Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,399
Tanzania ni nchi ambayo ilipofikia kwa sasa ipo njia panda.
Macho ya maadui bado yameelekezwa kwetu kuona tunakwenda vipi baada ya kuondokewa na hayati Magufuli na viongozi wengine waandamizi akiwemo mhandisi Mfugale.
Ajira ni tatizo kubwa sana na vijana wahitimu wa shule na vyuo wengi wao wapo mitaani wanahangaika.
Nawapongeza makundi kama ya wasanii na vijana ambao wanajaribu kujikomboa kwa kutumia njia za kihalali.
Lakini lipo pia kundi kubwa ambalo ni la wale waso na shughuli kitendo kinachopolekea kukua kwa hali ya ujambazi na uporaji nchini.
Lakini je, vipi kuhusu kundi maalum ambalo kwa kutumia uhalifu wao linaweza kabisa kutumika kufanya uhalifu wa hali ya juu- MAUAJI kwa kutumia pia virusi vya Covid-19 .
Mbinu za maadui wa Tanzania zinabadilika kulingana na tabia zetu.
Je, twatumia njia zipi kubaini wageni wanoingia nchini na kama wamepima Covid-19 na wana vyeti halali vya kuthibitisha kuwa wapo negative?
Mgeni kabla hajatua nchini ni lazima awe amepima masaa 72 kabla na ana negative results.
Je, wageni wenye positive results tumewawekea taratibu zipi vigorously kuhakikisha hawendi hukio nje kuanza kusambaza ugonjwa?
Je, vipi watanzania ambao wameambukizwa Covid-19 wanaishia kurudishwa majumbani na vijijini na hatimae kuishia kufa huko au waachiwa tu wazurure mitaani kutafuta "victims"?
Kisha baada ya kufa kwa Covid twaambiwa "amefariki baada ya kuugua kwa muda mrefu/mfupi".
Je, yawezekana kundi hili kutumia njia ya kukohoa na kupiga chafya katika mikusanyiko kwa minajili ya kutaka kuambukiza watanzania wengine?
Watanzania tuzidishe uimara wa kutazama mambo yetu ya ndani na kuhakikisha kila kitu kipo katika mstari.
Yaonekana kidogo hali bado haijatengamaa
Macho ya maadui bado yameelekezwa kwetu kuona tunakwenda vipi baada ya kuondokewa na hayati Magufuli na viongozi wengine waandamizi akiwemo mhandisi Mfugale.
Ajira ni tatizo kubwa sana na vijana wahitimu wa shule na vyuo wengi wao wapo mitaani wanahangaika.
Nawapongeza makundi kama ya wasanii na vijana ambao wanajaribu kujikomboa kwa kutumia njia za kihalali.
Lakini lipo pia kundi kubwa ambalo ni la wale waso na shughuli kitendo kinachopolekea kukua kwa hali ya ujambazi na uporaji nchini.
Lakini je, vipi kuhusu kundi maalum ambalo kwa kutumia uhalifu wao linaweza kabisa kutumika kufanya uhalifu wa hali ya juu- MAUAJI kwa kutumia pia virusi vya Covid-19 .
Mbinu za maadui wa Tanzania zinabadilika kulingana na tabia zetu.
Je, twatumia njia zipi kubaini wageni wanoingia nchini na kama wamepima Covid-19 na wana vyeti halali vya kuthibitisha kuwa wapo negative?
Mgeni kabla hajatua nchini ni lazima awe amepima masaa 72 kabla na ana negative results.
Je, wageni wenye positive results tumewawekea taratibu zipi vigorously kuhakikisha hawendi hukio nje kuanza kusambaza ugonjwa?
Je, vipi watanzania ambao wameambukizwa Covid-19 wanaishia kurudishwa majumbani na vijijini na hatimae kuishia kufa huko au waachiwa tu wazurure mitaani kutafuta "victims"?
Kisha baada ya kufa kwa Covid twaambiwa "amefariki baada ya kuugua kwa muda mrefu/mfupi".
Je, yawezekana kundi hili kutumia njia ya kukohoa na kupiga chafya katika mikusanyiko kwa minajili ya kutaka kuambukiza watanzania wengine?
Watanzania tuzidishe uimara wa kutazama mambo yetu ya ndani na kuhakikisha kila kitu kipo katika mstari.
Yaonekana kidogo hali bado haijatengamaa