Tanzia: Edwin Michael Mlay amefariki dunia

Tanzia: Edwin Michael Mlay amefariki dunia

bucho

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2010
Posts
5,172
Reaction score
3,265
Taarifa nilizozipata muda sio mrefu, aliekuwa katibu wa chama cha wasafirishaji na wapokeaya mizigo Tanzania. Ndg Edwin Michael Mlay amefariki dunia kwa ajali ya gari iliotokea leo jioni Marangu Kilmanjaro. Edwin alikuwa kijana mchapakazi mchapakazi na mtaratibu mnoo.

Nb.
Msiba upo nyumbani kwao kimandolu Arusha.
 
Poleni sana wafiwa. Kama namfahamu vie alisoma old moshi sec. Mwenye picha yake aweke hapa tafadhali
 
Ajali ilikuwa mbaya sana. Mungu awape familia nguvu kipindi hichi kigumu.
 
Taarifa nilizozipata muda sio mrefu, aliekuwa katibu wa chama cha wasafirishaji na wapokeaya mizigo Tanzania. Ndg Edwin Michael mlay amefariki dunia kwa ajali ya gari iliotokea leo jioni marangu kilmanjaro. Edwin alikuwa kijana mchapakazi mchapakazi na mtaratibu mnoo.

Nb.
Msiba upo nyumbani kwao kimandolu Arusha.
Poleni wafiwa
 
Taarifa nilizozipata muda sio mrefu, aliekuwa katibu wa chama cha wasafirishaji na wapokeaya mizigo Tanzania. Ndg Edwin Michael mlay amefariki dunia kwa ajali ya gari iliotokea leo jioni marangu kilmanjaro. Edwin alikuwa kijana mchapakazi mchapakazi na mtaratibu mnoo.

Nb.
Msiba upo nyumbani kwao kimandolu Arusha.

pole zao wanafamilia wa eddy mlay
 
Kwa wale waliosoma ilboru miaka ya tisini mwanzoni watakuwa wanamkumbuka. Pia familia ya kina edwin ndio waliokuwa na mgogoro wa kunyang'anywa nyumba eneo la mbezi na papaa msofe.
 
Kwa wale waliosoma ilboru miaka ya tisini mwanzoni watakuwa wanamkumbuka. Pia familia ya kina edwin ndio waliokuwa na mgogoro wa kunyang'anywa nyumba eneo la mbezi na papaa msofe.


Doh, RIP Edwin. Bado namkumbuka mdogo wako Fred ambaye nae alifarik kw ajali mwaka 2010 hapa Rose garden, dsm. It was so sad, coz dogo ndo alirud tu from china kuja kufunga ndoa yake, akafa wiki moja tu kabla ya harus yake. kabla hata machungu hayajafutika kbs kw familia, mara tena anaondoka Edwin. Realy unbelievable!! Mungu awape faraja.
 
Taarifa nilizozipata muda sio mrefu, aliekuwa katibu wa chama cha wasafirishaji na wapokeaya mizigo Tanzania. Ndg Edwin Michael Mlay amefariki dunia kwa ajali ya gari iliotokea leo jioni Marangu Kilmanjaro. Edwin alikuwa kijana mchapakazi mchapakazi na mtaratibu mnoo. Nb. Msiba upo nyumbani kwao kimandolu Arusha.[/QU
 
Inasikitisha sana,apumzike kwa amani,poleni wafiwa.
 
japo simjui lakin binadamu wote ni sawa. apumzike kwa amani tumuombee.
 
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na awape nguvu na faraja wafiwa katika kipindi hiki kigumu kwao~AMEN

Doh, RIP Edwin. Bado namkumbuka mdogo wako Fred ambaye nae alifarik kw ajali mwaka 2010 hapa Rose garden, dsm. It was so sad, coz dogo ndo alirud tu from china kuja kufunga ndoa yake, akafa wiki moja tu kabla ya harus yake. kabla hata machungu hayajafutika kbs kw familia, mara tena anaondoka Edwin. Realy unbelievable!! Mungu awape faraja.
 
R.I.P MAREHEM

haya magari ya automatic mm nayachukia na nitaendelea kuyachukia sana aisee..yanawaua sana vijana ambao ndio nguvu kazi ya taifa letu.
 
Back
Top Bottom