Nguvu ya Hoja
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 276
- 125
Nimeingia ofisi moja binafsi hapa jijini Mwanza nikiwa nahitaji kufanya shughuli fulani,ila nikaambiwa kuwa ofisi inafungwa kwa vile mufti wa Tanzania kafariki,wakasema wanafunga ofisi kufuatilia zaidi habari hizo,naomba kabla sijageuza kurudi Dar mwenye taarifa kamili atujulishe tafadhali,ili kama sio kweli niendelee kuwasubiri tukamilishe kazi yetu.