TANZANIA vs ALGERIA LIVE ON....

TANZANIA vs ALGERIA LIVE ON....

Binafsi matokeo ya leo nitamlalamikia zaidi kocha Jan Poulsen
 
Poulsen: hana jipya kwa Starz, tangu akabiziwe timu kiwango kinazidi kushuka, kuna haja ya kuachia ngazi si mpaka aundiwe tume.
 
Tunashambuliwa....Kaseja kadaka

Mpira umekwisha.......Yametimia
 
Kuna haja ya kuwategemea makocha wazalendo sasa....

Sioni lolote linaloletwa na hawa akina Poulsen

Mtalaumu makocha bure. System nzima ya mpira Tanzania ni mbovu. Msitegemee maajabu yoyote bila ya kusafisha system yote kwanza.
 
Huyu kocha kwa kweli inabidi ajivue gamba..
 
Ni wazi tumepoteza nafasi yetu leo, hadithi ni ile ile!
 
gooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo...............!!!!!!....hapana.......hapana.......hapana......ni goal kick.ilikuwa kazi nzuri ya ngasa.hadi sasa hivi wale watu wa mbagala mbagala kule gongo la mboto tegeta wanaanza kuondoka.wale wa tumbo lansokota.mia
 
Back
Top Bottom