Tanzania tuwe na tahadhari na Kagame

Rais Kagame wa Rwanda amekuwa mtu hatari kwa nchi majirani licha kujifanya mwana afrika.

Huyu ni mtu mlafi mbinafsi mkabila na kibaraka wa Marekani. Anafanya lolote kwa nchi za magharibi mradi wanampa pesa.

Amegeuza jeshi lake mamluki kwa kulipeleka kupigana popote mradi askari zake na yeye wanapata pesa.

Jeshi lake limekuwa Congo DR miaka yote kwa jina la M23 ili kuiba madini ya Congo kwa niaba ya makampuni ya kigeni na yeye binafsi na washirika wake Uganda.

Hivi leo Kagame ni rais wa tatu au wa nne kwa utajiri Afrika kutokana na wizi wa madini Kivu ya Kaskazini.

Kufuatana kumbukumbu ya M23 kuwahi kutwangwa na JWTZ na kutimuliwa nje ya Congo hadi Uganda, baada ya kuona msaada wa mizinga ya jwtz kuja tena kwa kuisadia fardc wahuni wa M23 wameshituka na kuanza kutishia kuwateka askari wa JWTZ nchino DRC.

Rwanda silaha na biashara kubwa inapitia Tanzania. Tusijidai eti tunajali biashara kuliko usalama wetu. Ni muda sasa kumkabili Kagame ama sivyo tutakuja kujuta.

Juzi tu hapa tumepata hofu baada ya kuhisi Kagame kuhusika kwa namna moja na mpango wa bandari zetu kuporwa na kampuni ya DP ya dubai ambayo tayari iko Rwanda.

Pia ningewashauri Msumbiji wasiamini majeshi ya Rwanda kuwasaidia kumaliza waasi Kaskazini mwa nchi hiyo maana Rwanda watageuza mapigano hayo uwekeza wa biashara na watajikuta majeshi hayo hayaondoki na vita haviishi.

Samia anamuamini mwaka 2023 Yaliingia makontena ya silaha Na Tanzania ilijua fika zile silaha zinaenda kwa m23 lakini Kagame akasema ni zake bado Tz ikaruhusu.
Ni hatari.
Yule jamaa akipata bandari ataagiza silaha nyingi na hamna sehemu itakua salama

Kashawatengenezea waasi burundi anawapa silaha
Kongo kawatengenezea waasi
Tz anatutwanga kupitia msumbiji
bado hajatumia hao m23

Nchi iliyojaa rushwa kama hii hamna vita itashinda. Vita inashindwa kwa kua na jeshi lenye displine
 
Kagamephobia.
Tunamatatizo makubwa ya kishughulikia kuliko Kagame. Naamini angekuwa ni hatari kama unavyotaka kuaminisha angeshashughulikiwa kitambo. Huu uzi ni sahihi kwa Congo sio TZ
Lkn Congo ni Buffer zone. Yuko Mozambique ukimuacha Congo na akawa Mozambique utashindwa Preemptive
 
Samia anamuamini mwaka 2023 Yaliingia makontena ya silaha Na Tanzania ilijua fika zile silaha zinaenda kwa m23 lakini Kagame akasema ni zake bado Tz ikaruhusu.
Ni hatari.
Yule jamaa akipata bandari ataagiza silaha nyingi na hamna sehemu itakua salama

Kashawatengenezea waasi burundi anawapa silaha
Kongo kawatengenezea waasi
Tz anatutwanga kupitia msumbiji
bado hajatumia hao m23

Nchi iliyojaa rushwa kama hii hamna vita itashinda. Vita inashindwa kwa kua na jeshi lenye displine
Paragraph ya mwisho ina maana kubwa sana
 
Rais Kagame wa Rwanda amekuwa mtu hatari kwa nchi majirani licha kujifanya mwana afrika.

Huyu ni mtu mlafi mbinafsi mkabila na kibaraka wa Marekani. Anafanya lolote kwa nchi za magharibi mradi wanampa pesa.

