Tanzania uchi wa mnyama sasa...

Tanzania uchi wa mnyama sasa...

Jamani ukiangalia huu mwandiko uliotumika kuandika hayo mabango siyo ya mtu mzima atakuawa na shida kwenye bongo yake ukiangalia vizuri huu mwandiko nadhani ni wa yule nani yule yule ambaye zito ana........................................
 
Usitukane unapomwambia mwenzako sio mzima unamaana gani ivi niwaulize watz bila kutukana kwani mada yako haitafikisha ujumbe kwa mlengwa. Nadhani ni wakati Mods kuangalia hili jukwaa upya kuna watu badala kutoa hoja wanabaki kuwatukana wenzao watu kama hawa wanatakiwa wafungiwe for 2 months at least they will understand the meaning of JF.
Wewe siyo mzima wanafunzi walikuwa wanadai haki gani pale kama kweli unauepwezo wa kuchambua mabo bila ushabiki.
 
Wewe jipe moyo tuu time will tell. Mimi niko kwenye nchi ya amani na inayojali haki ya kila mmoja. Siku nilipomwonyesha mmoja ile report hajaamini hadi leo na bado wanaendelea na uchunguzi usifikiri watu tumelala tunafanya kazi ijapokuwa tuko nje ya nchi hadi kieleweke.
Aisee!! Yaani hadi leo wanaendelea na uchunguzi na hawajafahamu ni nani kwa yakini alimuua Mwangosi? Naomba ujibu swali langu la msingi.....Unazani USA wanaweza ku-rely kwenye mabango ya barabarani wakati wana majasusi wao hapa nchini? Unazani USA hawakupata hizo habari kupitia majasusi wao?! Kama bado walikuwa hawajapata then am sorry to say US IS DEAD!!
 
Usitukane unapomwambia mwenzako sio mzima unamaana gani ivi niwaulize watz bila kutukana kwani mada yako haitafikisha ujumbe kwa mlengwa. Nadhani ni wakati Mods kuangalia hili jukwaa upya kuna watu badala kutoa hoja wanabaki kuwatukana wenzao watu kama hawa wanatakiwa wafungiwe for 2 months at least they will understand the meaning of JF.
Nazani wana-magwanda wote wangekuwa na akili kama yako basi hili jamvi lingenoga and am very sure hata viongozi wakuu kama JK ingekuwa wanakuja humu na kukumbana na hoja za msingi!! Tatizo, ni wana-magwanda wenzako ndio wameliharibu hili jukwaa!! Wengi wao bila kutoa matusi na kugha chafu hawaridhiki kuonesha kwamba hawaipendi serikali iliyopo madarakani!

Keep it up!
 
Sina uhakika kama walipata hizo habari na kama ndo basi ni heri kwa watanzania wote wanaopenda mageuzi. Wanaweza ku rely on bandos mfano mzuri ni kwangu hapa nilipoipeleka ile report ofisi moja nchi ninayoishi sio USA walishtuka sana wakaniuliza are sure this is from Tz the beautiful country and i replied to him yes from Tanzania. Aliichukua ile report na kuendelea kuisoma. Kwa hiyo unaweza kuona kwamba sio nchi au watu wote wanaweza kupata informations fulani kwenye nchi husika.
Aisee!! Yaani hadi leo wanaendelea na uchunguzi na hawajafahamu ni nani kwa yakini alimuua Mwangosi? Naomba ujibu swali langu la msingi.....Unazani USA wanaweza ku-rely kwenye mabango ya barabarani wakati wana majasusi wao hapa nchini? Unazani USA hawakupata hizo habari kupitia majasusi wao?! Kama bado walikuwa hawajapata then am sorry to say US IS DEAD!!
 
Wengi wetu tusichokijua ni kuwa kuwashtaki CCM kwa Mataifa ya Magharibi ambao ni main beneficiaries wa madini yetu ni sawa na kesi ya Tumbili Hakimu Nyani...Tukomae wenyewe kama tukimalizana poa tu ...
 
