Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,988
Ndugu wanaJF Salam,
Taarifa zilizonifikia hivi punde ni kwamba mwanaJF mwenzetu ndugu Mtambuzi amefiwa na mama mkwe muda mfupi uliopita.
Mama mkwe wa Mtambuzi amefikwa na mauti akiwa amelazwa katika hospitali ya St. Thomas iliyoko jijini Arusha.
Tutaendelea kufahamishana juu ya taratibu za mazishi. Kwa members wa JF mlioko Arusha support yenu katika kipindi hiki ni muhimu sana.
Natoa pole kwa Mzee Mtambuzi pamoja na familia, ndugu jamaa na marafiki wote waliofikwa na msiba huu. Mungu awaongoze na kuwafariji katika kipindi hiki kigumu na cha majonzi.
UPDATES:
Mipango ya mazishi inafanyika Field Force (FFU) Arusha na maziko yanatarajiwa kufanyika upareni, Mamba Miamba siku ya Ijumaa tarehe 03/05/2013.
MORE UPDATES:
Kwa wale ambao wangependa kuuungana na familia ya mzee Mtambuzi katika msiba huu kwa njia ya rambirambi, tafadhali tumieni namba zifuatazo; Tigo-Pesa 0715 729292 na M-Pesa 0752 729292
Taarifa zilizonifikia hivi punde ni kwamba mwanaJF mwenzetu ndugu Mtambuzi amefiwa na mama mkwe muda mfupi uliopita.
Mama mkwe wa Mtambuzi amefikwa na mauti akiwa amelazwa katika hospitali ya St. Thomas iliyoko jijini Arusha.
Tutaendelea kufahamishana juu ya taratibu za mazishi. Kwa members wa JF mlioko Arusha support yenu katika kipindi hiki ni muhimu sana.
Natoa pole kwa Mzee Mtambuzi pamoja na familia, ndugu jamaa na marafiki wote waliofikwa na msiba huu. Mungu awaongoze na kuwafariji katika kipindi hiki kigumu na cha majonzi.
UPDATES:
Mipango ya mazishi inafanyika Field Force (FFU) Arusha na maziko yanatarajiwa kufanyika upareni, Mamba Miamba siku ya Ijumaa tarehe 03/05/2013.
MORE UPDATES:
Kwa wale ambao wangependa kuuungana na familia ya mzee Mtambuzi katika msiba huu kwa njia ya rambirambi, tafadhali tumieni namba zifuatazo; Tigo-Pesa 0715 729292 na M-Pesa 0752 729292
Last edited by a moderator: