Alikuwa mzee poa sana. Nilikutana naye kwenye hospitali fulani nje ya nchi na kukaa naye kama wiki mbili. Jamaa alikuwa anapenda sana kuongea kiingereza. Lakini alijawa hekima. Siku zote niliponana naye alikuwa akinishika mkono kwa muda bila kuuachia akiomba assurance kama atakuwa salama. Kama nakumbuka vizuri alikuwa ana matatizo kwenye moyo na figo. Bila shaka ni hayohayo yaliyomuua.
Yeye ni kati ya watanzania wachache waliokuwa na uwezo wa kwenda nje ya nchi (kwa gharama za serikali na yeye binafsi) na kupata huduma bora na za kisasa, la sivyo angekuwa ni ordinary citizen angekuwa kafariki zamani sana. RIP Mzee Peter Kisumo.
R.I.P MZEE KISUMO baba mlezi wa Jk na Lowassa kisiasa.
Jk lowassa uso kwa macho msibani,can't wait to c the reaction za marafiki hawa wa zamani.
Hapana mkuu. Labda aliingia anga zangu tu.Mkuu wewe utakuwa mtu wa hadhi yake maana kwa sisi tuliowai kuwa karibu yake Hamna mtu aliyekuwa na makidai kama Kisumo
kwahiyo hapo msibani watkutana
MKATAJI (Vasco d gama)
MKATWAJI (Babu mamvi)
MEMBA WA KITENGO (Ben, Malecela, warioba, karume, etc).
WAPAMBE ( Kingunge, mgeja, etc..)
Sijui itakuwaje hapo...?