Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,178
- 162,654
Inabidi Tanzania iwekewe vikwazo vitatu.
watawala wetu kutoruhusiwa kusafiri ulaya na marekani kwani wanafuja pesa zetu
Japan kutoiuzia serikali ya Tanzania magari ya kifahari
Nchi wahisani kukatiza misaada yao ya fedha kwani misaada hiyo inaliwa na wachache huku tukibakiwa na deni kubwa la taifa fedha ambazo hazijulikani zimetumikaje.
Tuna madini ya kila aina, gesi,utalii na kilimo, tukinyimwa misaada tutatia akili.
ukisoma hii post kuna mijitu inapinga kila kitu kwa vile imetumwa kuharibu jukwaa letu.
copy kwa mlengo wa kati, stroke, M23, bungeni na wengineo wasio na haya ya kuitakia mema nchi kwa vile wanashiba matumbo yao.
time will tell.
Mkuu, hata mabomu ya machozi wasiuziwe kwasababu wanaya-misuse kwa kuyapiga kwenye matumbo ya watu!