Oooh masikini malaika wa Mungu
WanaJF,
Napenda kuchukua fursa hii kuwajuza kuwa mwanaJF mwenzetu aitwaye LiverpoolFC amefiwa na mwanae mchanga leo asubuhi...
Mazishi yameshafanyika leo tarehe 13.12.2011.
Pole sana Mkuu Liverpoolfc bila kumsahau Mama na wote walioguswa na tukio hilo. Mungu awape faraja
Bwana Mungu akupe faraja