Tanzania tunatakiwa tubrand chips mayai

Tanzania tunatakiwa tubrand chips mayai

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,844
Reaction score
7,521
Kuna mnigeria amekuja Tanzania amesema moja ya vyakua alivyovipenda chips mayai ni kimoja wapo

Kwanini kama nchi tusibrand vyakula kama chips mayai yaani kikafanyiwa maboresho kwenye kupikwa yaani kukawa na standard ya kupika chips mayai

CHIPS MAYAI INAJUMUISHA VIAZI AMBAVYO NI CARBOHYDRATES NA MAYAI AMBAYO YANA PROTEIN, MTU ALIYEKULA CHIPS MAYAI HANA TOFAUTI NA ALIYEKULA UGALI MAHARAGE

Mfano chips mayai ipikwe kwenye flampeni kubwa na ichanganywe na vitu kama nyama na mboga za majani

Kwanini nasema hivi vyakula mfano wa chips mayai vikiwekewa standard vinaweza itangaza Tanzania na vikavutia watu mfano capuchino na Italian pizza vimechangia kuitangaza sana nchi yao

CHANGAMOTO KUBWA YA TANZANIA MTU ANAONA UGALI ULIVYOKUWA MGUMU BASI ANAAMINI NDO CHAKULA CHENYE NGUVU NI CHANGAMOTO SANA
 
Kuna mnigeria amekuja Tanzania amesema moja ya vyakua alivyovipenda chips mayai ni kimoja wapo

Kwanini kama nchi tusibrand vyakula kama chips mayai yaani kikafanyiwa maboresho kwenye kupikwa yaani kukawa na standard ya kupika chips mayai

Mfano chips mayai ipikwe kwenye flampeni kubwa na ichanganywe na vitu kama nyama na mboga za majani

Kwanini nasema hivi vyakula mfano wa chips mayai vikiwekewa standard vinaweza itangaza Tanzania na vikavutia watu mfano capuchino na Italian pizza vimechangia kuitangaza sana nchi yao
Kabisa mkuu unaweza anzisha kitu hapo
 
Kuna mnigeria amekuja Tanzania amesema moja ya vyakua alivyovipenda chips mayai ni kimoja wapo

Kwanini kama nchi tusibrand vyakula kama chips mayai yaani kikafanyiwa maboresho kwenye kupikwa yaani kukawa na standard ya kupika chips mayai

Mfano chips mayai ipikwe kwenye flampeni kubwa na ichanganywe na vitu kama nyama na mboga za majani

Kwanini nasema hivi vyakula mfano wa chips mayai vikiwekewa standard vinaweza itangaza Tanzania na vikavutia watu mfano capuchino na Italian pizza vimechangia kuitangaza sana nchi yao
Una miaka mingapi?
 
Kuna mnigeria amekuja Tanzania amesema moja ya vyakua alivyovipenda chips mayai ni kimoja wapo

Kwanini kama nchi tusibrand vyakula kama chips mayai yaani kikafanyiwa maboresho kwenye kupikwa yaani kukawa na standard ya kupika chips mayai

Mfano chips mayai ipikwe kwenye flampeni kubwa na ichanganywe na vitu kama nyama na mboga za majani

Kwanini nasema hivi vyakula mfano wa chips mayai vikiwekewa standard vinaweza itangaza Tanzania na vikavutia watu mfano capuchino na Italian pizza vimechangia kuitangaza sana nchi yao
Utabrandije chakula cha maskini wa Dar es salaam ?
 
Mheshimiwa Rais
Huo ni msosi asili yake nchi ya Spain tokea enzi na enzi
Tutafunguliwa kesi mahakama za kimataifa, na kama unavyojua rekodi yetu huko ni kulipa faini tu za mabilioni....

1751108671720.png
 
Kuna mnigeria amekuja Tanzania amesema moja ya vyakua alivyovipenda chips mayai ni kimoja wapo

Kwanini kama nchi tusibrand vyakula kama chips mayai yaani kikafanyiwa maboresho kwenye kupikwa yaani kukawa na standard ya kupika chips mayai

Mfano chips mayai ipikwe kwenye flampeni kubwa na ichanganywe na vitu kama nyama na mboga za majani

Kwanini nasema hivi vyakula mfano wa chips mayai vikiwekewa standard vinaweza itangaza Tanzania na vikavutia watu mfano capuchino na Italian pizza vimechangia kuitangaza sana nchi yao
Sikubaliani na hilo ombi lako maana hakuna chakula kibovu kama hiki, hakifai kwa afya hata kidogo na ukweli ni kwamba ndicho kinachovunja nguvu za wanaume wengi na kuwatamanisha kushikishwa ukuta na wenzao.
 
Mheshimiwa Rais
Huo ni msosi asili yake nchi ya Spain tokea enzi na enzi
Tutafunguliwa kesi mahakama za kimataifa, na kama unavyojua rekodi yetu huko ni kulipa faini tu za mabilioni....

View attachment 3386687
Sio kweli nilikuwaga na waspain hawajui hata chips mayai
Huyo mhispania atakua amejifunzia Tanzania yaani alishawahi ishi Tanzania
 
Back
Top Bottom