Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,970
- 10,462
Naomba UTUPATIE mifano hai ya hiyo Flip flop ya ODINGA
IDIMI:
Naona wewe sio mfuatiliaji mzuri wa mambo yanavyokwenda huko Kenya, hasa kuhusu huu mgogoro wa uchaguzi. Ungekuwa unauelewa mzuri usingeandika hayo hapo chini; ambayo ni kinyume kabisa na ukweli!
Idimi unahuhakika na ulicho andika au umeteleza?
Kwa Mimi ninavyo jua Ni mtu mwingine mwenye ku-short change wenzake wakikubaliana nae, na Sio Raila
Kama nitakuwa nimeteleza mtanisamehe kwani ni ubinadamu tu. Maoni yangu niliyaandika kutokana na mada zilizopita (mada ya Uchaguzi wa Kenya) za hapa hapa JF, kwamba mara ya kwanza Raila alikuwa anakataa hii nafasi ya uwaziri mkuu ambayo ilipendekezwa, akitoa sababu kwamba huko ni kukubali kwamba Kibaki alishindwa kihalali uchaguzi wa mwaka jana.
Kama nimekosea mnisahihishe.