Tanzia: Edwin Michael Mlay amefariki dunia

Tanzia: Edwin Michael Mlay amefariki dunia

Du hali inatisha sana, alipokufa dogo Fred a week before his wedding,mengi yalisemwa...baada ya hapo Mama wa watu akavamiwa na majambazi na akaibiwa mamilioni na vitu vingi sana vya thamani..three weeks ago Salva alipata ajali mbaya ya gari...haijapita muda first borm anaondoka kama hivi...jamani kama ni majaribu huyu Mama Mlay kayapitia. Nilikaa nikawaza maybe kuna kitu lakini sipati jibu ni kitu gani..any way kazi ya Mungu haina makosa.
RIP Hommie. cc
 
Du hali inatisha sana, alipokufa dogo Fred a week before his wedding,mengi yalisemwa...baada ya hapo Mama wa watu akavamiwa na majambazi na akaibiwa mamilioni na vitu vingi sana vya thamani..three weeks ago Salva alipata ajali mbaya ya gari...haijapita muda first borm anaondoka kama hivi...jamani kama ni majaribu huyu Mama Mlay kayapitia. Nilikaa nikawaza maybe kuna kitu lakini sipati jibu ni kitu gani..any way kazi ya Mungu haina makosa.
RIP Hommie. cc


Hii familia inapita katika wakati mgumu mnoo. Mungu awaongoze tu.
 
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na awape nguvu na faraja wafiwa katika kipindi hiki kigumu kwao~AMEN
oohhh so sad jamani RIP EDWIN MLAY..NAFIKIIRI KWENYE UKOO KWA ANAEFATI AKAJIKATE KITOVU NA LAANA YA KUONDOKA KILA BAADA YA MIAKA MITATU VINGINEVYO 2016 TUNAZIKA YEYE..MUNGU AWAPE FARAJA JAMANI WAKATI HUU MGUMU
 
ohh so sad! poleni sana wafiwa wote! Mungu wafarijini wote
 
ooooh jaman inauma sana sana,Eeh Mungu wafariji wanafamilia waliobaki,sala zangu ziende kwa my friend siah njau kwa kuondokewa na mume mapema ivi.Mungu uwape nguvu wote pamoja na baby stacey..
 
Kwa wale waliopo arusha na wanaopenda kuudhuria mazishi ya edwin ibada ya mazishi itakuwa nyumbani kwao kule kimandolu kuanzia saa sita mchana.
 
1013261_10151779084006273_169459575_n.jpg
 
Kwa wale waliopo arusha na wanaopenda kuudhuria mazishi ya edwin ibada ya mazishi itakuwa nyumbani kwao kule kimandolu kuanzia saa sita mchana.

Tupo hapa tunamsindikiza kijana mwenzetu.
RIP Edwin
 
R.I.P MAREHEM

haya magari ya automatic mm nayachukia na nitaendelea kuyachukia sana aisee..yanawaua sana vijana ambao ndio nguvu kazi ya taifa letu.
. Mungu amlaze mahala pema peponi. Mkuu si kweli kuwa gari za automatic zinaua, je mabasi makubwa, coaster, malori ya mizigo na hiace ni automatic zote? fanya utafiti tena, tatizo ni uendesha na wakati mwingine mechanical failure
 
. Mungu amlaze mahala pema peponi. Mkuu si kweli kuwa gari za automatic zinaua, je mabasi makubwa, coaster, malori ya mizigo na hiace ni automatic zote? fanya utafiti tena, tatizo ni uendesha na wakati mwingine mechanical failure

mkuu mm nauhakika asilimia furani coz nishashuhudia ajari za papo kwa papo kama 10 naa hivi na nyingini zakizembezembe tu shauri ya automatic? na asilimia kubwa au kinachonifanya niseme hivi ni kuwa madereva wengi waendeshao haya magari ya automatic si madereva mkuu wao wanajua kunyoosha tu na kukanyaga mafuta? ndio maana ajari zinakuwa nyingi sana na asilimia kubwa nizakizembe mkuu.na kama magari makubwa ya mizigo yangekuwa yanaendeshwa na hawa madereva wa magari ya automatic basi kungekuwa na ajari balaa mkuu.

wewe jaribu kufuatilia utanambia mkuu na hasa hapa mjini usithubutu hata kidogo kumfuata mtu na gari yako nyuma dk 2 tu anakuachia majanga.na wanavyojua kulalama wakigongwa na usiombee akawa na reseni ya jiji mbona utajuta
 
oohhh so sad jamani RIP EDWIN MLAY..NAFIKIIRI KWENYE UKOO KWA ANAEFATI AKAJIKATE KITOVU NA LAANA YA KUONDOKA KILA BAADA YA MIAKA MITATU VINGINEVYO 2016 TUNAZIKA YEYE..MUNGU AWAPE FARAJA JAMANI WAKATI HUU MGUMU

Jamani cmjui lkn hii trend sio kawaida!
...maagano!! Yesu ni jibu
 
Du hali inatisha sana,
alipokufa dogo Fred a week before his wedding,mengi yalisemwa...baada ya
hapo Mama wa watu akavamiwa na majambazi na akaibiwa mamilioni na vitu
vingi sana vya thamani..three weeks ago Salva alipata ajali mbaya ya
gari...haijapita muda first borm anaondoka kama hivi...jamani kama ni
majaribu huyu Mama Mlay kayapitia. Nilikaa nikawaza maybe kuna kitu
lakini sipati jibu ni kitu gani..any way kazi ya Mungu haina makosa.
RIP Hommie. cc

kwa hyo mkuu kwa madhila haya inawezekana kuna mengine mengi yanakuja kuhusu familia hii,unawasaidiaje sasa kukomesha majanga hayo?
 
Back
Top Bottom