Tanzia: Mwanajamvi afariki Dunia.

Tanzia: Mwanajamvi afariki Dunia.

PakaJimmy, jana nimekusoma sikujua kama ni Saimon, sitaki kuamini kabisa,uwiiiiiii. juzi asubuhi nilikuwa ofisini kwake tukanywa na chai, jana jioni napigiwa simu Sai ametutoka, haki ya nani nimechoka kabisa.
 
PakaJimmy, jana nimekusoma sikujua kama ni Saimon, sitaki kuamini kabisa,uwiiiiiii. juzi asubuhi nilikuwa ofisini kwake tukanywa na chai, jana jioni napigiwa simu Sai ametutoka, haki ya nani nimechoka kabisa.
nI MWENYEWE KABISA...
Kumbe ulikuwa unamfahamu?
 
rip wasaimon, usamehewe makosa yako kwa HURUMA YAKE MUUMBA WETU, akupumzishe kwa amani, AMEN!
 
nI MWENYEWE KABISA...
Kumbe ulikuwa unamfahamu?

PakaJimmy, bro wangu wacha tu, sitaki kuamini kama baba tony hayupo, hilo sitaliamini mpaka nimuone mara ya mwisho, hiyo juzi alinical alikuwa na shida fulani na me, nilikuwa EAC ikawa karibu kufika ofisini kwake, ndio nikamkuta anakunywa chai na mie nikaunga, tukaongea weee, leo saa tano ndio tulikuwa tuonane kwa ajili ya hiyo ishu tuliyoiongelea, wacha tu, shock niliyoipata jana sijui niielezee vipi, vizuri vinakwenda, yaani Sai alivyokuwa mtu wa watu/roho nzuri/kusaidia watu basi tu,nimelia nimechoka.
 
PakaJimmy, bro wangu wacha tu, sitaki kuamini kama baba tony hayupo, hilo sitaliamini mpaka nimuone mara ya mwisho, hiyo juzi alinical alikuwa na shida fulani na me, nilikuwa EAC ikawa karibu kufika ofisini kwake, ndio nikamkuta anakunywa chai na mie nikaunga, tukaongea weee, leo saa tano ndio tulikuwa tuonane kwa ajili ya hiyo ishu tuliyoiongelea, wacha tu, shock niliyoipata jana sijui niielezee vipi, vizuri vinakwenda, yaani Sai alivyokuwa mtu wa watu/roho nzuri/kusaidia watu basi tu,nimelia nimechoka.

Pole dadaangu. Hata mimi unipe pole maana amekuwa mtu wangu wa karibu mno, isingewezekana zipite cku 3hatujawasiliana. alikuwa na mipango mingi mno ya future kiasi nahofia kama wife wake anaijua yote.
Umeshasikia kuwa mazishi ni Jumamosi?
RIP BRODA WASAIMN.
 
Nimepigiwa simu jioni hii, dakika kadha zilizopita kuwa Mwanajamvi mwenzetu anayekwenda kwa ID ya wasaimon amefariki dunia muda kama dakika 45 zilizopita, katika hospitali ya Selian hapa Arusha, na sasa hivi ndiyo anaingizwa chumba cha ubaridi.
:A S cry::A S cry:

Taarifa hizo zinasema kuwa amenguka akiwa katika harakati za kuonana na Daktari, akiwa amesindikizwa na baba yake mzazi.

Wasaimon alijiunga na jamvi 6.10.2010.

Binafsi nilikuwa nafahamiana sana na wasaimon, alikuwa ni mtu wa kutoa ushauri wa hekima sana kuhusiana na maisha ya miaka hii, na alikuwa mpiganaji asiyechoka, akitumikia kampuni mojawapo ya Tours mjini Arusha. Naelekea msibani, nitawajuza kinachojiri.
wasaimon alivinjari hapa majukwaani hadi juzi 14.01.2013, na naambiwa kuwa hadi jana alikuwa mzima wa afya.
Ameacha Mke na watoto 3.

Mungu Ilaze Roho ya Marehemu wasaimon Mahala Pema Peponi.

Baadhi ya comment za wanajamvi:

1.
user-online.png
Janjaweed
he was positive, God fearing, blessed na wa kupeana moyo. Its a loss, hasa kwa wakati huu ambao JF imejawa zaidi na watu type yangu

2.
user-online.png
KABOBA

kaka hayo hapo juu ndio maneno yako ya mwisho kwangu! Akilini kwangu yatakaa! Na moyoni kwangu nitayaweka ,,nitajitahidi kwa nguvu zangu zote na kwa akili zangu zote na kwa moyo wangu wote nihudhurie mazishi yako! Japo nikuone kwa mara ya kwanza na ya mwisho ndugu yangu! Ulale salama wasaimon!​



UPDATE1.
Mpaka sasa hivi (0940am)wanasubiriwa Baba zake wakubwa na wadogo ili wafanye kikao cha maamuzi ya mahala pa kuzika(kuna option mbili, kuzika Arusha au Kusafirisha kwenda kwao Mbeya).
Pia aliyekuwa Mwajiri wake yuko njiani tokea Nairobi, anakuja kusaidiana na familia kupanga hatima ya marehemu.







UPDATE 2.
MAZISHI NI KESHO-KUTWA JUMAMOSI HAPAHAPA ARUSHA,NADHANI KWENYE PUBLIC CEMETRY NJIRO. MTAKAOWEZA TAFADHALI TUWE PAMOJA SIKU HIYO.[/QUOTE]

samahani sijaweza kusoma post zote ili nijue kama ulishaelekeza msiba ulipo! ni kijenge maeneo gani PakaJimmy!
 
Last edited by a moderator:
Pole dadaangu. Hata mimi unipe pole maana amekuwa mtu wangu wa karibu mno, isingewezekana zipite cku 3hatujawasiliana. alikuwa na mipango mingi mno ya future kiasi nahofia kama wife wake anaijua yote.
Umeshasikia kuwa mazishi ni Jumamosi?
RIP BRODA WASAIMN.

pole sana Bro wangu,nimeenda mchana msibani but nikashidwa kabisa kuingia nikaishia bondeni bar huku, nilisikia watu wakisema ni jmosi but sikuuliza wapi coz nilijua nitajua tu kwa namna yoyote ile, kuhusu mama Tony ndio alinifanya nikashindwa kuingia mana naambiwa akiingia mtu anaemjua inakuwa balaa, sina cha kusema kuhusu mama Tony,Mungu ampe nguvu/ujasiri, siwezi kusema sijui ataanzia wapi Mungu mwenyewe ana makusudi yake, roho inaniuma zaidi kwa Tony, alivyopambana kumtafutiaa shule nyingine ili amtoe kata, amepata hajapelekwa Sai kaondoka, yaani my bro, imeniuma sana sana sana, sina maelezo kabisa, na jana mida ya saa 4 nilikuwa kwenye kikao nikakuta missed call yake nikajua ananikumbushia kumtafuta huyo mtu tuliekuwa tuna shida nae leo so sikupiga nikijua nimeshamaliza hiyo ishu ni suala la kukutana, laiti ningemcal niongee nae ya mwisho., R.I.P my Bro Sai, sijui kama nitamsahau kirahisi, nikipata shida najua nina wa kumtafuta chap na nikatatuliwa chap, Mungu anajua kwanini.
 
Back
Top Bottom