Tanzia: Mwanajamvi afariki Dunia.

Tanzia: Mwanajamvi afariki Dunia.




samahani sijaweza kusoma post zote ili nijue kama ulishaelekeza msiba ulipo! ni kijenge maeneo gani PakaJimmy!
Msiba uko Kijenge Kati, Bondeni Bar. Ukifika kwenye hiyo Bar unaendelea na kibarabara mojakwa moja hatua kama50 tu unakuta nyumba ya msiba, ambako ni kwa baba yake mzazi! Ni rahisi sana kufika.
 
Sad news. Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina la Bwana libarikiwe. Dah kwa sababu nipo Arusha nitajitahidi nihudhurie mazishi.
 
Pumzika kwa amani Ndugu Wasaimon. Cha muhimu ni sisi tuliobaki kujiuliza, je tumejiandaaje? Kifo ki mlangoni mda wote. R.I.P
 
Hakuna aliyeahidiwa kesho ..

Pumzika kwa Amani na Radhi za mwenyezi Mungu Zikulinde uko ulipo.

Amen.
 
Pumzika kwa amani ndugu yetu wasaimoni umetangulia tutafuata. Kifo hakizoeleki jamani sikia kwa jirani yakikukuta ni machungu sana kuondokewa na mpendwa.
 
RIP Wasaimoni. Tutakumbuka michango yako jamvini
 
R.I.P. Mdau mwanga wa milele ukuangaze. Amina
 
Mwalimu Rabbi; Ni nini kinakufanya unashindwa kuwa na Arusha wing member?
Ama tuseme wewe ni zaidi ya sisi?
Tafakari kwa upya na tunakukaribisha kwetu kwa mikono miwili.

CC;
PakaJimmy
Filipo
Mzee wa Rula
Mtumishi Wetu
Derimto
Babaubaya

Mwalimu Rabbi Nakuomba uwaone member tajwa hapo juu na uwe kampan moja kwani hakika inapendeza kuliko kuwa kimya Mkubwa!

Salaam zangu ziwafikie
Ndallo
Ngongo
DALLAI LAMA
Azimio Jipya
Thomas Odera
SOKON 1
Nyamayao
Mr Rocky
Bushbaby
KABOBA
Mchaka Mchaka

Na wengine wenyeji waje na wanakaribishwa!


Sad news. Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina la Bwana libarikiwe. Dah kwa sababu nipo Arusha nitajitahidi nihudhurie mazishi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom