Tanzania uchi wa mnyama sasa...

Tanzania uchi wa mnyama sasa...

Ingefaa Kinana na Nape waende ziara Marekani kusafisha hali ya hewa, kama anaweza. Sijui hata watapokelewa na nani kutoka Serikali ya Marekeni?
 
Bandugu mlioko huko majuu mtuambie kama kuna msaada unahitajika ili kufanikisha huo mpango wa watawala walioko madarakani kuwekewa vikwazo,basi tutakua tayari kuchangia ili msikwame mahala!
 
Wanataka Fujo chadema hapa USA banaa.mtaanza kujikita mnafuatiliwa kwa uchochezi wa Fujo Kwenye Nchi Za watu .Dah mbona chadema mna fujo

Leo watoto wako, furahia maisha yako. Ya CHADEMA waachie CHADEMA. Unajuaje kuwa aliyeposti hayo mabango ni CHADEMA? Je, wwewe unafurahia wananchi wasio na hatia kuuawa na polisi kila leo? Mnataka watu wasiseme kisa wakisema wataitwa chadema? Mambo mengine hebu wekeni ushabiki wa kisiasa pembeni.
 
Jamani..nilikua sijaona bango lenyewe mm nilijua ni yale ya umeme..kumbe hilo la kuandika tena muandiko umepinda..I support this lakini hilo bango nope halivutii kusoma
 
This endeavour is both legal and acceptable, however it has been poorly executed. Couldn't the people behind find easily accessible means of producing far better posters instead of relying on hand-written sheets of paper? A strong message presented poorly runs a huge risk of missing its point. The posters surely look childish, badly written, and terribly placed.
 
Ndio kama nilivyosema kwenye post yangu ya jana hapa JF na wengi kunipinga kuwa huu ni wakati muafaka wa kuwawekea vikwazo vitakavyowaathiri watawala moja kwa moja na si wanaaanchi wa kawaida.

Wapeni misaada lakini muwapige marufuku kukanyaga Ulaya na Marekani.Fungieni akaunti zao na kadhalika.

Watanzania mlioko Ulaya na Marekani mtusaidie katika jambo hili.

YOU GUYS ARE SO POOR IN international diplomacy...... huu ni ujinga, unaofanywa na wajinga na kushabikiwa na wajinga.. na kwa sababu ujinga ndio janga kuu la kitaifa!! sioni ajabu ujinga kama huu ukishabikiwa... hakuna responce yoyote kutoka kwa yeyote mwenye akili na shughuli zake itakayoonekana. kwa ujumla mnajionyesha na kudhihirisha ujinga wenu...
hongereni WAKOMBOZI NA MASHUJAA WETU
 
Wangeandika kuwa Tanzania inakandamiza haki za mashoga wenzao wangesikilizwa kidogo, nadhani CDM wangeshikilia hoja yao ya ushoga wangepata attention kwa mabwana zao wapendwa.
 
Mkuu mimi ni wa kwanza nilishawahi kuipeleka ile report kwenye ofisi moja ila kama unavyojua hawa watu huwa hawakurupuki wanafanya utafiti wa kina soon you will see everthing will be open. Utawala huu umetushinda sasa tulioko nje na ndani ya nchi tuukatae kabisa. Juzi amekuja hapa na cheka yake anasema anao utawala bora yeye anafikiri sisi ni wajinga hatusomi humu JF na kuyaona matukio ya kikatili yanayofanywa chini ya uongozi wake. Unafikiri yeye hayaoni haya kafunga masikio ila mahakama ya kihalifu yanamsubiria. Naapa nitafanya kazi usiku na mchana kuhakikisha huu uhalifu wote nauanika hapa niliko hadi wajue utawala ulivyo kwa sasa. Twende kazini

Haya sasa naona umedhamiria. Lakini uwe mwangalifu ktk kazi yako wasije wakakufuata hukohuko uliko na kukutoa kucha na meno bila ganzi.
 
Back
Top Bottom