Amegeuza jeshi lake mamluki kwa kulipeleka kupigana popote mradi askari zake na yeye wanapata pesa.

Jeshi lake limekuwa Congo DR miaka yote kwa jina la M23 ili kuiba madini ya Congo kwa niaba ya makampuni ya kigeni na yeye binafsi na washirika wake Uganda.

Hivi leo Kagame ni rais wa tatu au wa nne kwa utajiri Afrika kutokana na wizi wa madini Kivu ya Kaskazini.

Kufuatana kumbukumbu ya M23 kuwahi kutwangwa na JWTZ na kutimuliwa nje ya Congo hadi Uganda, baada ya kuona msaada wa mizinga ya jwtz kuja tena kwa kuisadia fardc wahuni wa M23 wameshituka na kuanza kutishia kuwateka askari wa JWTZ nchino DRC.

Rwanda silaha na biashara kubwa inapitia Tanzania. Tusijidai eti tunajali biashara kuliko usalama wetu. Ni muda sasa kumkabili Kagame ama sivyo tutakuja kujuta.

Juzi tu hapa tumepata hofu baada ya kuhisi Kagame kuhusika kwa namna moja na mpango wa bandari zetu kuporwa na kampuni ya DP ya dubai ambayo tayari iko Rwanda.

Pia ningewashauri Msumbiji wasiamini majeshi ya Rwanda kuwasaidia kumaliza waasi Kaskazini mwa nchi hiyo maana Rwanda watageuza mapigano hayo uwekeza wa biashara na watajikuta majeshi hayo hayaondoki na vita haviishi.
Huyu tuliye naye ni zaidi ya kagame ...uchafu anao fanya ni kufuru tupu laana ....icho ulicho andika ni sawa sawa na kumwambia mtu anawe mikoni ili akale mafii
 
M23 hao ni wanywa pombe za kienyeji, especially gongo.

Hatuna nguvu zozote za kijeshi japo ni kweli tunaweza kuikabili M23 au kuikabili Rwanda, haimaanishi tuna nguvu kijeshi.

Bado wananchi wanakunywa maji na mifugo.

Vita ni kwa nchi zinajiweza Kama Ulaya na America.
 
Akili za kipumbavu na kimaskini tuu hizi, Kagame kaifanyia Nini Tanzania mpaka tuwe na tafadhari? Rwanda ni opportunity kubwa sana Kwa Tanzania, Tanzania imezungukwa na nchi sita landlocked ambazo zinahitaji bandari kama ya Dar es Salaam to survive, Mimi ningeweka focus kutengeneza urafiki na infrastructure kuhudumia Rwanda na kuifanya itegemee bandari yetu 100% na ningehakikisha infrastructure inaunganisha na Burundi maana hao wote Wana population ya zaidi ya millioni 30, imagine kukamata soko kama Hilo la watu millioni 30 kwa 100%, Kwa nchi hizo mbili tuu tungeweza kutengeneza billions of money Kwa bandari tuu, akili za kinga ndio zinatuponza watu weusi, wenzako wanafanya ubabe kwenye maslahi sio usikike tuu au chuki za kikabila, matatizo yao ya Congo ningekaa kimya tuu tena ningewauzia silaha na chakula maana wao ndio wangetufanya, mmarekani anaposema sina permanent friend ni interest tuu kama huna akili huwezi kuelewa, na nchi inayopitisha cargo zake kwako 100% haiwezi Kuwa tishio kwako, atakuwa rafiki yako mkubwa na kukufanya uwe tajiri mkubwa, uliyeleta uzi ulaaniwe na huna akili
 
Ujamaa uliwajaza wabongo ujinga na inferiority complex. Mnaogopa kila kitu hadi vinchi vidogo kama ghetto. Rwanda mnaiogopa kwa lipi hasa? Ujinga tu.

