TANZIA: Mufti Issa Shaaban Bin Simba afariki Dunia

TANZIA: Mufti Issa Shaaban Bin Simba afariki Dunia

Angalia kurasa hizi za magazeti haya ya leo Juni 16, 2015 kisha soma uandishi kuhusu Kifo cha Sheikh Simba (na mazishi yake). Huo utofauti wa habari umesababishwa na nini wakati taarifa ilotolewa ni moja?

hawa wana habari zao;
Jambo Leo: Atazikwa Shinyanga Alhamisi (Juni 18, 2015)
Majira: Atazaikwa Oktoba 18
attachment.php
attachment.php


na hawa wana yao;
Uhuru: Atazikwa Leo (Juni 16, 2015)
Habari Leo: Atazikwa Loe (Juni 16, 2015)
attachment.php

attachment.php
 
Huyo wa Majira nafikiri ni typing error!, Jambo leo nafikiri walikuwa hawajapata tamko la mwisho la familia na serikali, maana kuliwa na mvutano kidogo kuhusu siku na mahali pa kuzikwa.
 
Huyo wa Majira nafikiri ni typing error!, Jambo leo nafikiri walikuwa hawajapata tamko la mwisho la familia na serikali, maana kuliwa na mvutano kidogo kuhusu siku na mahali pa kuzikwa.
hao Jambo Leo kwa nini wasingesubiri?
 
Huyo wa Majira nafikiri ni typing error!, Jambo leo nafikiri walikuwa hawajapata tamko la mwisho la familia na serikali, maana kuliwa na mvutano kidogo kuhusu siku na mahali pa kuzikwa.
hahaha! au Majira wanawaza uchaguzi tu!!? oktoba
 
Mimi NI MKRISTO (RC) huwa namkubali sana Mufti pamoja na sheik mkuu wa Dar-es-salaam wote wawili hawa wanaupeo wa hali ya juu sana hakika tumepoteza mtu muhimu sana, R.I.P Sheikh mkuu wa tanzania ,MUFTI ISSA BIN SHAABAN SIMBA.

Naona wengi kama wewe wanamlilia sannna kwa sababu mlikuwa na maslahi nae.Sisi waislamu tunamlilia mtu aliyeacha athari(FAIDA)kwetu .Watu kama hawa chini

SHEKH MOHAMED AYYUB
SHEKH MOHAMED RAMIA
SHEKH NURDIN HUSEIN
SHEKH ILUNGA HASSAN
MUFT wa kwanza SHEKH HASSAN BIN AMIR
SHEKH SHARIF JUNEID
SHEKH NASSOR BACHU
SHEKH ALI MZEE KOMORIA
Wapo wengi sana nafasi haitoshi lakini Mungu ndo anajua zaidi anvyowapokea
katika uislamu mtu akifa mambo yake yote hufa isipokuwa mambo matatu .
1:WATOTO WEMA WENYE KUMUOMBE DUA MZAZI: Sio unaacha walevi,wazinzi hata ibada au maombi yoyote hawafanyi
2:ELIMU YENYE KULETA MANUFAA..:Awe amefundisha elimu yoyote na ikaleta faida kizazi hadi kizazi
3:SWADAKA YENYE KUENDELEA:Ni sadaka ambayo itaendelea kutumika kwa faida ya umma na mungu kama shule,madrasa ,kisima nyumba itakayotumika ktk mambo ya mungu au ktk jamii lakini isiyo yenye maasi mfano ni wakfu. Hapa sio ubwabwa unakula baada ya masaa matatu ..unaenda......
Hayo ndio mambo matatu ambayo mtu yeyote akifa yanaendelea kumpa thawabu.
mungu amuweke mahala panapostahili
amin!!
 
Kuna watu wapo humu JF huchangia thread za kidini tu. Ndiyo hao wanaobadilisha thread za siasa na kuzifanya za kidini!!

Mufti ni Kiongozi wa kidini na si wa kisiasa hivyo hii mada ni ya kidini zaidi
Kinyume chake ndio inabadilishwa kuwa ya kisiasa.
 
