TANZIA: Mkurugenzi wa ICAP Tanzania, Dkt. Fernando Morales afariki Dunia

Jamani mbona mnaripoti wanaokula vilivyonona tu? Ina maana kipindi hiki wanaokula ugali dagaa hawafi au hawana wa kuwatangaza?
Huu ni mwaka wa kufa wala vinono tu!

Matukio yanajieleza, vipi na wewe unataka kufa tukuletee vinono?
 
Ni mojawapo ya madakatari bingwa duniani,alikuwa anasaidiana na wizara ya afya kw akaribu sana kuhusu magonjwa kama Tb,HIv hata hii corona ambayo kwa mujibu wa ndugu na marafiki zake ndiyo iliyomuua akiwa nchini Tanzania
.

Ujumbe wa Mwisho wa Doctor Fernando Morales kupitia Whatsap !!!! Aliwaambia ndugu zake Kwamba “nimelazwa kwenye mkeka kama sitapewa Gas ndani ya 2min nitakufa 😰😰😰😰 sitaki kumuogopesha Mama “
.
.
Fernando Morales, the Argentine doctor who died in Tanzania, along with his friend, Verónica De Laforê Source: THE NATION
“I’m on the mat. I don’t want to tell my old lady, but I got really bad in 12 hours. Without oxygen, I won’t survive two minutes.”

morales.JPG
 
May his soul Rest in Eternal Peace, he was a great guy, nimefanya nae kazi na nimshiriki nae mikutano mbalimbali ya wadau wa afya

So sad
Mkurugenzi wa Shirika la Kimataifa linalojishughulisha na masuala ya Afya – ICAP kutoka Chuo Kikuu cha Columbia New York, Dkt. Fernando Morales amefariki dunia

Habari zaidi kukujia punde

View attachment 1440692

WASIFU WAKE (KWA UFUPI)

Dr. Fernando Morales is ICAP’s country director in Tanzania. In this role, he manages and administers ICAP’s portfolio of projects, providing technical and managerial oversight to program activities at the national, regional, and site level, and liaising with the Ministry of Health and other project partners and collaborators. Before joining ICAP, he was the country director for EGPAF in Mozambique and previously worked as a senior HIV technical advisor for the Centers for Disease Control and Prevention (CDC) in Rwanda. Dr. Morales has also worked with the UNAIDS, UNICEF, Comitato Collaborazione Medica (CCM), and with MSF/Doctors Without Borders in locations across Africa. Dr. Morales holds a degree in infectious disease and a medical degree from Buenos Aires University.



Dr. Fernando Morales serves as Country Director for Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation/Mozambique. Based in Maputo, Mozambique, Dr. Morales manages and administers agreements with international donors, among them two CDC-bilateral agreements operating in four Mozambican Provinces.

Before accepting the position of Country Director in 2011, Dr. Morales has served as a Senior HIV Technical Advisor for the US Government, Adult Treatment and Care Leader; grant management of PEPFAR national AIDS Program, U.S. Centers for Disease Control and Prevention, Kigali, Rwanda in 2008-11. In the role of the Senior HIV Technical Advisor, Dr. Morales Leaded CDC implementation Team for PEPFAR clinical services, managed six U.S. Government grants and three initiatives, and provided assistance for the local government (Ministry of Health). In 2010, Dr. Morales served Lead Consultant for North Sudan with the United Nations Programme on HIV/AIDS (UNAIDS). Dr. Morales worked with the U.N. Children´s Fund (UNICEF)/UNAIDS, in Somalia as Global Fund HIV Technical Advisor, UNICEF (2006-8). During 2005-2006, Dr. Morales worked as HIV Coordinator, Comitato Collaborazione Medica (CCM), Italy, in Somalia. From 2000-2005, Dr. Morales served with Medecines Sans Frontieres in various locations of Africa including Sierra Leone, Angola, Mozambique, Ethiopia and Kenya in several health projects.

Dr. Morales was born in Argentina and holds a medical degree (Field study in Infectious Disease) from Muniz Htal. For Infectious Diseases (1999), and is graduated in Medicine from the Buenos Aires University (1997).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujumbe wa Mwisho wa Doctor Fernando Morales kupitia Whatsap !!!! Aliwaambia ndugu zake Kwamba “nimelazwa kwenye mkeka kama sitapewa Gas ndani ya 2min nitakufa 😰😰😰😰 sitaki kumuogopesha Mama “
mmh.. ngumu kumeza hii watu km hawa huwezi kuta wanatibiwa temeke huko wakafanye nini kwanza...alafu kulala kwenye mkeka mmh hospitali zetu hizi mambo ya mikeka hakuna mtabebeshwa hata wawiliwawili kwenye kitanda kimoja...

labda mtuambie walichelewa kumpeleka hospitali kwa bahati mbaya..
 
Back
Top Bottom