Tanzania uchi wa mnyama sasa...

Tanzania uchi wa mnyama sasa...

utakua umepost wewe, bila shaka

Nyani hata umfukuze vipi, hung'ang'ania akidai shamba ni lake na mazao ana uhalali wa kula atakavyo. Aibu na njaa huanza mahindi yanapokauka tu.
 
Wala hayuko pekee yake kamanda tupo pamoja tena naona kama wewe ndo umetuamsha maana tunataka kuweka mabango yetu haraka sana. Nimengalia maji ya kuwasha waliokuwa wakimwqagiwa wanafunzi wanaodai haki yao nikajisikia kulia Mungu nipe nguvu nikiwa huku nje niweze kufanya kazi za ukamanda ili nchi iokolewe kwenye mikono ya mkolono mweusi. Ndio tumenza kazi hadi Jk akisikia nje ya nchi apaone kituo cha polisi
Kuonyesha kuwa uzi wako umedharauliwa, umebaki peke yako unautetea. Haibu sana hiyo
 
Kweli si watu wote wanatumia vichwa kufikiil wengine hutumia kufuga nywele tu kama huyu jamaa aliyeleta huu uzi eti wamarekani sisi wanatuhusu nini na sela zao za ushoga hukohoko na hayo mambo yenu kama unawapenda wamarekani wapeleke kwenu halafu fanya mawasiliano na tanzania daima kesho waandike kwenye gazeti lao lal kesho.
 
Siamini kama Watanzania waishio USA wamefikia hali ya kujidhalilisha kiasi hiki!! Yaani unaenda kubandika mabango ya kuonewa Ughaibuni?! So what?! Yaani USA na CIA yake iache intel kutoka CIA na ichukue maamuzi kupitia mabango ya barabarani!! Poor Tanzanians!
 
[
attachment.php
 
kazi ya chadema eti ndio wameshitaki poor chadema poor mbowe,poor slaa
Mfalme... bado huamini uko uchi? Eti fundi cherehani kakushonea vazi la dhahabu watu wema tu ndio wanaliona kwa upumbavu unatembea uchi.
 
mbona umejua nini kilichoandikwa.je ningeongea kinugu[ameracan slang]ungeelewa wewe????????????????
 
Kweli watz tumelala ivi wewe ulifikiri force ya mageuzi kwenye nchi zilizoendelea zinaanzia wapi? Usiandike bila kufanya uchambuzi. Inabidi huo uongozi wa Jk ujiandae kwenda mahakama ya kialifu na hilo halina mjadala. Ila kazi kubwa nikuweka vigezo kwa nini apelekwe huko kwa kuonyesha hizi video na picha za mauaji na uzalilishaji. Tuko kazini hadi kieleweke
Siamini kama Watanzania waishio USA wamefikia hali ya kujidhalilisha kiasi hiki!! Yaani unaenda kubandika mabango ya kuonewa Ughaibuni?! So what?! Yaani USA na CIA yake iache intel kutoka CIA na ichukue maamuzi kupitia mabango ya barabarani!! Poor Tanzanians!
 
..huu uzi kuna watu umewachoma sana!naona tu walivyokuja faster kuharibu mada,but msg sent
 
Mfalme... bado huamini uko uchi? Eti fundi cherehani kakushonea vazi la dhahabu watu wema tu ndio wanaliona kwa upumbavu unatembea uchi.

hata hivyo sikuzaliwa na nguo mwanadamu hupo uchi sikuzote
 
Wala hayuko pekee yake kamanda tupo pamoja tena naona kama wewe ndo umetuamsha maana tunataka kuweka mabango yetu haraka sana. Nimengalia maji ya kuwasha waliokuwa wakimwqagiwa wanafunzi wanaodai haki yao nikajisikia kulia Mungu nipe nguvu nikiwa huku nje niweze kufanya kazi za ukamanda ili nchi iokolewe kwenye mikono ya mkolono mweusi. Ndio tumenza kazi hadi Jk akisikia nje ya nchi apaone kituo cha polisi
Wewe siyo mzima wanafunzi walikuwa wanadai haki gani pale kama kweli unauepwezo wa kuchambua mabo bila ushabiki.
 
