YNIM
JF-Expert Member
- Aug 29, 2007
- 2,219
- 59
kaka nanilii,
simpo, matatizo ya Zanzibara yapo local mno.......mpaka siku yatakapoweza ku-make biiiig and angry headlines ktk magazeti makubwa ya dunia hii, hakuna suluhisho lolote litakalo patikana!!
kingine, ni kwamba serikali ya daslam, imejitahidi sana na kwa mafanikio makubwa ku-paint mvts za upinzani huko pemba na terrorismo!!!.
kwa maana hiyo basi usitegemee makelele toka magharibi, bwana JK analinda mkate wa CCM........Pemba loses!!!.
simpo, matatizo ya Zanzibara yapo local mno.......mpaka siku yatakapoweza ku-make biiiig and angry headlines ktk magazeti makubwa ya dunia hii, hakuna suluhisho lolote litakalo patikana!!
kingine, ni kwamba serikali ya daslam, imejitahidi sana na kwa mafanikio makubwa ku-paint mvts za upinzani huko pemba na terrorismo!!!.
kwa maana hiyo basi usitegemee makelele toka magharibi, bwana JK analinda mkate wa CCM........Pemba loses!!!.