Tanzania yadhibiti mfumuko wa bei

View attachment 2070514

African countries with the highest inflation rates in 2021

8 African countries with the highest inflation rates in 2021 (Image Source: Reuters)

8 African countries with the highest inflation rates in 2021 (Image Source: Reuters)

Many African economies are currently pressured by high inflation.

This is a major problem because inflation erodes the value of money.

Inflation is measured by the rate at which prices of goods and services increase within a given timeframe.
In this article, we compared and analysed African countries' inflation rates as of August, 2021.

Figures were obtained from very reliable sources such as Statista.
Inflation is perhaps the biggest enemy to wealth creation.

This is because of how it silently [but consistently] erodes the value of money. Across Africa, inflation is an ever present problem, although many of those it affects do not know that it's affecting them.

Just to paint a picture of the havoc inflation can cause, let's quote Nigerian financial expert, Damilola Alonge, who wrote this in 2019:


“If you had N1 million in 2008 and it wasn’t invested, and the average inflation rate was 12% over the ten year period, your N1 million has now become N321, 973.24 in value. Meaning, your N1 million is now worth about N321, 000 today.”



African countries with the highest inflation rates in 2021
===
Whereas inflation is a general problem across much of Africa, some countries have it worse.

So, for today's listicle, we shall be looking at eight countries with the highest inflation rates on the continent.

As always, this piece is intended to keep you informed, even as you make wise business and financial decisions.

Also note that the list was derived from data compiled by Statista and other reliable sources.

EIGHT COUNTRIES WITH THE HIGHEST INFLATION RATE IN AFRICA || TANZANIA IS NOT MENTIONED

===

1.Sudan: The Republic of Sudan, which is located in the Northeastern part of the continent, has the highest inflation rate on the continent. According to Reuters, the country's inflation rate stands at a staggering 387.56%

2. Zimbabwe: At 50%, Zimbabwe's inflation rate is the second highest in Africa.

3. South Sudan: This country's inflation rate stands at 40%, making it the third highest in Africa.

4. Ethiopia: This country in the Horn of Africa saw its inflation rate rise to 37.6% in August, no thanks to ongoing armed conflicts which have affected the economy.

5. Angola: Angola has the fourth highest inflation rate in Africa at 29.7%.

6. Zambia: This country has an inflation rate of 22.1%.

7. Nigeria: Africa's biggest economy has an inflation rate of 17.59%.

8. Sierra Leone: Sierra Leone's inflation rate as at August stood at 10.88%, according to information verified from the country's statistics department.
Tanzania sisi tuko vizuri Sana kuhusu inflation, kama huamini fuatilia kwa wenzetu,
 
Uthubutu gani mkuu @Tujitemee
Mkuu unadhani ni jambo la masihara kueleza aliyoyaeleza mleta mada katika nyakati hizi, za tofali moja shilingi 1300 za kitanzania wataki tofali hilo limetokana na kuchanganya simenti mmoja na mchanga na kutoa matofali arobaini na saba?
 
<<<< Pia Soma hapa >>>>





Wholesale Inflation Rises To 14.23% In November, Highest In 16 Years - NDTV




 
Mkuu unadhani ni jambo la masihara kueleza aliyoyaeleza mleta mada katika nyakati hizi, za tofali moja shilingi 1300 za kitanzania wataki tofali hilo limetokana na kuchanganya simenti mmoja na mchanga na kutoa matofali arobaini na saba?
Bei ziko juu dunia yote
 

Nchi ya Tanzania kuelekea 2025 Rais Samia Suluhu amedhibiti mfumuko wa bei|| US, UK, Uturuki, Ujerumani hali ni mbaya.​

===

Nchi tajiri kabisa dunia ya Marekani inayomiliki zaidi ya asilimia 20 ya Uchumi wote wa dunia hii nayo ni muhanga wa hili,

Marekani inashuhudia mfumuko mkubwa na mbaya zaidi wa bei kuwahi kutokea katika historia ya nchi hiyo unaofikia asilimia 6.8,

Ahueni ni kwamba,Tanzania sisi tumesalia kwenye mfumuko wa bei uliyo kati ya asilimia 3 & 5.