Mnaogopa wageni kuja nchini, mnaogopa kwenda nje, mnaogpa uraia pacha, mnaogopa kushindana globally, mnaamini hamuwezi nyie ni watu wa kuibiwa na kuonewa tu. The inferiority complex of the highest order.
Jibu hoja ujamaa unakujaje sasa
 
Ila Jwtz wako poa sana ila wasijiamini sana pia wawe makini zaidi ili huyo mpuuzi akitaka tu kutugusa apelekewe moto yaaan hako ka mkoa kake tunakafinya na huyo pk labda atoroke kwa kuvaa nguo za kike maana ndo itakua option pekee.Mpuuzi yule anatamba sana na ka mkoa kake anajiona mbabeeee ila kimoyo moyo anaujua mziki wa Jwtz hata mm nitajiunga siku hiyo km mgambo wa kujitolea kwenda kuwafyonza hao wapuuuzi na asirogwe kabisa kuwaza hata kufikiri kutusumbua tz tutampiga chepe huku parapanda ikiimbwa .
Katika jambo mojawapo zuri alilofanya Kikwete wakati wake upende wa Jeshi ni kuwapa makamanda mafunzo ya kisasa sana ya vita. Nakumbuka kuna makamanda wengi waliopata mafunzo ya mbinu za kisasa sana wakiwa makanali akawapandisha wote kuwa majenerali, ila sasa wengi wao wamshastaafu.
 
M23 hao ni wanywa pombe za kienyeji, especially gongo.

Hatuna nguvu zozote za kijeshi japo ni kweli tunaweza kuikabili M23 au kuikabili Rwanda, haimaanishi tuna nguvu kijeshi.

Bado wananchi wanakunywa maji na mifugo.

Vita ni kwa nchi zinajiweza Kama Ulaya na America.

Unasema hatuna nguvu za kijeshi, halaf main point bado wananchi wanakunywa maji na mifugo? Seriously?
 
Umesema kitu bro. Ni over rated kwa kua watutsi kwa uongo na propaganda ni hatari. Tunaoneshwaga kigali eti safi kama europe. Mbona hawaoneshi miji mingine? Ukweli kigali ni safi na inapendeza lakini wenye kujua kwingine wanasema ni ovyo huwezi hata kidogo kwa mfano kulinganisha na mikoani ya tanzania.
Hakunaga mitandaoni picha za Rwanda nje ya "Chigali". Hutakaa ukute.
 
Rais Kagame wa Rwanda amekuwa mtu hatari kwa nchi majirani licha kujifanya mwana afrika.

Huyu ni mtu mlafi mbinafsi mkabila na kibaraka wa Marekani. Anafanya lolote kwa nchi za magharibi mradi wanampa pesa.

Amegeuza jeshi lake mamluki kwa kulipeleka kupigana popote mradi askari zake na yeye wanapata pesa.

Jeshi lake limekuwa Congo DR miaka yote kwa jina la M23 ili kuiba madini ya Congo kwa niaba ya makampuni ya kigeni na yeye binafsi na washirika wake Uganda.

Hivi leo Kagame ni rais wa tatu au wa nne kwa utajiri Afrika kutokana na wizi wa madini Kivu ya Kaskazini.

Kufuatana kumbukumbu ya M23 kuwahi kutwangwa na JWTZ na kutimuliwa nje ya Congo hadi Uganda, baada ya kuona msaada wa mizinga ya jwtz kuja tena kwa kuisadia fardc wahuni wa M23 wameshituka na kuanza kutishia kuwateka askari wa JWTZ nchino DRC.

Rwanda silaha na biashara kubwa inapitia Tanzania. Tusijidai eti tunajali biashara kuliko usalama wetu. Ni muda sasa kumkabili Kagame ama sivyo tutakuja kujuta.

Juzi tu hapa tumepata hofu baada ya kuhisi Kagame kuhusika kwa namna moja na mpango wa bandari zetu kuporwa na kampuni ya DP ya dubai ambayo tayari iko Rwanda.