Kweli watz tumelala ivi wewe ulifikiri force ya mageuzi kwenye zilizoendelea zinaanzia wapi? Usiandike bila kufanya uchambuzi. Inabidi huo uongozi wa Jk ujiandae kwenda mahakama ya kialifu na hilo halina mjadala. Ila kazi kubwa nikuweka vigezo kwa nini apelekwe huko kwa kuonyesha hizi video na picha za mauaji na uzalilishaji. Tuko kazini hadi kieleweke
Zilianzia wapi? Tanzania? Acha kuota ndoto za mchana wewe!! Hivi kati ya JK na marais wa USA ni nani anatakiwa kufikishwa kwenye mahakama za uhalifu? Kama walishindwa kumfikisha Mkapa pamoja na mauaji ya wana-CUF 21 ndo wamfikishe JK?! Hivi unazani USA wanaweza ku-rely kwenye mabango ya mitaani wakati wana majasusi wao kila kona?! Yaani kwa ufahamu wako unazani USA hawafahamu kwamna Mwangosi aliuawa? Narudia, mnajidhalilisha!! Hii ni kuonesha kwamba mmeshindwa harakati na sasa mnasubiria hisani kutoka magharibi! Hakika ni aibu! Waasi wa Syria pamoja na kwamba wanakabiliwa na mapigano makali toka kwa wanajeshi wa serikali yao, lakini walikataa majeshi kutoka nje kuingilia!! Iran pamoja na kwamba walikuwa ndani ya conflict kubwa kati yao na Iraq ya Sadaam Hussein, lakini walikataa ardhi yao kutumika kumuondoa Sadam Hussein!! Walikataa coz' wanaheshimu utu wao!! Narudia tena, mnajidhalilisha coz' hao Wamerekani hawaezi ku-keep attention kupitia mabago ya barabarani coz' wana source zao hapa nchini!

By the way, kama ingekuwa ni issue ambayo Wamarekani wangekuwa na interest nayo basi tungeona watu hapo wamejazana kusoma lakini ninachoona ni akina mama wakiwa hawana hata time huku Mmatumbi mmoja akionekana kusoma mabandiko yenyewe!!!!!!
 
Ni kweli kwamba hali ya nchi yetu inakera hivi sasa. Lakini kuweka mabango kama haya ulaya na marekani na japan na kwingineko kwingi, wala hatuisaidii Tanzania badala yake tunaiumiza. Kama tuna uwezo tuandike barua za moja kwa moja kwa Obama na marais wengine wa ulaya kueleza hali halisi ya maisha na ukandamizaji wa demokrasia unaofanywa na serikali ya CCM. Lakini kuweka mabango ni kujiumiza wenyewe. Maana hata wale waliokuwa hawajui chochote kuhusu Tanzania, sasa watajua, tutakosa watalii, tutaharibu jina la nchi yetu kimataifa etc. Tuwe wazalendo, tuombe hayo mataifa makubwa yamshughulikie mtu binafsi ambaye ni Kikwete. Na njia nzuri isiwe sasa ni ya kujidhalilisha, bali ni ya kutumia utaratibu mzuri ambao utashirikisha third party bila kuathiri status yetu.

Kule kwetu, mwanamke akipigwa na mmewe ndani halafu akatoka anapiga kelele mtaani kwamba amepigwa, huwa inakuwa ni aibu yake yeye aliyepigwa. Lakini akitoka kimya kimya kwenda kuwaita wazee waje wamuonye mme wake, huwa ni aibu ya mme, kwa kuwa wazee wakija watamsema sana huyu mme. Lakini kama mwanamke huyu atatoka na kupiga kelele mtaani, watu wote watamcheka kwamba huyu huwa anadundwa na mmewe. Tuchukue mfano huo. Kupiga kelele njiani, ni kuidhalilisha nchi yetu.
 
