TANZIA: Mwana JF amefariki dunia

TANZIA: Mwana JF amefariki dunia

poleni sana wafiwa na mleta mada, RIP jf member, we are very sorry for that, mods, sijui kuna utaratibu gani kwa tukio kama hili kwa sisi kama members?
 
Kwa kuwa kila nafsi hai itaonja mauti nichukue fursa hii kumtakia pumziko la milele mwenzetu aliyekwisha kutwaliwa na niwape pole ndugu, jamaa na marafiki walioguswa kwa namna moja ama nyingine na msiba huu...
 
Kaka imekuwaje unanipa pole mimi!?

Nimepitia profile ya marehemu nikakuta wewe ndio rafiki yake peke yake hapa JF!

[h=1]Kanjunju
user-offline.png

Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
[/h]



Join Date8th October 2010Last Activity15th October 201322:13Avatar
unknown.gif





[h=5]More1 Friend[/h]

  • [*=center] [h=6]Riwa[/h]

    [*=center]


 
So sorry!

kweli wana jf ni muhimu sana unakuwa angalau na watu wawili watatu ambao mnafahamiana katikaulimwengu wa kawaida, inakuwa rahisi kupashana habari.

upo sahihi mkuu, hili limeshawahi kuongelewa humu. RIP kanjunju.
 
Back
Top Bottom