Biggs
JF-Expert Member
- May 3, 2014
- 1,918
- 2,076
Tusker Bariiiidi umeleta habari fupiii kama mkia wa mbuzi!!
ICAP ni nini na huyo jamaa ni mtu wa wapi?
Link hapo chini inaweza kukupa mwanga:-
Tanzania
Tusker Bariiiidi umeleta habari fupiii kama mkia wa mbuzi!!
ICAP ni nini na huyo jamaa ni mtu wa wapi?
Tusker Bariiiidi umeleta habari fupiii kama mkia wa mbuzi!!
ICAP ni nini na huyo jamaa ni mtu wa wapi?
Isije ikawa kama kifo cha Mch. Mitimingi kifo chake cha kutokana na kunyeshewa na mvuaR. I. P kifo kimesababishwa na nn
Hivi ICAP na EGPAF wapi wanampunga mzurimadaktatari wamekula pesa za semina kupitia icap
Hapo kwenye CCM ndio nilishtuka kidogo!
soma tena wameweka abbreviationHivi nimesoma vizuri ama? Aliwahi hata kufanya kazi CCM!
Jikite kwenye mada weweToto twende hospital na sisi tukapime
Kumbe huyu Dr ni ukoo wa panya?Dr. Morales has also worked with the UNAIDS, UNICEF, Comitato Collaborazione Medica (CCM)
Wanalipa mpunga wa hatariTaasisi naikubali sana hii, project kama zote.
Apumzike kwa amani