Sina uhakika kama walipata hizo habari na kama ndo basi ni heri kwa watanzania wote wanaopenda mageuzi. Wanaweza ku rely on bandos mfano mzuri ni kwangu hapa nilipoipeleka ile report ofisi moja nchi ninayoishi sio USA walishtuka sana wakaniuliza are sure this is from Tz the beautiful country and i replied to him yes from Tanzania. Aliichukua ile report na kuendelea kuisoma. Kwa hiyo unaweza kuona kwamba sio nchi au watu wote wanaweza kupata informations fulani kwenye nchi husika.
Mimi hoja yangu ili-base USA coz' mtoa mada ndo anakosema kwamba hayo mabandiko yapo!! Kwa nchi zingine inawezekana wasifahamu coz' intelligence system ya nchi zingine ni tofauti na ile ya USA ambayo wao kutokana na sababu za kiusalamu; kila waliko lazima watakuwa na majasusi attached as diplomats, business execs and the like!!

Huko ulikopeleka wewe, unasema wakashangaa! WHY? Coz' wana-trust Tanzania!! Mtu ukitaka kuwa fair unaweza kujiuliza ni nchi gani basi duniani ambayo ipo completely clean! Siungi mkono yaliyomkuta Mwangosi, Ulimboka au Kibanda! But believe it or not; kwenye hizo nchi ambazo tunataka ku-rely on wanaletewa mambo ya kutisha maradufu kuliko yaliyofanyika hapa Tanzania ingawaje nayo si ya kupuuuza! Lazima wajiulize, kama utamfikisha JK ICC, atabaki kiongozi gani Afrika, au hata Asia, South America na hata baadhi ya nchi za Ulaya!! Lazima wajiulize utaacha kiongozi gani Middle East!! Hapo ndipo diplomasia inapofanya kazi yake!! Lakini uzuri zaidi ni kwamba hata hao wa Magharibi huwa wanafanya umafia tena mbaya zaidi kuliko huu!! Kinachowasaidia ni kwamba wanafanya well planned and organised crimes which leave no lead behind!
 
Ni kweli kwamba hali ya nchi yetu inakera hivi sasa. Lakini kuweka mabango kama haya ulaya na marekani na japan na kwingineko kwingi, wala hatuisaidii Tanzania badala yake tunaiumiza. Kama tuna uwezo tuandike barua za moja kwa moja kwa Obama na marais wengine wa ulaya kueleza hali halisi ya maisha na ukandamizaji wa demokrasia unaofanywa na serikali ya CCM. Lakini kuweka mabango ni kujiumiza wenyewe. Maana hata wale waliokuwa hawajui chochote kuhusu Tanzania, sasa watajua, tutakosa watalii, tutaharibu jina la nchi yetu kimataifa etc. Tuwe wazalendo, tuombe hayo mataifa makubwa yamshughulikie mtu binafsi ambaye ni Kikwete. Na njia nzuri isiwe sasa ni ya kujidhalilisha, bali ni ya kutumia utaratibu mzuri ambao utashirikisha third party bila kuathiri status yetu.

Kule kwetu, mwanamke akipigwa na mmewe ndani halafu akatoka anapiga kelele mtaani kwamba amepigwa, huwa inakuwa ni aibu yake yeye aliyepigwa. Lakini akitoka kimya kimya kwenda kuwaita wazee waje wamuonye mme wake, huwa ni aibu ya mme, kwa kuwa wazee wakija watamsema sana huyu mme. Lakini kama mwanamke huyu atatoka na kupiga kelele mtaani, watu wote watamcheka kwamba huyu huwa anadundwa na mmewe. Tuchukue mfano huo. Kupiga kelele njiani, ni kuidhalilisha nchi yetu.

Mdau nipo kinyume chako katika hili:
Vigumu mno barua ya wewe na mimi iwafikie hao unaowasema, maana kama ni taarifa tu hata balozi zao zimewakilisha kwao juu ya mambo haya.

