Kamanda Josephat Issango ni miongoni mwa wahanga wa Zitto, mwaka 2010 aligombea ubunge Singida mjini, kwa kuwa rafiki wa Zitto (Mohamedi Dewji) alikuwa naye anagombea na akaogopa nguvu ya Chadema; kama kawaida Zitto akafanya usaliti kwa chama, akaandika barua kwa msimamizi wa uchaguzi kumuondoa Issango kwa kisingizio kuwa hajapitishwa na kamati kuu, maana yake ni kwamba ili MO apite bila kupingwa.
Baada ya chama kuarifiwa kamanda TL pamoja na wanasheria wengine walienda kushindia hiyo kesi Tume baada ya kukata rufaa. Rufaa ilikubaliwa wiki moja kabla ya uchaguzi.
Mchezo mzima wa kumtoa Issango ili asigombee ulifanywa na Zitto akishirikiana na mzee Kitundu yule aliyekuwa mwemyekiti wa Singida mjini aliyejiuzuru baada ya Zitto kuvuliwa nyadhifa zake.
Kamanda Josephat Issango ni miongoni mwa wahanga wa Zitto, mwaka 2010 aligombea ubunge Singida mjini, kwa kuwa rafiki wa Zitto (Mohamedi Dewji) alikuwa naye anagombea na akaogopa nguvu ya Chadema; kama kawaida Zitto akafanya usaliti kwa chama, akaandika barua kwa msimamizi wa ucaguzi kumuondoa Issango kwa kisingizio kuwa hajapitishwa na kamati kuu, maana yake ni kwamba ili MO apite bila kupingwa.
Baada ya chama kuarifiwa kamanda TL pamoja na wanasheria wengine walienda kushindia hiyo kesi Tume baada ya kukata rufaa. Rufaa ilikubaliwa wiki moja kabla ya uchaguzi.
Mchezo mzima wa kumtoa Issango ili asigombee ulifanywa na Zitto akishirikiana na mzee Kitundu yule aliyekuwa mwemyekiti wa Singida mjini aliyejiuzuru baada ya Zitto kuvuliwa nyadhifa zake.
Mwanajukwaa mwenzetu Josephat Issango amefiwa na baba yake mzazi usiku wa jana majira ya saa tatu.
Kwenye simu yangu ya kiganjani alinitumia ujumbe huu.
"NASIKITIKA KUKUARIFU KIFO CHA BABA YANGU MZAZI. MZEE JOSEPH NG'IMBA KIMETOKEA SAA 3:30 USIKU NYUMBANI KISASIDA - SINGIDA. TAARIFA ZAIDI KESHO. - ISANGO"
Mwenyezi Mungu aijalie familia ya Issango uvumilivu na subra katika kipindi hiki kigumu cha kumpoteza baba yao.
Poleni wafiwa, poleni mlioguswa, pole Issango.
Pole sana mkuu, hivi hakunaga kautaratibu kakutoa ata rambirambi kwa member wenzetu katika madhira kama haya ata kwa mpesa au tigopesa
Kamanda Josephat Issango ni miongoni mwa wahanga wa Zitto, mwaka 2010 aligombea ubunge Singida mjini, kwa kuwa rafiki wa Zitto (Mohamedi Dewji) alikuwa naye anagombea na akaogopa nguvu ya Chadema; kama kawaida Zitto akafanya usaliti kwa chama, akaandika barua kwa msimamizi wa uchaguzi kumuondoa Issango kwa kisingizio kuwa hajapitishwa na kamati kuu, maana yake ni kwamba ili MO apite bila kupingwa.
Baada ya chama kuarifiwa kamanda TL pamoja na wanasheria wengine walienda kushindia hiyo kesi Tume baada ya kukata rufaa. Rufaa ilikubaliwa wiki moja kabla ya uchaguzi.
Mchezo mzima wa kumtoa Issango ili asigombee ulifanywa na Zitto akishirikiana na mzee Kitundu yule aliyekuwa mwemyekiti wa Singida mjini aliyejiuzuru baada ya Zitto kuvuliwa nyadhifa zake.
Huyu ndio yule wa SAUT aliyekuwa anataka mdahalo wa wazi na ZITTO?
Kamanda Josephat Issango ni miongoni mwa wahanga wa Zitto, mwaka 2010 aligombea ubunge Singida mjini, kwa kuwa rafiki wa Zitto (Mohamedi Dewji) alikuwa naye anagombea na akaogopa nguvu ya Chadema; kama kawaida Zitto akafanya usaliti kwa chama, akaandika barua kwa msimamizi wa uchaguzi kumuondoa Issango kwa kisingizio kuwa hajapitishwa na kamati kuu, maana yake ni kwamba ili MO apite bila kupingwa.
Baada ya chama kuarifiwa kamanda TL pamoja na wanasheria wengine walienda kushindia hiyo kesi Tume baada ya kukata rufaa. Rufaa ilikubaliwa wiki moja kabla ya uchaguzi.
Mchezo mzima wa kumtoa Issango ili asigombee ulifanywa na Zitto akishirikiana na mzee Kitundu yule aliyekuwa mwemyekiti wa Singida mjini aliyejiuzuru baada ya Zitto kuvuliwa nyadhifa zake.