Mfumuko huu wa bei wa nchi ya Marekani haujawahi kutokea kwa zaidi ya miaka 40 iliyopita,

Nchi ya Marekani kwa mara ya mwisho ilishuhudia mfumuko wa bei unaokaribiana na huu mwaka 1982,

Watanzania lazima mwelewe vizuri kadhia hii ya mfumuko wa bei Si kwa Tanzania na Marekani tu,UK, Uturuki, Ujerumani nako hali ni mbaya kuliko Tanzania,

Wakati watanzania wengi tunalalamika kwamba vitu vimepanda bei nchini hali ni tofauti sana kwa majirani zetu na duniani kote,

Watanzania lazima mwelewe,Kutokana na mlipuko wa Ugonjwa wa Covid -19 bei ya bidhaa na huduma karibu dunia nzima iko juu sana,

Ushauri wa bure kwa Watanzania wenzangu tufanye bidii kuelewa yanayoendelea huko duniani sio kulalamika na kuilalamika serikali yenu pekee ,

Kwa mujibu wa World Population Review Tanzania ilikuwa na Inflation ya asilimia 3.4 mwaka 2021 ambayo ni nzuri na yaafya,

Kenya wao inflation ilifikia asilimia 6.06 huku Rwanda ikipaa na kufikia asilimia 13.16 na Uganda ni asilimia 3.0 japo inflation imeendelea kupanda maeneo mengi,

Wakati huo huo huko duniani Venezuela wao hali ni mbaya zaidi kwani wanashika mkia kwa kuwa na inflation rate ( CPI ) ya asilimia 9,986,

Kwa Upande wa Africa Zimbabwe wanashika mkia kwa asilimia 56.8 ,

Zimbabwe wanaifanya SADC kuwa na ongezeko la inflation kwa mwaka 2020|21 linalofikia asilimia 3.5 na kuifanya SADC kuwa na annual inflation ya asilimia 46.9,

Inflation inachangiwa na mambo makubwa matatu ambayo ni Demand|Mahitaji ya bidhaa na huduma , Gharama za Uzalishaji|Cost of Production na Nguvu kazi au built in inflation

Tanzania kinachotusumbua ni "Cost Push Inflation " yaani mfumuko wa bei unaosababishwa na gharama za uzalishaji kupanda,

Hili limechangiwa zaidi na kuongezeka kwa bei za "mafuta" na kukosekana kwa Umeme wa uhakika wakati flani pia kupanda kwa malighafi mbalimbali,

Mpaka naandika makala hii mfumuko wa bei Tanzania kwa bidhaa na huduma kwa Vipimo vyote vya CPI,PPI na WPI unakisiwa kufikia kati ya asilimia 3 & 5 hii ni kwa mujibu wa ripoti ya mwisho ya BOT,

Tunaposema Tanzania ipo salama sana chini ya Mhe Samia Suluhu Hassan tunamaanisha haya,

Watanzania lazima tutambue kuwa kupanda kwa bei ya bidhaa na huduma Tanzania ni "JAMBO LA DUNIA NZIMA"

Kupanda kwa bei za bidhaa si jambo la Mama Samia Suluhu Hassan wala CCM, ACT-Wazalendo,NCCR-Mageuza au CHADEMA bali " Nijambo la dunia nzima" Tushikamane,

" Kilio cha wengi hugeuka sherehe "
View attachment 2070586
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Tanzania imejitahidi sana kupambana na mfumuko wa bei,

Asante sana Rais Samia kazi iendelee
 
KUPANDISHA BEI KIHOLELA NI KOSA KISHERIA MAMLAKA TAZAMENI HAYA
IMG-20220209-WA0019.jpg
 

Nchi ya Tanzania kuelekea 2025 Rais Samia Suluhu amedhibiti mfumuko wa bei|| US, UK, Uturuki, Ujerumani hali ni mbaya.​

===

Nchi tajiri kabisa dunia ya Marekani inayomiliki zaidi ya asilimia 20 ya Uchumi wote wa dunia hii nayo ni muhanga wa hili,

Marekani inashuhudia mfumuko mkubwa na mbaya zaidi wa bei kuwahi kutokea katika historia ya nchi hiyo unaofikia asilimia 6.8,

Ahueni ni kwamba,Tanzania sisi tumesalia kwenye mfumuko wa bei uliyo kati ya asilimia 3 & 5.