Njia mbadala ambayo inawashtua hawa watu ni kuanika mambo hadharani na kwa njia hiyo kila kuku hupita na kudonoa huu mtama hatimaye uvumilivu unawashinda na kuamua kushikia mabango jambo hili.

Kama ukitaka kujua mambo yameshamharibikia Kikwete, zile safari za mara kwa mara marekani zimesitishwa, nini tatizo? Ameshashtukiwa.
 
Hahahaha!. Hao ndiyo kina Mzee Mwanakijiji ambaye alisema kuwa atawakilisha ujumbe huu kwenye Congress ya USA.

Kumbe ulikuwa unaenda kuwekwa barabarani.

Kwa Tanzania wasiovinjari au hawajawahi kuishi kwenye mataifa ya Magharibi wanaweza kushangaa kuona mabango kama haya kuhusu Tanzania.

Mabango kama haya mbona niya kawaida sana kwenye western countries. Wakati mwingine unaweza kupita hata usishangae. Inakuwa ni sawa na kuangalia TV halafu wakati mwingine usi notice kama kuna matangazo ya bishara yanatangazwa baada ya main event.

Sitashangaa hata watu wakawa wanapita bila hata ku-notice kama kuna kitu kama hicho.
 
Last edited by a moderator:
Mtoa maada umefikisha ujumbe ila wale wanaokula kupitia lumumba hakika watakukatalia maana wao akili inawaza misaada nje ya hapo wanakufa ka njaa
 
Mabango kama haya ni sawa na PLACEBO kwa watanzania wanamchukua Rais Kikwete na Serikali yake. Hayana impact yoyote kwenye Obama Administration foreign policy kuhusu Tanzania zaidi ya kufurahisha wapita njia na watalii kwenye mtaa huo.

Obama Adminstration inafahamu kila kinachofanyika Tanzania zaidi ya hao walioweka mabango yao hapo njiani. Balozi zao za nchi za nje zimejaza makachero kwa kazi kama hizi. Foreign policy za wenzetu hazibadiriki badiriki kama za kwetu kwamba kadri ya mapenzi na utashi wa Rais. Watu wajinga walidhani Obama angebadilisha foreign policy toward Middle East na jinsi ya kushughurikia wafungwa wa kijasusi, what happen now!.

Kuna huyu jamaa hapa Uk alikuwa akiitwa Brian Haw aliweka mabango kama hayo kwa muda wa karibia miaka 12 mbele ya mlango wa bunge akilala na kuamuka hapo hapo na kwa siku nzima akihutubia wapita njia na wabunge kuhusu mateso ya Palestine na uvamizi wa Iraq na unyanyasaji unaofanywa na UK na USA kwa nchi maskini lakini mwishowe serikali wakamchoka na kwenda mahakani kupata kibari cha kumwondoa na akaondolewa.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    62.3 KB · Views: 76
  • image.jpg
    image.jpg
    33.2 KB · Views: 97
  • image.jpg
    image.jpg
    73.6 KB · Views: 75
always think b4 u reap as a man. have a beautifuly mind that will give you a power of positive thinking
 
Mabango kama haya ni sawa na PLACEBO kwa watanzania wanamchukua Rais Kikwete na Serikali yake. Hayana impact yoyote kwenye Obama Administration foreign policy kuhusu Tanzania zaidi ya kufurahisha wapita njia na watalii kwenye mtaa huo.

Obama Adminstration inafahamu kila kinachofanyika Tanzania zaidi ya hao walioweka mabango yao hapo njiani. Balozi zao za nchi za nje zimejaza makachero kwa kazi kama hizi. Foreign policy za wenzetu hazibadiriki badiriki kama za kwetu kwamba kadri ya mapenzi na utashi wa Rais. Watu wajinga walidhani Obama angebadilisha foreign policy toward Middle East na jinsi ya kushughurikia wafungwa wa kijasusi, what happen now!.