Naona wengi kama wewe wanamlilia sannna kwa sababu mlikuwa na maslahi nae.Sisi waislamu tunamlilia mtu aliyeacha athari(FAIDA)kwetu .Watu kama hawa chini

SHEKH MOHAMED AYYUB
SHEKH MOHAMED RAMIA
SHEKH NURDIN HUSEIN
SHEKH ILUNGA HASSAN
MUFT wa kwanza SHEKH HASSAN BIN AMIR
SHEKH SHARIF JUNEID
SHEKH NASSOR BACHU
SHEKH ALI MZEE KOMORIA
Wapo wengi sana nafasi haitoshi lakini Mungu ndo anajua zaidi anvyowapokea
katika uislamu mtu akifa mambo yake yote hufa isipokuwa mambo matatu .
1:WATOTO WEMA WENYE KUMUOMBE DUA MZAZI: Sio unaacha walevi,wazinzi hata ibada au maombi yoyote hawafanyi
2:ELIMU YENYE KULETA MANUFAA..:Awe amefundisha elimu yoyote na ikaleta faida kizazi hadi kizazi
3:SWADAKA YENYE KUENDELEA:Ni sadaka ambayo itaendelea kutumika kwa faida ya umma na mungu kama shule,madrasa ,kisima nyumba itakayotumika ktk mambo ya mungu au ktk jamii lakini isiyo yenye maasi mfano ni wakfu. Hapa sio ubwabwa unakula baada ya masaa matatu ..unaenda......
Hayo ndio mambo matatu ambayo mtu yeyote akifa yanaendelea kumpa thawabu.
mungu amuweke mahala panapostahili
amin!!

Naamini Mufti alikuwa mtu mwenye hekima, upendo na busara ndio maana nikasema tutamkumbuka hata sisi wakristo kwa mchango wake katika jamii ya Watanzania na nina uhakika mahali anapostahili ni mahali pema peponi -AMINA
 
Naamini Mufti alikuwa mtu mwenye hekima, upendo na busara ndio maana nikasema tutamkumbuka hata sisi wakristo kwa mchango wake katika jamii ya Watanzania na nina uhakika mahali anapostahili ni mahali pema peponi -AMINA

nahisi na wewe ni wale waliokuwa wanakwenda kufanyiwa mambo kwake
 
Angalia kurasa hizi za magazeti haya ya leo Juni 16, 2015 kisha soma uandishi kuhusu Kifo cha Sheikh Simba (na mazishi yake). Huo utofauti wa habari umesababishwa na nini wakati taarifa ilotolewa ni moja?

hawa wana habari zao;
Jambo Leo: Atazikwa Shinyanga Alhamisi (Juni 18, 2015)
Majira: Atazaikwa Oktoba 18
attachment.php
attachment.php


na hawa wana yao;
Uhuru: Atazikwa Leo (Juni 16, 2015)
Habari Leo: Atazikwa Loe (Juni 16, 2015)
attachment.php

attachment.php

Huyo wa Majira nafikiri ni typing error!, Jambo leo nafikiri walikuwa hawajapata tamko la mwisho la familia na serikali, maana kuliwa na mvutano kidogo kuhusu siku na mahali pa kuzikwa.

Ilipangwa kweli azikwe alhamisi lakini familia ilikuja juu kwa kutaka asicheleweshwe kuzikwa
 
Ilikuwa Shinyanga mazishi ya Mufti.

Kama zoezi dogo kashindwa kukagua gwaride ugenini itakuwa aibu kwa Watanzania wote

Source ITV habari jana
 
Sasa Kama Hilo tu limemshinda je huo comanda in chief atauweza.? Akipigiwa mizinga miwili tu si anaweza anguka
 
Ueleweki. Mods tafadhali mtupeni kapuni huyu..

Cookie
 
Last edited by a moderator:
Mods toa hii uzi haina ukweli,na ikiwezekana piga life bann hii mutu
 
  • Thanks
Reactions: PPM
Ilikuwa Shinyanga mazishi ya Mufti.

Kama zoezi dogo kashindwa kukagua gwaride ugenini itakuwa aibu kwa Watanzania wote

Source ITV habari jana

Upotoshaji siyo mzuri, Na ndiyo maana umehamua kutumia ID yako mpya ili upotoshe vizuri, kama unadhani unachosema ni kweli tumia ID yako ya zamani ili upigwe life ban
 
Sasa hii nayo ni nini jamani?

Tujadiri nini hapa sasa? Nani kashindwa kuweka huo udongo? Kwashindwashindwaje? Hana nguvu au imani inambana? Hivi kwanini mnashindwa kutoa habari timilifu ili ijadiriwe kitimilifu jamani? Kama hujui namna ya kuandika na kuhariri habari kwa kiwango chako, hebu wasimulie baadhi ya waleta habari hapa unaowafahamu nao watawasilisha vile utakavyotaka iwasili..!!

Mambo ya kukurupuka mnatulia Mb zetu kwa kufungua kitu kisichoeleweka, aaiiighhhh..!!

BACK TANGANYIKA
 
Back
Top Bottom