Tanzania uchi wa mnyama sasa...

Tanzania uchi wa mnyama sasa...

attachment.php
 
wewe najua ni yule shushu ambaye alisomea kule ulaya mashariki .najivunia sana akili zao.yaani utafurahia sana.ndio wanamshauri rais hadi tumefika hapo.tuwapongeze jamaniiiiiiiiiiiiiiiiii
Kuonyesha kuwa uzi wako umedharauliwa, umebaki peke yako unautetea. Haibu sana hiyo
 
Watanzania muda umefika husiwe na woga wala lolote lile saa ya ukombozi imefika sasa.chagua meli ya chadema itakufikisha unakokwenda sio meli ya magamba ambayo haina naoza hadi sasa.peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Hayo mabango yenu mnayoenda kuyapichika wenyewe yatakuja kuaribu utalii bure ambao tayari legelege na kuipotezea Tanzania kipato. Especially ukizingatia mataifa makubwa kama marekani hawahitaji mambango yenu if they are seriously concerned about the abuse of international human rights acts, ungeona viongozi wa serikali na upinzani wanakuwa summoned differently to explain the state of the nation.

Wao wanawatu ambao they report everything the government does they know about everything including embezzlement, what happened kwenye matukio ya mikutano kuliko hata Tiss na Kikwete some of the external deal makers are there people. Hivi unazani mzungu anacheza game of chances or anataka facts (meaning he has to have reliable sources muhimu hapa ni watu waliokula kiapo chake).
 
Huu ni muziki mkubwa sasa hivi,haturudi nyuma sasa .tutatoa elimu kokote ,mpaka katiba mpya itakapokuwa ni ya kweli bila lawama kutoka kila kona.nani ananufaika na utalii unaosema .kama sio magamba ambao ni wachache.sasa ni zamu yao kulala na njaa.
 
Kweli vijana mnatimiza wajibu wenu mliewa na wzee wenu jitahidini kupandikiza hizo propaganda lakini watanzania nao wanamacho si vipofu,ujila mnaolipwa haupo sawa na tanzania unayopigania kuichafua hongera na mungu anakuona na adhabu yako utaikuta tu mbinguni.
 
Bado tumejiandaa kuweka kongamano kila kona ya washington DC,Kumbe wamarekani walikuwa hawajui.sasa watajua msikonde

hapo mwanakijiji anahusika sana ndio anapenda siasa za uharakati nasikia ana id nyingi.tetesi
 
Sure mkuu. Wamesahau pia kuweka picha ya ben saanane ambaye anatembea na sumu usiku na mchana

hahaha siku hizi amepewa kamkoba flani hiv na jose mushumbuz kana tunza zana zote kamepigwa chata ya toxic m4zitto
 
nyie watu wa TISS.Najua ndio mnaongea hapa.sasa nawashauri kuwa mkasome ili mbadilike na tujenge taifa.Na sio kama mnavyofanya sasa.akili ndogo haiwezi kutawala akili kubwa kamwe
 
too bad papers zako zikiisha unakimbilia ubalozini kuomba wakusaidie, sasa kama kidume, kaombe ukimbizi kabisa huko, hatuhitaji wasaliti kama wewe..

nyie mnataka kugombana na kila nchi,shirika mmerogwa!
 
Huu ni muziki mkubwa sasa hivi,haturudi nyuma sasa .tutatoa elimu kokote ,mpaka katiba mpya itakapokuwa ni ya kweli bila lawama kutoka kila kona.nani ananufaika na utalii unaosema .kama sio magamba ambao ni wachache.sasa ni zamu yao kulala na njaa.
Hatuna mpango na marekani,nyie kwa vile mnachokitafuta kwa marekani na denmark endeleeni ila hamtofanikiwa watanzania waliwajua nia na mazumuni yenu kazi mnayo,kwetu sisi hamwashi ila wenyewe nyota inawaka na tunazidi kuishi hamtopata mnalopata.
 
nyie watu wa TISS.Najua ndio mnaongea hapa.sasa nawashauri kuwa mkasome ili mbadilike na tujenge taifa.Na sio kama mnavyofanya sasa.akili ndogo haiwezi kutawala akili kubwa kamwe
Huyu naye kaja na lingine jiiiiiiiiiiiiiiiiiipya mbona mbowe anawaongoza akina zito au hujuwi.
 
Nakubali mimi ni mkimbizi wa wa uchumi ambaye naleta dola kwenye serikali ya magamba hapo.Na pia ni ni mkimbizi hapo nyumbani Tanzania.mimi ni Mgogo.imebidi nijibu swali la mtu kaniuliza hapo.naomba nae ajibu yeye ni kabila gani?
 
EU na USA wanajua hii ni serikali y aki-islamists hasa baada ya kupigwa risasi Father huko Zanzibar, na influence ya Waarabu katika serikali ya sasa.
Yaliyowapata Lwakatare na Lema ,tayari yako kwenye radar Ulaya.

EU bado wanafund budget yetu,hivyo hawafurahi repressive regime kama ya sasa
 
Back
Top Bottom