ni ukweli usio pingika....hata bibi yangu huko kijijini analijuwa hilo
 
Wala hayuko pekee yake kamanda tupo pamoja tena naona kama wewe ndo umetuamsha maana tunataka kuweka mabango yetu haraka sana. Nimengalia maji ya kuwasha waliokuwa wakimwqagiwa wanafunzi wanaodai haki yao nikajisikia kulia Mungu nipe nguvu nikiwa huku nje niweze kufanya kazi za ukamanda ili nchi iokolewe kwenye mikono ya mkolono mweusi. Ndio tumenza kazi hadi Jk akisikia nje ya nchi apaone kituo cha polisi
Wewe siyo mzima wanafunzi walikuwa wanadai haki gani pale kama kweli unauepwezo wa kuchambua mabo bila ushabiki.
 
hata hivyo sikuzaliwa na nguo mwanadamu hupo uchi sikuzote

Mnalalamika sana stroke na wenzio kwani hayo mabango yaliyowekwa yanasema uongo? Police wa Tanzania hawajafanya hivyo vitu? Nyie ni watanzania wa wapi? Au kuna part ya
Tanzania iko outer space?
Unatetea serikali kwa grounds zipi?
 
Wewe jipe moyo tuu time will tell. Mimi niko kwenye nchi ya amani na inayojali haki ya kila mmoja. Siku nilipomwonyesha mmoja ile report hajaamini hadi leo na bado wanaendelea na uchunguzi usifikiri watu tumelala tunafanya kazi ijapokuwa tuko nje ya nchi hadi kieleweke.
Zilianzia wapi? Tanzania? Acha kuota ndoto za mchana wewe!! Hivi kati ya JK na marais wa USA ni nani anatakiwa kufikishwa kwenye mahakama za uhalifu? Kama walishindwa kumfikisha Mkapa pamoja na mauaji ya wana-CUF 21 ndo wamfikishe JK?! Hivi unazani USA wanaweza ku-rely kwenye mabango ya mitaani wakati wana majasusi wao kila kona?! Yaani kwa ufahamu wako unazani USA hawafahamu kwamna Mwangosi aliuawa? Narudia, mnajidhalilisha!! Hii ni kuonesha kwamba mmeshindwa harakati na sasa mnasubiria hisani kutoka magharibi! Hakika ni aibu! Waasi wa Syria pamoja na kwamba wanakabiliwa na mapigano makali toka kwa wanajeshi wa serikali yao, lakini walikataa majeshi kutoka nje kuingilia!! Iran pamoja na kwamba walikuwa ndani ya conflict kubwa kati yao na Iraq ya Sadaam Hussein, lakini walikataa ardhi yao kutumika kumuondoa Sadam Hussein!! Walikataa coz' wanaheshimu utu wao!! Narudia tena, mnajidhalilisha coz' hao Wamerekani hawaezi ku-keep attention kupitia mabago ya barabarani coz' wana source zao hapa nchini!

By the way, kama ingekuwa ni issue ambayo Wamarekani wangekuwa na interest nayo basi tungeona watu hapo wamejazana kusoma lakini ninachoona ni akina mama wakiwa hawana hata time huku Mmatumbi mmoja akionekana kusoma mabandiko yenyewe!!!!!!
 
Wewe siyo mzima wanafunzi walikuwa wanadai haki gani pale kama kweli unauepwezo wa kuchambua mabo bila ushabiki.
Kwahiyo kwa uelewa wako wewe kibwete wanafunzi wa IAA walikuwa hawadai haki yoyote? Na walikuwa wanataka kuandamana kwenda kwa mkuu wa mkoa kuuza sura? Thinking hii ya CCM kwa kweli itakuja iwatokee puani. Kwa kuwa ninyi mnaishi mikocheni na msasani ambako hakuna vibaka, basi mnawaona wanaoandamana kudai kulindwa dhidi ya vibaka, hawadai haki ya msingi. Hata watoto wa Ghadafi walikuwa wana imani kama yenu. Ipo siku mtajuta nawaambieni.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom