Sio kiongozi mkuu wa waislam ni kiongozi mkuu wa bakwata
Mod naomba uzi huu uachwe uelee wenyewe kwani kuna mafunzo makubwa ndani yake.
Nimemsikia kupitia Radio DW Sheikh mkuu wa Dar akisema mazishi ya Mufti yatafanyima Shinyanga siku ya alhamisi.HILI limenistua mno na naomba wasomi wa kiislamu waje watusaidie kuwa hili ni katika itikadi ya kiislamu au la.Kiongozi wa dini kufariki asubuhi ya leo na kuzikwa alhamisi tena Shinyanga.
Kipi kimezuia asizikwe leo au hata kesho asubuhi?
Kisheria anatambulika kama mkuu wa waislam wote Tanzania, uwe unamkubali au humkubali yeye ndie kiongozi mkuu wa waislam wote Tanzania.
Hakuna mwingine anaetambulika kisheria kama kiongozi wa waislam.
Poleni jamani waislam wote. Vile vile ni msiba wa wote. Mwenye picha ake plizz akiwa hai
Hapana siyo kiongozi wa waislamu wote tanzania.Katiba ya bakwata ipo wazi kabisa,ndio maana ndani ya bakwata hakuna Shia,Answar Suna,Ismailia koja,wale wa pale kitumbini na wengi wengine.