TANZIA: Bi Kidude afariki dunia!

TANZIA: Bi Kidude afariki dunia!

R.I.P. Bibi Kidude.... mwanamke wa shoka ni mfano wa kuigwa.....
 
Oooh my God
RIP Bi kidude ..mungu aiweke roho yako pema peponi
amen
 
Mungu ailaze roho ya marehemu pahali pema kwaheri kipenzi cha watu
 
Bi Kidude amefariki nyumbani kwa mtoto wa kakayak maeneo ya Bububu.

Taratibu za mazishi zinaendelea kufanyika lakini mwili wa marehemu unahamishwa muda huu kupelekwa nyumbani kwake Raha leo.
Nimekupata mkuu. Ahsante kwa taarifa.
 
Ni habari ya kusikitisha sana. R.I.P
Source : ITV
 
Ni habari ya kusikitisha sana. R.I.P

Asante kwa taarifa mkuu. Tupe habari zaidi. Naona post kama tatu zinaelezea tukio hili. Mods unganisheni tanzia hii ya bibi yetu.
 
Japo hili ni jukwaa ka siasa lakini naomba admn wasiiondoe hii story kutokana na maslahi yake kitaifa. Taarifa zilizoripotiwa hivi punde ni kuwa mkongwe wa muziki Tanzania amefariki dunia.
SOURCE:ITV
 
Back
Top Bottom