Tanzia: Josephat Issango afiwa na baba yake.

Tanzia: Josephat Issango afiwa na baba yake.

Joined
Dec 11, 2010
Posts
3,321
Reaction score
6,331
Mwanajukwaa mwenzetu Josephat Issango amefiwa na baba yake mzazi usiku wa jana majira ya saa tatu.

Kwenye simu yangu ya kiganjani alinitumia ujumbe huu.

"NASIKITIKA KUKUARIFU KIFO CHA BABA YANGU MZAZI. MZEE JOSEPH NG'IMBA KIMETOKEA SAA 3:30 USIKU NYUMBANI KISASIDA - SINGIDA. TAARIFA ZAIDI KESHO. - ISANGO"

Mwenyezi Mungu aijalie familia ya Issango uvumilivu na subra katika kipindi hiki kigumu cha kumpoteza baba yao.

Poleni wafiwa, poleni mlioguswa, pole Issango.
 
Nilipata ujumbe wake usiku.Kwa kweli ni pigo kwa Familia yake.


Itakua vyema baada ya utaratibu kupangwa leo tukaangalia namna ya kuungana nae katika msiba huu.Ni MwanaJF mwenzetu

Ni miongoni mwa wanahabari wachache ambao wameingia humu kwa majina yao halisi
 
Poleni sana wafiwa. Namfahamu huyu mzee vizuri sana. John, Michael, Josephat na familia yote, Mungu awape moyo wa ustahimilivu katika kipindi hiki kigumu.
 
Pole sana Isango, may our dear dad's soul rest in eternal peace
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mkuu, hivi hakunaga kautaratibu kakutoa ata rambirambi kwa member wenzetu katika madhira kama haya ata kwa mpesa au tigopesa
 
Let GOD give you power to to relate during this difficult tym.
 
Mwanajukwaa mwenzetu Josephat Issango amefiwa na baba yake mzazi usiku wa jana majira ya saa tatu.

Kwenye simu yangu ya kiganjani alinitumia ujumbe huu.

"NASIKITIKA KUKUARIFU KIFO CHA BABA YANGU MZAZI. MZEE JOSEPH NG'IMBA KIMETOKEA SAA 3:30 USIKU NYUMBANI KISASIDA - SINGIDA. TAARIFA ZAIDI KESHO. - ISANGO"

Mwenyezi Mungu aijalie familia ya Issango uvumilivu na subra katika kipindi hiki kigumu cha kumpoteza baba yao.

Poleni wafiwa, poleni mlioguswa, pole Issango.

Kamanda Josephat Issango ni miongoni mwa wahanga wa Zitto, mwaka 2010 aligombea ubunge Singida mjini, kwa kuwa rafiki wa Zitto (Mohamedi Dewji) alikuwa naye anagombea na akaogopa nguvu ya Chadema; kama kawaida Zitto akafanya usaliti kwa chama, akaandika barua kwa msimamizi wa uchaguzi kumuondoa Issango kwa kisingizio kuwa hajapitishwa na kamati kuu, maana yake ni kwamba ili MO apite bila kupingwa.

Baada ya chama kuarifiwa kamanda TL pamoja na wanasheria wengine walienda kushindia hiyo kesi Tume baada ya kukata rufaa. Rufaa ilikubaliwa wiki moja kabla ya uchaguzi.

Mchezo mzima wa kumtoa Issango ili asigombee ulifanywa na Zitto akishirikiana na mzee Kitundu yule aliyekuwa mwemyekiti wa Singida mjini aliyejiuzuru baada ya Zitto kuvuliwa nyadhifa zake.
 
Back
Top Bottom