Tanzia: Josephat Issango afiwa na baba yake.

Tanzia: Josephat Issango afiwa na baba yake.

Josephat Issango poleni sana;
Mungu awatie nguvu wakati huu mgumu.

Asante kwa taarifa mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Mungu awape faraja ktk kipindi hiki kigumu'
 
Umetumwa na waume zako kuleta siasa hapa!

Hapa ni taarifa ya kifo tu,na kinachotakiwa ni ama kutoa pole au mchango wako kama unao kwa mhusika omba mawasiliano yaje utume Mpesa,Airtel Money ama Tigo pesa utakuwa umesaidia sana.

Kama unataka kutujulisha namna walivyoshughulikiana na Zitto basi anzisha Thread nyingine utapata tu sapoti!

Jitambue!

Povu na matusi ya nini??!!,mbona umekuwa zaidi yake yeye sasa,kwa maoni yake alitaka kufafanua kitu,badala yake wewe umejidhalilisha kwa chuki zako za kisiasa kwa sababu hukutaka kuyasikia aliyoyasema.
 
pole Isango.raha ya milele apewe mpendwa wetu
 
Last edited by a moderator:
pole sana Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu
 
Back
Top Bottom