Tanzania's Presidential Protection Unit (PPU)

...labda ndio 'USALAMA WA RAIA' 🙂

Mkuu upo? Hii thread mpaka leo nimeshindwa kuelewa dhumuni lake alafu hao PPU wanaowataja si ndio PSU?

Mlenge hao PGB(Uganda) si ndio wanadaiwa kutumika kama jeshi binafsi la Museveni na familia yake? Isitoshe ISO nao wanasemekana wanatumika kuibia nchi (angalia kipindi ambacho Jim Muhwezi alikuwa DG).
 
Mkuu salute. nadhani kuna loop hole. jukumu lao lingekuwa ni usalama wa raisi, wa taifa na ustawi wa taifa (watanzania).Check Goal ya wakenya "Prompt and quality national intelligence in the service of the people of Kenya. na mission yao ni "To safeguard the Repubic of Kenya
against any threats emenating from within and without'. kwa jinsi gani TISS yetu ina- serve maslahi ya watanzania
.
Huhitaji elimu kujua lakini mikatapa ya kilaghai, ufisadi, EAC common market,lessen za uwindaji, za umilikaji ardhi, soko huria nk zinahujumu ustawi wa watanzaania.threat wanayoongelea wakenya ni pamoja na economic threats na siyo kuhujumu madaraka ya raisi au mipaka ya nchi tu.huwezi kugeuza taifa kuwa soko la bidhaa na kuua viwanda vya ndani. Gharama za umeme na miundo mbinu ni kubwa viwanda vinashinwa kuzalisha kwa bei ya chini.Pili hata wananchi hawajaelemishwa kupenda vitu vya ndani ili kukuza uzalishaji na kulinda ajira, wao wanasema common market mara soko huria.Nina rafiki yangu mmoja tena ni PPU aliniambia maishani huwezi kuruka stages. Mtoto lazima aanze kutambaa ndiyo atembee. viongozi wetu wanaona sijui ni aibu au ulimbukeni kukiri hili kwamba watanzania na viwanda vyake bado vinatambaa.Kwa nini mchina hakufungua milango yake miaka hiyo ya sabini? hawakutaka wageuze wananchi waangalizi bali washiriki.Hata leo kupenya soko la mchina ni vigumu kwanza wanapenda vitu vya kwao kuliko kawaida. Sasa hivi kuna maenyesho ya kimataifa shanghai, pamoja na nchi karibia miambili lakini tv zao zinaongelea kwa zaidi jengo lao na hata wananchi wanajaa tu hapo.Ukiangalia na mambo ya mikataba, hii idara wasipo msimamia huyu rais wetu na kudhani usalama wa nchi ni CCM kuwa madarakani taifa ili lita-colapse. Kuna siku ng'ombe ataishiwa maziwa tu.
 
No comment! maana siku hizi kila asiye na kazi maalum ni afisa usalama wa Taifa hadi matapeli humo wamo !
 
sblandes,
That requires decisions to be made based on information, not whims of who is in power. It is doubtful whether 'usalama wa taifa' analyzes abstract threats that are (yet) to be transformed into physical ones.

Eqlypz,
Kwa hiyo unasema 'usalama wa taifa' TZ nayo ni jeshi binafsi la Rais, na kazi yao kubwa ni kuibia nchi?

Zhule
hapo ndipo matatizo yanapoanzia -- kwamba 'usalama wa taifa' una majukumu zaidi ya ulinzi wa watawala? Au usalama wa taifa ni ulinzi wa rais tu?

Kwa mfano, kwenye uchaguzi wa kitaifa: wizi wa kura unawahusu 'usalama wa taifa'? Je ni kazi yao kuhakikisha mtu haiingii madarakani kwa kupitia wizi wa kura? Au kazi yao ni kulinda kura za watawala walioko zisiibiwe? Pengine kazi yao pia 'kuiba' kura za 'wapinzani'? Au mambo ya uchaguzi hayawahusu? Huo ni mfano mdogo.

Mfano mkubwa: Jakaya Kikwete kasaini kwamba hataki kuona taifa la Tanzania linaendelea kuwepo, hivyo kulifuta kwa kupitia EAC. Je, 'Usalama wa Taifa' :
a. Wanaunga mkono, na wamepembua na kuona sawa?
b. Hawaungi mkono (sasa mtu mmoja rais kikwete anawezaje kuamua kufuta taifa la watu milioni arobaini?, lenye chombo chenye bajeti ya kulilinda taifa?)
c. Hawajui waunge mkono au la, kwa vile si kazi yao; kwao wao usalama wa taifa ni ulinzi wa rais. Mwisho wa reli.

Kwa mujibu wa maelezo yaliyochangiwa mpaka tunaenda mitamboni, 'usalama wa taifa' Tanzania hauna shughuli zaidi ya kuwa ni 'usalama wa rais na watawala wenziye', ndio sababu mikataba ya kulifuta taifa inafanyika (EAC) na hawaoni tatizo lolote.

Pana mtu hapa alisema 'usalama wa taifa' ni chombo cha ushauri tu kwa rais.
 
sblandes,

Eqlypz,
Kwa hiyo unasema 'usalama wa taifa' TZ nayo ni jeshi binafsi la Rais, na kazi yao kubwa ni kuibia nchi?

Pana mtu hapa alisema 'usalama wa taifa' ni chombo cha ushauri tu kwa rais.

Uwe unasoma kwanza sio unakurupuka tu kujibu ebo, nimesema ISO (Internal Security Organization-Uganda).

Hapo kwenye nyekundu nenda tena kasome Act ya TISS ya 1996 utaelewa wanafanya vipi kazi, mnaanzisha thread lakini ata research uchwara hamfanyi
 
It can be named usalama wa Taifa but with a lot of quotation mark, maan kila mtu anatafuta kula bwn, kwanini ma-analyser wasijitokeze kwenye hizi posts? au kwa sababu kupata sio rahisi kama wanavyotangaza kazi nyingine?
 
Pamoja na yoote jamani tunahitaji units lukiki za ulinzi in top of haya majeshi yetu namna hii? Huku sio kubebeshana mizigo ya gharama za uendeshaji kwa walalahoi?
 

You know nothing Devil Advocate. I suggest that you keep quite rather than giving wrong information, it seems to me that your one of those vijiweni boys who just sit at there porojo corners and form porojo. That is all i can tell you.
 
I wish Tanzania had security organization for the security of the republic. Just a wish!
 

Sasa tumepata Rais
 
Sasa tumepata Rais
Kwa lipi??? Kama usalama wa taifa bado wapo ila mafisadi wa richmond hawajakamatwa

Wauza tembo hawajakamatwa

Waliosaliti nchi kwenye sekta ya madini hawajakamatwa

Majizi ya masandarusi ya pesa pale stanbic kwenye sakata la Escrow hawajakamatwa

Yaleyale tu we need a serious TISS ambayo itakuwa kwa interest za nchi sio Chama tawala
 
Mkuu kiranga vp JPM?
 
Mat.....ako y....ako,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…