Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
dah! watanzania udini umefika pabaya sana
.......... hasa unapo ambatana na dharau na udhalilishaji wa wengine ! Red Giant
Last edited by a moderator:
dah! watanzania udini umefika pabaya sana
Muda wote aliwahimiza Waisilamu wasilalamike kuwa wakristu wanapendelewa bali nao wajitahidi kusoma Elimu ya dunia ili waweze kuajiliwa kama wengine. Pia amekuwa mtu wa kutatua migogoro ya waisilam kama msikiti wa Mtoro n.k. Kwa waislam wengi amekuwa mbaya lakini ni mtu aliyetaka kusuruisha migogoro
..... we mnafiki MATHIAS KABYEMERA tuna hoji ile 'Parokia ya Necta' inayokata majina Waislaam.
Hakuna maeneo yanayoishi Waislaam ambayo wazazi wamefikishwa Mahakamani kwa watoto wao kuto pelekwa shule. hizo Kesi tunazikikia huko Bara. Hivyo koma na unafiki wako !
Debe tupu haliachi kutika!!!..... we mnafiki MATHIAS KABYEMERA tuna hoji ile 'Parokia ya Necta' inayokata majina Waislaam.
Hakuna maeneo yanayoishi Waislaam ambayo wazazi wamefikishwa Mahakamani kwa watoto wao kuto pelekwa shule. hizo Kesi tunazikikia huko Bara. Hivyo koma na unafiki wako !
Acha upumbavu weye NECTA waita parokia? mnafeli kwa ujinga wenu halafu mnaisingizia NECTA mpuuzi Sana wewe!!
Debe tupu haliachi kutika!!!
Kichwani umejaza viwavii ndiyo sababu huishi kuwashwa kichwa!!!
dah! watanzania udini umefika pabaya sana
..... we mnafiki MATHIAS KABYEMERA tuna hoji ile 'Parokia ya Necta' inayokata majina Waislaam.
Hakuna maeneo yanayoishi Waislaam ambayo wazazi wamefikishwa Mahakamani kwa watoto wao kuto pelekwa shule. hizo Kesi tunazikikia huko Bara. Hivyo koma na unafiki wako !
wacha up..umb..avu
Mimi NI MKRISTO (RC) huwa namkubali sana Mufti pamoja na sheik mkuu wa Dar-es-salaam wote wawili hawa wanaupeo wa hali ya juu sana hakika tumepoteza mtu muhimu sana, R.I.P Sheikh mkuu wa tanzania ,MUFTI ISSA BIN SHAABAN SIMBA.
System inamwandaa sheikh Alhadi Mussa Salum kuwa mufti....
Wapenda Amani wote tumuunge mkono ndugu Alhadi ni mstaarabu Sana na atafiti vizuri nafasi ya u mufti....
CC: Ritz FaizaFoxy sakni Pol Pot Ally Kombo et al
Mimi NI MKRISTO (RC) huwa namkubali sana Mufti pamoja na sheik mkuu wa Dar-es-salaam wote wawili hawa wanaupeo wa hali ya juu sana hakika tumepoteza mtu muhimu sana, R.I.P Sheikh mkuu wa tanzania ,MUFTI ISSA BIN SHAABAN SIMBA.