Tanzania tuwe na tahadhari na Kagame

Israel ni kanchi kadogo umeme wa kumwaga mbona hao Jamaa zako wanapokea mkong'oto.
Itakua hukuona kikosi maalum jeshi la Israel wakifurahi kuondoka Gaza,ungeona ungekua nani anakula mkong'onto,halafu Gaza na Israel ipi nchi kubwa!?
 
Kagamephobia.
Tunamatatizo makubwa ya kishughulikia kuliko Kagame. Naamini angekuwa ni hatari kama unavyotaka kuaminisha angeshashughulikiwa kitambo. Huu uzi ni sahihi kwa Congo sio TZ
Maadui hatari kwa Tanzania tunao humuhumu nchini, ni ujinga kumhusisha Kagame na kuwapa waarabu bandari zetu.
 
Binafsi nimechagua kuwa na Tahazari na watu wenye akili kama yako
 
Rwanda and PK is over rated, ni nchi masikini bado anapambana na basics za raia wake kama food shelter security and healthy, hana ubavu kuanzisha na nchi kama Tanzania ambao sio pori kama Congo.
Hapo nilipo bold mkuu 🤝 uko sahihi kabisa.
 
Itakua hukuona kikosi maalum jeshi la Israel wakifurahi kuondoka Gaza,ungeona ungekua nani anakula mkong'onto,halafu Gaza na Israel ipi nchi kubwa!?
Makomandoo wapya wameingizwa karibia mchezo unaisha na Yahya Sinwar anaingiziwa Guruneti kwenye Mku**du.
 
Wala sidhani kama hilo ni jambo la kujadili maana siku rwanda ikileta fyokofyoko.
Tutaenda kupambana nao na kambi mbili za jwtz.
Tunachukua vichaa wa arusha na mara.

Ndani ya saa 2 inakuwa kazi kwishaaa
 
Rais Kagame wa Rwanda amekuwa mtu hatari kwa nchi majirani licha kujifanya mwana afrika.

Huyu ni mtu mlafi mbinafsi mkabila na kibaraka wa Marekani. Anafanya lolote kwa nchi za magharibi mradi wanampa pesa.

Amegeuza jeshi lake mamluki kwa kulipeleka kupigana popote mradi askari zake na yeye wanapata pesa.

Jeshi lake limekuwa Congo DR miaka yote kwa jina la M23 ili kuiba madini ya Congo kwa niaba ya makampuni ya kigeni na yeye binafsi na washirika wake Uganda.

Hivi leo Kagame ni rais wa tatu au wa nne kwa utajiri Afrika kutokana na wizi wa madini Kivu ya Kaskazini.

Kufuatana kumbukumbu ya M23 kuwahi kutwangwa na JWTZ na kutimuliwa nje ya Congo hadi Uganda, baada ya kuona msaada wa mizinga ya jwtz kuja tena kwa kuisadia fardc wahuni wa M23 wameshituka na kuanza kutishia kuwateka askari wa JWTZ nchino DRC.

Rwanda silaha na biashara kubwa inapitia Tanzania. Tusijidai eti tunajali biashara kuliko usalama wetu. Ni muda sasa kumkabili Kagame ama sivyo tutakuja kujuta.

Juzi tu hapa tumepata hofu baada ya kuhisi Kagame kuhusika kwa namna moja na mpango wa bandari zetu kuporwa na kampuni ya DP ya dubai ambayo tayari iko Rwanda.

Pia ningewashauri Msumbiji wasiamini majeshi ya Rwanda kuwasaidia kumaliza waasi Kaskazini mwa nchi hiyo maana Rwanda watageuza mapigano hayo uwekeza wa biashara na watajikuta majeshi hayo hayaondoki na vita haviishi.
tanzania inamjua sana na kagame anaijua sana tanzania,jk alimtwanga kagame sawasawa pale aliposhiriki kuipindia burundi na akamrudisha the late nkurunzinza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rwanda and PK is over rated, ni nchi masikini bado anapambana na basics za raia wake kama food shelter security and healthy, hana ubavu kuanzisha na nchi kama Tanzania ambao sio pori kama Congo.
Hata tz ni hayo hayo leta hoja nyinngine
 
Back
Top Bottom