Tanzania tunanunulia wapi/nchi gani Internet?

Tanzania tunanunulia wapi/nchi gani Internet?

Kwa Nchi kama Zetu possibility hio ni kubwa sababu ya ukosefu wa miundombinu ikawa inazungushwa kupitia nchi mbalimbali mpaka kufikia destination, ila sio lazima iwe hivyo sababu hizi cable zinatembea Baharini, inaweza ikatoka moja kwa Moja Toka Tanzania hadi China bila kupitia popote.
Nimekupata.... by the way, niliwahi kuona habari kwamba Urusi wana internet yao.... sikuelewa kama manake wanataka kuwa cut off na grid za nje na wawe wanatumia mitandao yao tu
 
Mi nishaanza kusikia njaa hapa,ngoja nikanywe supu ya miguu ya kuku wa sikukuu ya idi.
 
Nimekupata.... by the way, niliwahi kuona habari kwamba Urusi wana internet yao.... sikuelewa kama manake wanataka kuwa cut off na grid za nje na wawe wanatumia mitandao yao tu
Kuna concept ya Intranet mkuu ambayo inakuwa ni internet inayojitegemea, inakuwa haijaunganishwa na Internet ya dunia. Inatumika sana kwenye makampuni makubwa.

Wanachotaka kutengeneza Russia ni Intranet pia sema wao wataweka Gateway ambayo inaconnect na dunia, incase kuna CyberAttack wanadisconect hio Gateway na kutumia vya kwao tu Ndani.

Pia Si concept ngeni maana Tayari zipo Network kama hizo kama vile
-Kwangmyong ya North Korea
-National Information Network (Nin) ya Iran sema haijakamilika
-hlutaw ya Mynamar
-Snet ya Cuba (hii imetengenezwa tu na wananchi wenyewe, wanacheza games)
 
Sasa hizo nyaya uchimbe kutoka Dar mpaka tunduma ,kahama, mwanza etc mbona gharama
Mbona zimechimbiwa kitambo mkuu huonagi vitofali vya njano pembeni ya barabara kuu zote ukitoka dar ndo mkonga/FIBRE zmetembea humo .kama nguzo za umeme vile ikifika kwenye mji wanasambaza kwenye minara michache ya karibu na town alafu wanaboost signal kwenda mingine ya pembeni. Huo waya ukizingua mnajikuta mtandao flan unasumbua kwa wote siku hiyo. Na ukiwa kwa juu utaona minara imefatana kama nguzo tu kuingia interior kutokea main road.
 
hivi inacost kiasi gani kununua direct kutoka kwa ao ISP mfano TTCL au Telnet na wengineo (kama 100 au 50mbps)
 
hivi inacost kiasi gani kununua direct kutoka kwa ao ISP mfano TTCL au Telnet na wengineo (kama 100 au 50mbps)
hio speed ni ndogo sana, ni bundle tu ya kawaida inauzwa na isp kibao, zuku na raha ni around laki 1 ama 1 na ishirini kwa 50mbps
 
hio speed ni ndogo sana, ni bundle tu ya kawaida inauzwa na isp kibao, zuku na raha ni around laki 1 ama 1 na ishirini kwa 50mbps
Cjakupata hapo mkuu umemaanisha 100/50Mbps Ni speed ndogo sana... why? maana naona ni 4g iliyoiva kabisa hiyo..
 
Mkuu mm naomba ufafanuzi
Kwa mfano,youtube,facebook,yahoo,au mtandao wowote wenye saver ni lazima wawe na fibre cable yao kuzunguka duniani kote?au wao wanaingizaje mitandao yao kwenye hizo cable?
 
Cjakupata hapo mkuu umemaanisha 100/50Mbps Ni speed ndogo sana... why? maana naona ni 4g iliyoiva kabisa hiyo..
namaanisha kwao isp, kwetu sisi ni speed nzuri ila wewe kwenda kwa isp na wakutengenezee kifurushi chako cha hio speed ni kazi ndogo ambayo kuna asilimia kubwa hawataifanya.
 
Mkuu mm naomba ufafanuzi
Kwa mfano,youtube,facebook,yahoo,au mtandao wowote wenye saver ni lazima wawe na fibre cable yao kuzunguka duniani kote?au wao wanaingizaje mitandao yao kwenye hizo cable?
wananunua bundle na wao,

server zinanunua internet, ndio maana kama umewahi kununua webhosting utaona wanakuwekea limit fulani ya bandwidth ili usimalize sana mb za watu.
 
apo nimekuelewa hizi speed unaweza kuzipata wirelessly so haina haja ya kuchimba mitaro ... Hiv hizi prvate leased lines walizoweka halotel kwenye packages zao sio fibre.. au ndo zile radio links tunazozionaga banks na tass nyingine???
 
wananunua bundle na wao,

server zinanunua internet, ndio maana kama umewahi kununua webhosting utaona wanakuwekea limit fulani ya bandwidth ili usimalize sana mb za watu.
Na vipi simu zetu hizi za saut nazoo zinatumia muunganiko wa waya baada ya signal kuwaa zimefika kwenye mnara tayari kwenda eneo husika ambalo mpiga simu anataka mawasiliano yake yaende
 
Na vipi simu zetu hizi za saut nazoo zinatumia muunganiko wa waya baada ya signal kuwaa zimefika kwenye mnara tayari kwenda eneo husika ambalo mpiga simu anataka mawasiliano yake yaende
mambo ya digitali ndio hadi simu zetu tunazopiga zinapita kwenye hizo fiber, kwenye analog zilikuwa zinapita kwenye zile nyanya za shaba
twilight-532720_1280-1180x664.jpg
 
mambo ya digitali ndio hadi simu zetu tunazopiga zinapita kwenye hizo fiber, kwenye analog zilikuwa zinapita kwenye zile nyanya za shaba
twilight-532720_1280-1180x664.jpg
Mkuu kwenye moja ya comments zako, umesema kwamba meli iligonga cable. Swali ni kwa vipi hilo lilitokea wakati hizo cables huwa zinachimbiwa sakafuni.
 
Wanaweza tumia njia kama
1. Satelite Internet, sema hii haitumiki sana ni kama backup tu.

2. Cable za Chini ya Bahari ama Nchi kavu, angalia hii picha kwa list ya provider
View attachment 1523682
Ukisikia mkonga wa Taifa ndio hizo cable, zinakuwa na bandwidth za maana, zaidi ya Terabyte kwa sekunde, kuna moja hapo inaenda hadi terabit 100. Hizo cable ndio isp wanatumia kuunganisha na nje ya Bara la Africa.
West Africans wamejimilikisha cable za maana.
 
Hapana Aisee, na waya Ndio rahisi zaidi kuliko wireless, zikitandazwa hizo kila eneo internet inakuwa bei ya maandazi,
Bado internet Tz ni gharama sana kulinganisha na vipato vyeti pamoja na kusambaa kwa hizo waya.

Sema ubishi wetu.
 
Mkuu kwenye moja ya comments zako, umesema kwamba meli iligonga cable. Swali ni kwa vipi hilo lilitokea wakati hizo cables huwa zinachimbiwa sakafuni.
Sababu kubwa ni Nanga mkuu, japo inawezekana pia kugongwa incase sehemu ni deep sana na waya hauwezi kwenda chini.
 
Back
Top Bottom