Tanzania uchi wa mnyama sasa...

Tanzania uchi wa mnyama sasa...

Una wivu mbaya saaaaaana du .Pole maana usingizi unapata wewe kweli jamani ,upo USA unawaza Chadema pole mnooooo

Natalia una upeo mdogo sana hasa kwa comment zako.. nashangaa US wew ulifika vp??? rudi kwa jukwaa la mapenzi ndo kuna kufaa, huku unatuharibia thread.. kuwa marekani haiondoi utanzania wako na ni dhahiri wew ni kati ya watu wanaokuwa mwili tu huku akili ikidumaa..
 
Alichokifanya huyo aliyeweka mabango ni kuchukua walichotuma asasi za kiraia including LHRC kwenda UN. Hii ni taafrifa ya siku ngingi na alichokifanya mweka mabango ni kuhabarisha umma wa US, which is ok.
 
Washington ndiyo nini hata hapa nilipo kuna picha za maiti za watoto wa Iraq, Afganistan, Libya, Libya.

Chadema wanategemea waingizwe madarakani na Marekani.

Utumwa wa kiakili mbaya sana.
 
[h=3][/h]

Ukipita kwenye mitaa ya Washington DC katika mtaa wa colombia na 18 street [adams morgan]. Utona kuna mabango na Matagazo kuhusu uonevu unaofanywa na serikali ya Tanzania. Ni picha za akina mwangozi, mauaji ya morogoro, mauaji kule songea, na arusha. Watu wengi wanasema hii Tanzania si inchi ya amani hii imetoka wapi tena?.Kuna mwingine akasema imebadilika sana. Tunachotakiwa ni kupiga simu au kumweleza congress man wako kuhusu hii issue. Tupate ukweli wake.
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD]
TANZA2.JPG
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD]
TANZA1.JPG
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]
HII NI HATA RI SANA..
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

TANZA3.JPG


Posted by kabange kitongoni at 4:24 PM
 
Nakumbuka sana maneno ya babu yangu alinambia mjukuu wangu mkiwa na tatizo ndani ya familia kaeni myamalize wenyewe.Kwenda kusema nje ni kujidhalilisha kwani hata hao mtakaoenda kuwaambia nao wana matatizo yao pia.Nikilichukulia hili suala katika ngazi ya kitaifa kitendo hiki si cha kiungwana hata kidogo.Ni lini Marekani wamewahi fanya upuuzi kama huo?Tuwe wazalendo jamani.
 
Washington ndiyo nini hata hapa nilipo kuna picha za maiti za watoto wa Iraq, Afganistan, Libya, Libya.

Chadema wanategemea waingizwe madarakani na Marekani.

Utumwa wa kiakili mbaya sana.

.
Ili uifahamu Washington vizuri ni lazima ufuatilie safari za mh rais wetu kutembeza bakuli la kuomba misaada, ni nchi gani amelirudisha mara nyingi zaidi ya nyingine.
.
 
Can you do better pictures please?






Ukipita kwenye mitaa ya Washington DC katika mtaa wa colombia na 18 street [adams morgan]. Utona kuna mabango na Matagazo kuhusu uonevu unaofanywa na serikali ya Tanzania. Ni picha za akina mwangozi, mauaji ya morogoro, mauaji kule songea, na arusha. Watu wengi wanasema hii Tanzania si inchi ya amani hii imetoka wapi tena?.Kuna mwingine akasema imebadilika sana. Tunachotakiwa ni kupiga simu au kumweleza congress man wako kuhusu hii issue. Tupate ukweli wake.
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD]
TANZA2.JPG
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD]
TANZA1.JPG
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]
HII NI HATA RI SANA..
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

TANZA3.JPG


Posted by kabange kitongoni at 4:24 PM
 
Siku hizi haitwi na hawezi enda kichwa kichwa tena Marekani baada ya issue ya Iran kutumia bendera yetu!wamarekani wameshamjua kuwa kinyonga ,pia baada kuhongwa suti walimtoa thamani!!na kusaini mikataba 19 ku save mwana wa Sultan asinyongwe!!Sultan Mangungo wa Tanzania!
 
Nakumbuka sana maneno ya babu yangu alinambia mjukuu wangu mkiwa na tatizo ndani ya familia kaeni myamalize wenyewe.Kwenda kusema nje ni kujidhalilisha kwani hata hao mtakaoenda kuwaambia nao wana matatizo yao pia.Nikilichukulia hili suala katika ngazi ya kitaifa kitendo hiki si cha kiungwana hata kidogo.Ni lini Marekani wamewahi fanya upuuzi kama huo?Tuwe wazalendo jamani.

Washington ndio mambo yote, lile bango kuwekwa pale ndio mwake. Acheni unafiki,nyinyi ndio mnaoichukia marekani halafu mnahangaika kutaka viza za kwenda huko, ILE NDIO USA KIBOKO YA WALE WENYE MLENGO.......
 
JK akawekewa vikwazo vya kutosafiri nje ya nchi, tayari itakuwa ni death
penalty kwake, kwa sababu atakuwa hawezi tena kubadili blad, kwa hiyo
lazima afe tu....

Haahaaha death is every where pal you know ze jamaa well manake huyu jamaa duh!
 
EU na USA wanajua hii ni serikali y aki-islamists hasa baada ya kupigwa risasi Father huko Zanzibar, na influence ya Waarabu katika serikali ya sasa.
Yaliyowapata Lwakatare na Lema ,tayari yako kwenye radar Ulaya.

EU bado wanafund budget yetu,hivyo hawafurahi repressive regime kama ya sasa

Bora unyamaze kuficha upu.mbavu wako kuliko kumwaga povu! Una chuki na waislamu PERIOD
 
You are my friend, from now on you are my friend humu JF,
SIjapata kumuona mtu anajenga hoja kama wewe hapa JF.
Ubarikiwe mkuu.
Aisee, ahsante sana mkuu wangu! Lakini tuendelee kuwa marafiki hata tutakapo tofautiana kwa hoja manake ni kama "sieleweki eleweki hivi!" Pamoja sana mkuu wangu Mleli
 
Last edited by a moderator:
Washington ndio mambo yote, lile bango kuwekwa pale ndio mwake. Acheni unafiki,nyinyi ndio mnaoichukia marekani halafu mnahangaika kutaka viza za kwenda huko, ILE NDIO USA KIBOKO YA WALE WENYE MLENGO.......
A very simple question to you: Je, unazani muda wote huu USA walikuwa hawafahmu nini kimetokea Tanzania hususani kuhusiana na suala la Ulimboka, Mwangosi na Kibanda?
 
Washington ndiyo nini hata hapa nilipo kuna picha za maiti za watoto wa Iraq, Afganistan, Libya, Libya.Chadema wanategemea waingizwe madarakani na Marekani.Utumwa wa kiakili mbaya sana.
kwani hao uliowataja wamewahi kujipigia debe kuwa wao ni "Kisiwa cha Amani?"
 
Washington ndiyo nini hata hapa nilipo kuna picha za maiti za watoto wa Iraq, Afganistan, Libya, Libya.

Chadema wanategemea waingizwe madarakani na Marekani.

Utumwa wa kiakili mbaya sana.

Hayo ni mabango ya haki za binadamu sio Chadema, acha mawazo mgando kila kitu Chadema
 
Back
Top Bottom