Binafsi nimeshangaa wanavyokashifu. Hata kama imani hairuhusu kutoa CV, siamini kama mafundisho hayo yanashauri kukashifu. Naomba kuuliza, je kwenye msiba haitasomwa hiyo CV??? Kama itasomwa, je ni kosa kwa mtu kuiomba??? Nimeshangazwa sana![/
Msiba wa kiislam ni ibada ilio na matendo maalum.anapo fariki muislm tumeamrishwa kumuombea duwa na kutaja matendo yake mema haya ndio yatakayo msaidia yeye mbele ya Allah pia yatatusidia sisi tuliobaki ama Cv kwa maiti wa kiislam haina nafasi,wala hatukuamrishwa hilo. labda hilo linanafasi mbele ya bwana yesu.Cv zinaweza kukunusuru na adhabu ya kaburi kama zikitajwa mazikoni