJI (Babu mamvi)
MEMBA WA KITENGO (Ben, Malecela, warioba, karume, etc).
WAPAMBE ( Kingunge, mgeja, etc..)
Sijui itakuwaje hapo...?
 
Back
Top Bottom