Pia ningewashauri Msumbiji wasiamini majeshi ya Rwanda kuwasaidia kumaliza waasi Kaskazini mwa nchi hiyo maana Rwanda watageuza mapigano hayo uwekeza wa biashara na watajikuta majeshi hayo hayaondoki na vita haviishi.
Watu waanze kuogopa mtu anayetawala Nchi ndogo kuliko Tabora, idadi ya watu sawa na mikoa yetu sita tu. Kiuhalisia anatakiwa aiogope CCM zaidi, Tanzania ina vijana wengi na haijuwi pakuwapeleka.
 
Huu ni ujinga mwingine mliojazwa wabongo. Nobody cares about TZ, matter of fact, hawaifahamu kabisa. Aliewajaza huu ujinga wa mabeberu kuwatamani aliwaweza. Mtamaniwe kwa kipi hasa? Mpo top10 ya nini ndani ya Africa let alone duniani?

Ukitoa tanzanite ambayo ni kwaajili ya kutengeneza vidani tu hakuna rasilimali nyingine yeyote ambayo tunazalisha kiasi cha kutamaniwa. Gold SA, Mali, Ghana wametuacha mbali sana, natural gas na oil hata msiwaze, kilimo msiguse kabisa, Malawi tu hapo wanazalisha mahindi karibu mara tatu zaidi yenu na ni nchi ndogo kama kitongoji. Hamzalishi workforce, watu wenu ni incompetent, hawajui lugha na elimu yenu ni bomu. Nani awatamani?

ChoiceVariable soma ngonjera za hawa wabongo eti mabeberu wanawatamani 😂 😂 😂 hii ni inferiority complex in disguise. Mnajazwa ujinga na kuogopa wageni kwa kisingizio mnatamaniwa.
Pole sana chief..u sound soo bitter..Ni mtu unayejichukia sana it seems
 
Hivi utakuwa na wasiwasi na mtu ambaye unajua kabisa hana miaka 20 mbele?

Kagame akishaondoka Rwanda înarudi ilipotoka
Huwa inasikitisha ukiwaza hii lakin hivi ni kwamba yeye hafikirii hilo kama sisi average citizens tunaliwaa? Nafikiri wanao mpango madhubui wa ku take over after kagame
 
Mleta mada unajua kule msumbiji Tanzania ndio inaongoza mission na operation? Sie hatupendi shobo pia kujitangaza kwa Jiografia yetu ni kuruhusu direct attack
 
Huwa inasikitisha ukiwaza hii lakin hivi ni kwamba yeye hafikirii hilo kama sisi average citizens tunaliwaa? Nafikiri wanao mpango madhubui wa ku take over after kagame

Kama ameshindwa yeye hataweza mwingine.
Ingekuwa nchi ya kidemokrasia na wana sera ya nchi inayosema hivyo. Hata kama ni siri. Ingewezekana.
Lakini kwa bahati nguvu anayotumia ni kama anajilisha upepo
 
You lack comprehension skills. Rather naitetea TZ sababu sioni tija ya giant kama TZ kukawaza kanchi kadogo kama ghetto RW. TZ na RW ni heaven and earth, TZ imeizidi RW kwa kila kitu hadi pisi kali and I stand on it. Nenda Singida, Manyara, Arusha kaangalie wale watoto walivyonyooka na mahaga yao afu fananisha na hizo pisi za RW zote zenye sura moja kama wote wamezaliwa na baba mmoja. Hapo sijagusa makao makuu- DSM.

RW is overated, wabongo mmejazana ujinga tu bila sababu zozote za msingi ila sishangai, ujinga na inferiority complex bongo ni janga la taifa. Wabongo ni watu inferior kuliko watu wote niliowahi kukutana nao so far. Mkiulizwa RW ina nini cha ajabu hamna zaidi ya story za mtaani mlizojana and y'all ran with it.
Hiki umesema ni kwel chief.I second you. Tanzania kuna wanawake wazuri bwana..dooh!! Wengi wa wanaowasifia wanyarwanda kwa kias flan nahis hawana exposure locally, hawajaizunguka Tanzania
 
Back
Top Bottom