pole sana Bro wangu,nimeenda mchana msibani but nikashidwa kabisa kuingia nikaishia bondeni bar huku, nilisikia watu wakisema ni jmosi but sikuuliza wapi coz nilijua nitajua tu kwa namna yoyote ile, kuhusu mama Tony ndio alinifanya nikashindwa kuingia mana naambiwa akiingia mtu anaemjua inakuwa balaa, sina cha kusema kuhusu mama Tony,Mungu ampe nguvu/ujasiri, siwezi kusema sijui ataanzia wapi Mungu mwenyewe ana makusudi yake, roho inaniuma zaidi kwa Tony, alivyopambana kumtafutiaa shule nyingine ili amtoe kata, amepata hajapelekwa Sai kaondoka, yaani my bro, imeniuma sana sana sana, sina maelezo kabisa, na jana mida ya saa 4 nilikuwa kwenye kikao nikakuta missed call yake nikajua ananikumbushia kumtafuta huyo mtu tuliekuwa tuna shida nae leo so sikupiga nikijua nimeshamaliza hiyo ishu ni suala la kukutana, laiti ningemcal niongee nae ya mwisho., R.I.P my Bro Sai, sijui kama nitamsahau kirahisi, nikipata shida najua nina wa kumtafuta chap na nikatatuliwa chap, Mungu anajua kwanini.