nI MWENYEWE KABISA...PakaJimmy, jana nimekusoma sikujua kama ni Saimon, sitaki kuamini kabisa,uwiiiiiii. juzi asubuhi nilikuwa ofisini kwake tukanywa na chai, jana jioni napigiwa simu Sai ametutoka, haki ya nani nimechoka kabisa.
nI MWENYEWE KABISA...
Kumbe ulikuwa unamfahamu?
PakaJimmy, bro wangu wacha tu, sitaki kuamini kama baba tony hayupo, hilo sitaliamini mpaka nimuone mara ya mwisho, hiyo juzi alinical alikuwa na shida fulani na me, nilikuwa EAC ikawa karibu kufika ofisini kwake, ndio nikamkuta anakunywa chai na mie nikaunga, tukaongea weee, leo saa tano ndio tulikuwa tuonane kwa ajili ya hiyo ishu tuliyoiongelea, wacha tu, shock niliyoipata jana sijui niielezee vipi, vizuri vinakwenda, yaani Sai alivyokuwa mtu wa watu/roho nzuri/kusaidia watu basi tu,nimelia nimechoka.
Nimepigiwa simu jioni hii, dakika kadha zilizopita kuwa Mwanajamvi mwenzetu anayekwenda kwa ID ya wasaimon amefariki dunia muda kama dakika 45 zilizopita, katika hospitali ya Selian hapa Arusha, na sasa hivi ndiyo anaingizwa chumba cha ubaridi.
:A S cry::A S cry:
Taarifa hizo zinasema kuwa amenguka akiwa katika harakati za kuonana na Daktari, akiwa amesindikizwa na baba yake mzazi.
Wasaimon alijiunga na jamvi 6.10.2010.
Binafsi nilikuwa nafahamiana sana na wasaimon, alikuwa ni mtu wa kutoa ushauri wa hekima sana kuhusiana na maisha ya miaka hii, na alikuwa mpiganaji asiyechoka, akitumikia kampuni mojawapo ya Tours mjini Arusha. Naelekea msibani, nitawajuza kinachojiri.
wasaimon alivinjari hapa majukwaani hadi juzi 14.01.2013, na naambiwa kuwa hadi jana alikuwa mzima wa afya.
Ameacha Mke na watoto 3.
Mungu Ilaze Roho ya Marehemu wasaimon Mahala Pema Peponi.
Baadhi ya comment za wanajamvi:
1.Janjaweed![]()
he was positive, God fearing, blessed na wa kupeana moyo. Its a loss, hasa kwa wakati huu ambao JF imejawa zaidi na watu type yangu
2.KABOBA
kaka hayo hapo juu ndio maneno yako ya mwisho kwangu! Akilini kwangu yatakaa! Na moyoni kwangu nitayaweka ,,nitajitahidi kwa nguvu zangu zote na kwa akili zangu zote na kwa moyo wangu wote nihudhurie mazishi yako! Japo nikuone kwa mara ya kwanza na ya mwisho ndugu yangu! Ulale salama wasaimon!
Pole dadaangu. Hata mimi unipe pole maana amekuwa mtu wangu wa karibu mno, isingewezekana zipite cku 3hatujawasiliana. alikuwa na mipango mingi mno ya future kiasi nahofia kama wife wake anaijua yote.
Umeshasikia kuwa mazishi ni Jumamosi?
RIP BRODA WASAIMN.
PakaJimmy, jana nimekusoma sikujua kama ni Saimon, sitaki kuamini kabisa,uwiiiiiii. juzi asubuhi nilikuwa ofisini kwake tukanywa na chai, jana jioni napigiwa simu Sai ametutoka, haki ya nani nimechoka kabisa.