Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Polen sana wafiwa,
Mungu awatie nguvu wakati huu mgumu.
Mungu awatie nguvu wakati huu mgumu.
Polen sana wafiwa,
Mungu awatie nguvu wakati huu mgumu.
Pole sana Mkuu LiverpoolFC. Mungu awatie faraja kubwa sana maishani mwenu wewe na familia nzima
Pole sana LiverpoolFC. Mungu awajalie nguvu katika kipindi hiki kigumu.
pole kamanda hakika hakuna machungu madogo ila kzi ya mola haina makosa mpe polesana shemeji yetu tupo pamoja katika kipindi hiki kigumu
Poleni sana Familia ya LiverpoolFC kwa msiba huu wa Kichanga...