Tanzania uchi wa mnyama sasa...

Tanzania uchi wa mnyama sasa...

Hatua ya Tanzania kushtakiwa kwenye mitaa ya mamtoni ninaipinga kwa mikono miwili.Tuna weaken our countries sovereignity wenyewe.Mbona hakuna kinachoshindikana hukuhuku?
Wazungu wanabaki kutuchora na kutujadili watanzania wote na si kundi la watu.Forum kama hii ni moja wapo ya maeneo huru kuijadili serikali,vyama na uongozi,sasa kwenye mitaa ya mamtoni tunajipendekeza ya nini?TUBADILIKE

Mkuu nakubaliana na wewe ktk yote hayo lakini nini kifanyike?

Tangu mauaji ya mwandishi Mwangosi kumekuwa na matukio kadhaa ya ukiukwaji haki za binadamu kimakusudi kwa mgongo wa'liwalo na liwe', ' wapinzani si wezi kuwaksbizi nchi, na udini. Kundi dogo la watawala wenye kiburi limeteka vyombo vys dola huku wengi wakinyanyaswa na maisha yakiwa magumu zaidi.

CDM wamekuwa wapole na wanademokrasia lakini wenzao ni ubabe kila kukicha...

Cha muhimu hapa nikuwa sisi wote ni watanzania na hakuna aliyebora zaidi ktk masuala ya msingi. wakiendelea kumwaga mboga kuna watakao mwaga ugali ili heshima iludi....re EL alivyotaka kumwaga maji ya ugali unga ukiwa tayari wakaogopa kumvua gamba.
 
Haya yote ni mambo mageni na mapya katika nchi yetu..tujiulize kwanini yamekuja sasa? Nani kayaleta? Kwann?
 
Hhahahaha Mkimbizi wa Washington anajaribu kuja na propaganda za kizamanii! Endelea na ujinga wako huko huko kuivua nguo Tanzania

Tifauti yako na wengine humu ni kwamba wewe unaingia na ID nne ku coment kwenye thread moja na wengine wanaingia na ID moja lakini wapo zaidi ya 20,000.

Tutaona Nape come 2015 utakuwa unafanya kazi gani wewe na vibaraka wenzako.
 
Tifauti yako na wengine humu ni kwamba wewe unaingia na ID nne ku coment kwenye thread moja na wengine wanaingia na ID moja lakini wapo zaidi ya 20,000.

Tutaona Nape come 2015 utakuwa unafanya kazi gani wewe na vibaraka wenzako.

mnaanza kujistukia wenye multiple Id kisha mnawahi kuwaambia wenzenu..achni ugaidi
 
Hii ni mojawapo ya kazi za Mwanakijiji? Mnadhani Sunctions zinaiadhibu Serikali iliyoko madarakani ama wananchi wake? Mugabe ndo aliathirika ama wananchi wake? Familia ya Ahmed Nerjadi inaathirika vipi?...Ndugu zangu lazima tukubaliane na ukweli mchungu kuwa watakao athrika ni wananchi makabwela mimi na wenzangu, Ninyi mlio jiwekea vijicent nje ya nchi mtaendelea kupeta na hata kuchota zaidi kwa kisingizio kuwa madawa hakuna, serikali haina uwezo kwakuwa misaada (mrejesho wa madini) hatupati...
 
Wahinndi. Ndio wanathaminiwa
Kudhaminiwa na kupendelewa katika mambo mbali mbali ni vitu viwili tofauti.

Kama ni kupendelewa, haya maneno hata Western Countries yanachemka na kuna debate kali zinaendelea katika bunge zao kuhusu foreign people taking "THEIR JOB".

Tanzania haitakuwa ajabu kuwa na tatizo hili iwapo hata Western countries wanahangaika nalo. Tatizo, how can you limit or stop it, mind you, we're in globalised world, where a person can be a citizen of more than one country.
 
