kelao
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 8,132
- 5,808
nataka kujua wametumia kigezo gani kumzika alhamis naanza kukosa iman wanatuelimisha hivi wao wanafanyavile
Taarifa za uhakika na zenye nguvu ni kuwa muft Simba atazikwa kesho siku ya j'4 baada ya swala ya mchana..