kedrick
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 5,320
- 5,390
Sio kajipost watu wanatoa salam za rambirambi zao kwny page ykwpage yake mwenyewe au inamaana alijipost mwenyewe kwamba kafariki
Sio kajipost watu wanatoa salam za rambirambi zao kwny page ykwpage yake mwenyewe au inamaana alijipost mwenyewe kwamba kafariki
Asante kwa picha kiongozi
Acha mambo yako wapi aliposema amefariki kwenye stage?Mkuuu anasema amefariki akiwa kwenye stage ndo nikaomba picha au video ili tuthibitishe. R. I. P
Ukweli ni kwamba Papa Wemba amefariki. Alikuwa akitumbuiza akadondoka ghafla kwenye stage huku wanamuziki wengine wakiwa wanaendelea na utumbuizaji. Hata mtandao wa BBC wameandika muda mfupi uliopita huku wakisema wataweka updates zaidi.PAPA WEMBA IS NOT DEAD!!!
Following reports that have circulating on Social media, we would like to confirm that Papa Wemba is still alive and kicking. His latest tweet says: "Je ne suis pas mort." which means "I am not dead." It is another of those scams that announce the death of popular personalities.
Papa Wemba was born Jules Shungu Wembadio Pene Kikumba in 1949 in Lubefu (Sankuru District, Democratic Republic of Congo). He is a Congolese rumba (later known as soukous) musician, one of Africa's most popular musicians, and prominent in world music.