Tanzia: Edwin Michael Mlay amefariki dunia

Tanzia: Edwin Michael Mlay amefariki dunia

R.I.P MAREHEM

haya magari ya automatic mm nayachukia na nitaendelea kuyachukia sana aisee..yanawaua sana vijana ambao ndio nguvu kazi ya taifa letu.

pole sana kwa mke wa marehemu Sia Njau pamoja na mtoto Stecy. Mungu peke ya ke ndiye faraja yenu kwa wakati huu mgumu, Mungu awe pamoja nanyi.
 
Maskini na ndoa yao ilikuwa bado changa kabisa. Sia kuwa mjane at that age jamani So sad indeed!
 
Mazishi ni ijumaa nyumbani Arusha.
 
R.i.p kaka yetu tutakukumbuka cna kwa wema wako juzi mdgo wake salva alipata ajali nafuso lkni anaendelea vizuri mungu awatie nguvu jmni katika wakati mgumu mliokuwa nayo r.i.p kaka yetu
 
Doh, RIP Edwin. Bado namkumbuka mdogo wako Fred ambaye nae alifarik kw ajali mwaka 2010 hapa Rose garden, dsm. It was so sad, coz dogo ndo alirud tu from china kuja kufunga ndoa yake, akafa wiki moja tu kabla ya harus yake. kabla hata machungu hayajafutika kbs kw familia, mara tena anaondoka Edwin. Realy unbelievable!! Mungu awape faraja.

aisee, Fredy aliniuma sanaaa, alikuwa mcheshi sanaaa, hana pozi kabisaaa jamani, Mungu ampumzishe salama,Edwin tena jamani ndio kanichosha, sijui inakuwaje jamani, kama ni majaribu basi huyu mama anayapata, Mungu tu amsaidie, kijana aliebaki ndio huyo chapombe, kwa maneno yaliyokuwepo kuanzia msiba wa Fredy mama Mlay anatakiwa asawazishe mambo jamani! RIP Edwin.
 
Poleni sana wafiwa wote,
Ni uchungu mkubwa sana kupoteza vijana wawili kwa muda mfupi kama hivyo,
Kweli nimeumia sana
R.I.P. marehemu wote.
 
namfahamu huyu kaka wa multimodol walikuwa na ofisi pale AICC Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi
 
R.I.P MAREHEM

haya magari ya automatic mm nayachukia na nitaendelea kuyachukia sana aisee..yanawaua sana vijana ambao ndio nguvu kazi ya taifa letu.

Fafanua Mkuu. Yanafanyaje haya ya automatic?
 
aisee, Fredy aliniuma sanaaa, alikuwa mcheshi sanaaa, hana pozi kabisaaa jamani, Mungu ampumzishe salama,Edwin tena jamani ndio kanichosha, sijui inakuwaje jamani, kama ni majaribu basi huyu mama anayapata, Mungu tu amsaidie, kijana aliebaki ndio huyo chapombe, kwa maneno yaliyokuwepo kuanzia msiba wa Fredy mama Mlay anatakiwa asawazishe mambo jamani! RIP Edwin.

Asawazishe nini tena ?
 
Very sad news, Mungu awape nguvu wanafamilia kipindi hichi cha majonzi makubwa.

Nilisikitika sana kwa kweli niliposikia
 
kumbe ile ofisi bado ipo! Ni ya longi saaana, Mungu awape faraja jamani Brenda amebakiza kaka mmoja! Too bad

Salva, na ni chapombe hafaiii, bado ipo my dear! yaani mama Mlay "cream" yake yote inayeyuka masikini.
 
Back
Top Bottom