Hii mbona bado sisi ndo tunajiandaa kumalizia mabango yetu na kuyatandaza hapa hakuna kulala hadi kieleweke. JK asifikiri huku nje tumelala anakuja hapa anasema yeye anao utawala bora akarudi nyumbani week haijaisha akaanza utawala wa kidectater shame. Sisi wote tulioko nje ndo tunasambaza huu ujumbe na tutahakikisha Jk na utawala wake wataenda mahakama ya kihalifu full stop

Nasikitika kusema kuwa haunazo,
Mabaya ya nyumbani ukayatangaze nje? badala ya ku-fight na kuweka vitu sawa? hivi siku nyumbani kwenu mkilala njaa utatoka na kutangaza? huo si ndio ulimbukeni?? Wewe katu sio raia mwema wa nchi hii.
And then Dictator???? Rais wetu sio Dictator, kuna viongozi wapuuzi wachache lakini Rais hajawa Dictator, acha uzushi.
Kwa haya yanayofanyika Tz kama Rais wetu angekuwa ni Dictator basi yangetokea mengi sana. Tanzania tunahitaji kuongozwa ki-dictator angalau mwaka mmoja tu ili kuweka nidhamu na ili pia tufahamu kuwa kumbe Tz hatuna ma-dictator.
Tanzania ingekuwa inaongozwa kidikteta hili jukwaa la JF wala lisingekuwepo leo na wala tusiongejadiliana kupitia jukwaa hili kama tufanyavyo sasa na wewe mwenye kuandika upuuzi wala usingeandika upuuzi wako kama ulivyoandika hapo.
 
Mpaka Mdini amalize kipindi chake tutakuwa salama

mdini ni katibu mkuu na aliuasisi wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu 2010,.....akiwa singida alitumia viongozi wa flani kufanya mikutano ya kuomba kura.
 
Inabidi Tanzania iwekewe vikwazo vitatu.
watawala wetu kutoruhusiwa kusafiri ulaya na marekani kwani wanafuja pesa zetu
Japan kutoiuzia serikali ya Tanzania magari ya kifahari
Nchi wahisani kukatiza misaada yao ya fedha kwani misaada hiyo inaliwa na wachache huku tukibakiwa na deni kubwa la taifa fedha ambazo hazijulikani zimetumikaje.
Tuna madini ya kila aina, gesi,utalii na kilimo, tukinyimwa misaada tutatia akili.
ukisoma hii post kuna mijitu inapinga kila kitu kwa vile imetumwa kuharibu jukwaa letu.
copy kwa mlengo wa kati, stroke, M23, bungeni na wengineo wasio na haya ya kuitakia mema nchi kwa vile wanashiba matumbo yao.
time will tell.

1. Wewe ndio umetumwa uje kuharibu nchi yetu
2. Huwezi kuwaita watu ni wapingaji kwa vile tu wako kinyume na matakwa yako
3. Wewe ndie huitakii mema nchi yetu hii,
 
Hata bila kuhusisha mabango, mauaji kama ya walemavu wa ngozi hushusha hadhi ya nchi kimataifa!

mbona wamarekani wanauana sana tena kuna jamaa aliuwa watoto wengi tu shule kwani gun control imeanzia wapi.cdm r.i.p
 
Slaa na chadema wameleta huu ugaidi, kila mahali matukio....angalia la mama yake zitto kuvamiwa, angalia watembea na sumu, angali video ya lwakatare...wauaji sana hawa jamaa
 
Haya yote ni mambo mageni na mapya katika nchi yetu..tujiulize kwanini yamekuja sasa? Nani kayaleta? Kwann?

kwani mauaji hapa tz yameanza leo yalikuwepo tangu mungu alipo umba dunia na yataendelea kuwepo
 
Nilichogundua cdm ni kweli na haki na ccm ni uovu na uonezi sasa watakaaje pamoja? CCM ni utawala wa shetani na cdm ni utawala wa haki na Mungu

acha ujinga ww, chama cha mungu kinapanga ugaidi na kuuwa watu kwa sumu na kuvamia watu kutaka kuwalipua kwa bastola? Huyo atakuwa lusifa sio huyu mungu tumwabudiye sote,.
 
kwani mauaji hapa tz yameanza leo yalikuwepo tangu mungu alipo umba dunia na yataendelea kuwepo

haya ya kukamatwa na video za kupanga mauaji ni mapya mkuu, kuvamia walemavu na kuwatishia kuwalipua vichwa kwa bastola hayakuwepo, hata kutembea na sumu hayakuwepo
 
Back
Top Bottom