Mfumuko huu wa bei wa nchi ya Marekani haujawahi kutokea kwa zaidi ya miaka 40 iliyopita,

Nchi ya Marekani kwa mara ya mwisho ilishuhudia mfumuko wa bei unaokaribiana na huu mwaka 1982,

Watanzania lazima mwelewe vizuri kadhia hii ya mfumuko wa bei Si kwa Tanzania na Marekani tu,UK, Uturuki, Ujerumani nako hali ni mbaya kuliko Tanzania,

Wakati watanzania wengi tunalalamika kwamba vitu vimepanda bei nchini hali ni tofauti sana kwa majirani zetu na duniani kote,

Watanzania lazima mwelewe,Kutokana na mlipuko wa Ugonjwa wa Covid -19 bei ya bidhaa na huduma karibu dunia nzima iko juu sana,

Ushauri wa bure kwa Watanzania wenzangu tufanye bidii kuelewa yanayoendelea huko duniani sio kulalamika na kuilalamika serikali yenu pekee ,

Kwa mujibu wa World Population Review Tanzania ilikuwa na Inflation ya asilimia 3.4 mwaka 2021 ambayo ni nzuri na yaafya,

Kenya wao inflation ilifikia asilimia 6.06 huku Rwanda ikipaa na kufikia asilimia 13.16 na Uganda ni asilimia 3.0 japo inflation imeendelea kupanda maeneo mengi,

Wakati huo huo huko duniani Venezuela wao hali ni mbaya zaidi kwani wanashika mkia kwa kuwa na inflation rate ( CPI ) ya asilimia 9,986,

Kwa Upande wa Africa Zimbabwe wanashika mkia kwa asilimia 56.8 ,

Zimbabwe wanaifanya SADC kuwa na ongezeko la inflation kwa mwaka 2020|21 linalofikia asilimia 3.5 na kuifanya SADC kuwa na annual inflation ya asilimia 46.9,

Inflation inachangiwa na mambo makubwa matatu ambayo ni Demand|Mahitaji ya bidhaa na huduma , Gharama za Uzalishaji|Cost of Production na Nguvu kazi au built in inflation

Tanzania kinachotusumbua ni "Cost Push Inflation " yaani mfumuko wa bei unaosababishwa na gharama za uzalishaji kupanda,

Hili limechangiwa zaidi na kuongezeka kwa bei za "mafuta" na kukosekana kwa Umeme wa uhakika wakati flani pia kupanda kwa malighafi mbalimbali,

Mpaka naandika makala hii mfumuko wa bei Tanzania kwa bidhaa na huduma kwa Vipimo vyote vya CPI,PPI na WPI unakisiwa kufikia kati ya asilimia 3 & 5 hii ni kwa mujibu wa ripoti ya mwisho ya BOT,

Tunaposema Tanzania ipo salama sana chini ya Mhe Samia Suluhu Hassan tunamaanisha haya,

Watanzania lazima tutambue kuwa kupanda kwa bei ya bidhaa na huduma Tanzania ni "JAMBO LA DUNIA NZIMA"

Kupanda kwa bei za bidhaa si jambo la Mama Samia Suluhu Hassan wala CCM, ACT-Wazalendo,NCCR-Mageuza au CHADEMA bali " Nijambo la dunia nzima" Tushikamane,

" Kilio cha wengi hugeuka sherehe "
View attachment 2070586
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Tanzania mambo sio mabaya sana kwakweli
 
Back
Top Bottom