Kuna huyu jamaa hapa Uk alikuwa akiitwa Brian Haw aliweka mabango kama hayo kwa muda wa karibia miaka 12 mbele ya mlango wa bunge akilala na kuamuka hapo hapo na kwa siku nzima akihutubia wapita njia na wabunge kuhusu mateso ya Palestine na uvamizi wa Iraq na unyanyasaji unaofanywa na UK na USA kwa nchi maskini lakini mwishowe serikali wakamchoka na kwenda mahakani kupata kibari cha kumwondoa na akaondolewa.

Ndipo hapo naposhangaa au wanadhani bin laden alilengeshwa na mzungu utakuta muuza matunda wa pakistani tu anaripoti straight to CIA na wewe na mabango yako unaenda kukesha barabarani. Watu wanajua mpaka what is being planned wewe unawawekea picha za what has already happened.

Forget about wazungu tu wanaofanya nao biashara, sijui wanaotoa charity, religious charities za dini zote, western medias including BBC swahili; coming to think of it you name the organisation they all have agents reporting to CIA Kuna watu mpaka ndani ya Tiss yenu wanawatumikia wao.

Ukijumlisha na collaborative working za western intelligence not much passes them hivi unadhani kama kuna watu wanaweza ku-hack na kuingia ndani ya computer za Pentagon and these are the people that manufacture the computers and the softwares to run and protect them. What makes you think you the buyer are secured with ya electronic devices. These people can hack even the phonelines of a western prime minister should they gamble to do so let alone communication channels za Tiss.

Shangaa kila ovu linalotokea utaambiwa kwenye media the CIA new about it, or a certain intelligence group had warned about that, dont mess with the Obama intelligence.

Nevertheless he/she is also entitled to inform the public of what is happening in Tanzania, but don't kid yourself the Obama administration is interested; well unless Tanzania starts selling uranium to Iran, ndipo hapo hata mwenye hayo mabango tutamuona CNN.
 
Wanataka Fujo chadema hapa USA banaa.mtaanza kujikita mnafuatiliwa kwa uchochezi wa Fujo Kwenye Nchi Za watu .Dah mbona chadema mna fujo

Nilichogundua cdm ni kweli na haki na ccm ni uovu na uonezi sasa watakaaje pamoja? CCM ni utawala wa shetani na cdm ni utawala wa haki na Mungu
 
Hata bila kuhusisha mabango, mauaji kama ya walemavu wa ngozi hushusha hadhi ya nchi kimataifa!
 
Hatua ya Tanzania kushtakiwa kwenye mitaa ya mamtoni ninaipinga kwa mikono miwili.Tuna weaken our countries sovereignity wenyewe.Mbona hakuna kinachoshindikana hukuhuku?
Wazungu wanabaki kutuchora na kutujadili watanzania wote na si kundi la watu.Forum kama hii ni moja wapo ya maeneo huru kuijadili serikali,vyama na uongozi,sasa kwenye mitaa ya mamtoni tunajipendekeza ya nini?TUBADILIKE
 
Nimepita kwenye mitaa ya hapa washington DC katika mtaa wa colombia na 18 street[adams morgan].Nimeona kuna mabango na Matagazo kuhusu uonevu unaofanywa na serikali ya ccm huko Tanzania.Ni picha za akina mwangozi,mauaji ya morogoro,mauaji kule songea,na arusha.Nimeona watu wengi wanasema hii Tanzania si inchi ya amani hii imetoka wapi tena?.Kuna mwingine akasema imebadilika sana.Tunachotakiwa ni kupiga simu au kumweleza congress man wako kuhusu hii issue.Tupate ukweli wake.

Kama hayo uliyoandika ni ya kweli basi chadema mnatupeleka kubaya. Sipendi hata kidogo chama kinachokaa kinafikinafiki, chamaa kinachokaa kama kibaraka. Marekani ni marekani na tanzania ni tanzania.
 
Back
Top Bottom