Tanzia: Edwin Michael Mlay amefariki dunia

Tanzia: Edwin Michael Mlay amefariki dunia

Inauma lakini yatupasa kuyapokea yote ili ukamilifu wa uanadamu utimie. Tunajaribu kuhoji uhalali wa kifo na sababu za au iwapo kuna uzembe uliofanywa na kijana mwenzetu. Mhimu ni kuwa yametimia ,Fred hatunae tena na uchapakazi wa kutukuka uenziwe na nasi sote. Pole kwa family na watanzania wote,pole kwa vijana kwa wazee ambae kupitia kwake walipata fursa za ajira na kujikomboa kutoka katika lind la umasikini. Raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umwangazie,apumzike.
Amina
 
Jamani cmjui lkn hii trend sio kawaida!
...maagano!! Yesu ni jibu
kweli kabisa inaumiza kweli kweli lakini kama una akili na muhusika wa uu ukoo amka kemeeni kabisa mtaishia kuzikwa kila baada ya miaka miwili sisemi kwa ubaya bali naongea uhalisia MUNGU AWATIE NGUVU MUMLAZE KAKA YETU SALAMA
 
Du hali inatisha sana, alipokufa dogo Fred a week before his wedding,mengi yalisemwa...baada ya hapo Mama wa watu akavamiwa na majambazi na akaibiwa mamilioni na vitu vingi sana vya thamani..three weeks ago Salva alipata ajali mbaya ya gari...haijapita muda first borm anaondoka kama hivi...jamani kama ni majaribu huyu Mama Mlay kayapitia. Nilikaa nikawaza maybe kuna kitu lakini sipati jibu ni kitu gani..any way kazi ya Mungu haina makosa.
RIP Hommie. cc

kma nakumbuka ni wapale makomu kuelekea kiraracha am nakosea?
 
hapana, sio mama, nilienda kumzika Eduu, yaani nilipata uchungu wa ajabu, inasikitisha sana sana.

Dah natamani kujua ingawa umesema sio vizuri kuyaweka kwa mtandao...anyway coz najua kwenye misiba kuna nasaba nyingi, hujui lipi ni lipi, ila apumzike kwa raha marehemu!! Amen
 
Kwa wale wote waliomjua Kaka yangu,Kaka yetu Edwin Mlay nashukuru Sana kwa kutufariji sisi Familia ya Marehemu Michael Mlay.Nimepitia post nyingi na nimeona kuwa kuna watu kweli walimfahamu Edwin na walifahamu Familia yetu kwa ujumla,na kuna wengine wameisikia tu bali hawaifahamu na kwa kuguswa na kifo cha kaka yetu wametupa pole na tunashukuru sana.Duniani huwezi kupendwa na wote hata ukiwa vipi.Nimesoma post ya Facilitator ambaye nafikiri ni mtu ninayemfahamu na amesema aliyebaki ni kapombe kwenye familia.Ni moja pia ya kufariji kwenye msiba huu.ILA kama anachotegemea kukiona au matarajio yake yeye mwenyewe anayajua,asubiri atapata vingi vya post baadae.Namwacjia Mungu yote sbb kama ni uchungu tunaujua sisi tuliyechomwa na miiba.Mungu ana kila nia na dhumuni ya jambo lake.Nawatakia kila la kheri na kila mmoja wetu ana siku yake.
 
Kwa wale wote waliomjua Kaka yangu,Kaka yetu Edwin Mlay nashukuru Sana kwa kutufariji sisi Familia ya Marehemu Michael Mlay.Nimepitia post nyingi na nimeona kuwa kuna watu kweli walimfahamu Edwin na walifahamu Familia yetu kwa ujumla,na kuna wengine wameisikia tu bali hawaifahamu na kwa kuguswa na kifo cha kaka yetu wametupa pole na tunashukuru sana.Duniani huwezi kupendwa na wote hata ukiwa vipi.Nimesoma post ya Facilitator ambaye nafikiri ni mtu ninayemfahamu na amesema aliyebaki ni kapombe kwenye familia.Ni moja pia ya kufariji kwenye msiba huu.ILA kama anachotegemea kukiona au matarajio yake yeye mwenyewe anayajua,asubiri atapata vingi vya post baadae.Namwacjia Mungu yote sbb kama ni uchungu tunaujua sisi tuliyechomwa na miiba.Mungu ana kila nia na dhumuni ya jambo lake.Nawatakia kila la kheri na kila mmoja wetu ana siku yake.


Heshima kwako mkuu. nimesoma post yako vzr. kwa jins ulivyoandika, bila shaka wewe ni SALVA. naomba niku correct kdg, SIO MIMI NILIYEANDIKA WEWE NI CHAPOMBE, aliyeandika hvyo ni Nyamayao. Hebu refer to page 2 ya huu uzi. Nyamayao ameyasema maneno hayo baada ya ku-quote post yangu. pls weka kumbukumbu zako vzr mkuu. Huyu Nyamayao anaonekana ni mtu wa karibu sana na familia yenu. Mimi wewe nakufahamu kwa karibu sana na pia nimeoa kwa Mlay pia.
 
Nimesoma post zako.keep it up.Salva

Ila kama wewe ni kweli "Chapombe" ni bora ubadilike coz mwisho wa pombe sio mzuri...na kama umeacha then Big-up!! Manake kuambiwa we ni chapombe sio dhambi, na si malaika atashuka aje akuambie ni sisi wanadamu, etlist umeoujionea mwenyewe wakati upo hai kwamba watu wanasemaje abt u!! Changes start with YOU!! Pole sana kwa msiba bro
 
Mwisho Wa kila mtu huwa ni mauti no matter upo vipi Na unafanya ni ni.ILA I don't dance according to anybody's tune I dance to my own tune.
 
Mwisho Wa kila mtu huwa ni mauti no matter upo vipi Na unafanya ni ni.ILA I don't dance according to anybody's tune I dance to my own tune.

Salva, wewe ni rafik yangu na mtu wangu wa krb. ninachojua ni kwamba, wewe ni kichwa na una uwezo mkubwa sana upstairs..
My advice to u.. prove them wrong. Haters wamekodoa mimacho kukuona ukichemka. Mungu akupe nguvu kaka, nakutakia heri.
 
Back
Top Bottom