je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,090
- 4,060
Moja kwa moja kwenye mada:
Kama Polepole upo humu kwa akaunti fake, naomba usiache kujibu hili swali langu:
Hivi Watanzania tutaacha lini unafiki wa kujifanya tunaguswa na yanayoendelea nchini ikiwa hatupo katika maslahi hayo? Polepole ni mgeni hapa nchini? Alikaa miaka mingapi Cuba?
Mimi si CCM wala CHADEMA, ila sipendi aina ya watu ambao wana double face kama huyu kiumbe. Alikuwa CCM way back — alikuwa juu sana. Kila kitu anajua yeye; mara shule ya uongozi, mara darasa huru — ilimradi tu, hata haeleweki.
Leo hii mambo yamebadilika. Hayupo tena katika sehemu za umate umate mwingi; anaona wenzie wanafaidi sana. Watu aina ya Polepole mnaweza kuwa mnaongea points nzuri za kufuatwa, ila historia yenu nyuma inawahukumu.
Kwa hiyo, kama kuna wengine mna ideas kama za Polepole, tokeni kabisa CCM mkiwa bado mpo "hot." Sio mkishaanza kuona mambo yatawageuka ndio mnaanza kuja na ujuaji mwingi mbele giza.
Halafu anachofanya Polepole ni kudhani kuwa kila Mtanzania anamsikiliza — ndiyo maana anajipa umuhimu ambao hata hana!
Kwa hiyo, Polepole na genge lako: acheni UKHANITHI.
Kama Polepole upo humu kwa akaunti fake, naomba usiache kujibu hili swali langu:
Hivi Watanzania tutaacha lini unafiki wa kujifanya tunaguswa na yanayoendelea nchini ikiwa hatupo katika maslahi hayo? Polepole ni mgeni hapa nchini? Alikaa miaka mingapi Cuba?
Mimi si CCM wala CHADEMA, ila sipendi aina ya watu ambao wana double face kama huyu kiumbe. Alikuwa CCM way back — alikuwa juu sana. Kila kitu anajua yeye; mara shule ya uongozi, mara darasa huru — ilimradi tu, hata haeleweki.
Leo hii mambo yamebadilika. Hayupo tena katika sehemu za umate umate mwingi; anaona wenzie wanafaidi sana. Watu aina ya Polepole mnaweza kuwa mnaongea points nzuri za kufuatwa, ila historia yenu nyuma inawahukumu.
Kwa hiyo, kama kuna wengine mna ideas kama za Polepole, tokeni kabisa CCM mkiwa bado mpo "hot." Sio mkishaanza kuona mambo yatawageuka ndio mnaanza kuja na ujuaji mwingi mbele giza.
Halafu anachofanya Polepole ni kudhani kuwa kila Mtanzania anamsikiliza — ndiyo maana anajipa umuhimu ambao hata hana!
Kwa hiyo, Polepole na genge lako: acheni UKHANITHI.