tatizo la umeme wa Tanzania ni la kukosa maono tu na uongozi. Leo hii sisi tungeweza kusupply hata asilimia 90 ya wananchi wetu kwa umeme, uwe wa maji, upepo, au jua! Tatizo bado tunafuata traditional models za kusubiri bwawa, then kusambaza nyaya, then watu wapate umeme.
Its a good news but can be a white elephant
....Zaidi, nakubaliana na wewe kuwa wananchi wengi zaidi wakimudu basi faida halisi ndio inaonekana mapema zaidi. Isipokuwa tu kwa sasa walet technologia hizo gharama zitajirekebisha huko mbele ya safari. Binafsi nina pricipal moja kuwa ni bora huduma iwepo nishindwe kulipia kuliko niweze kulipia halafu huduma isiwepo kabisa.
Iwapo watatimiza ahadi zao huu ni muendelezo mzuri kabisa wa hao ambao wameshatangulia kama Vodacom na Zantel kwa technologia tofauti kidogo...wakati huo huo Kenya very soon wanaanza project yao ya Fiber Optic kutoka Emirates hadi Mombasa. Pengine miaka 5 ijayo TTCL au wengine wakichangamka tutakuwa tunabofya bofya hizi keyboards na kubadili website pages kwa spidi ya ajabu.
msiwe na wasi wasi vijana WIMAX ni new technology & very fast na haina complications nyingi kuitandaza ni minara tuu kama cell phone hakuna waya hapo wajomba wa kuchimbiwa mahandaki,mnaotaka kujifunza zaidi just google it utaelewa ninachoongea...wimax ni fungakazi inaweza kufungwa mji mzima wa Dar kwa siku moja tuu wote mkao mtandaoni.
Good news kwa hao wenye access ya hizo wireless computers.Lakini huko Kibondo,Nkasi,Gezaulole,Sekenke,Malinyi,etc what they want to hear ni maji,umeme wa kuaminika,barabara nzuri,madawa hospitalini,nk/ "maisha bora kwa kila Mtanzania" in terms of unafuu wa maisha.
in ICT;
This is called last mile solutions, meaning a link to the end user; Tanzania has never have this problem so far; there are several solutions and several last mile service providers so we have plent alternatives;
Our Main challenge has been the Backbone, while Kenya have connected allmost all towns with high speed media [Fibre Optic] and now connecting the country to the rest of world through fibre to the indian ocean, in Tanzania we are still relying on multiple microwaves links, which are limited with capacity, and this has been installed by each service providers, hence redundance of resources, eg. Voda, Tigo,Celtel,TTCL each have microwave backbone to Arusha, Dodoma etc... this is nonsense,,,
Why; Regulartory alikuwa amelala, sijui kwamba ameamka kitandani hata sasa!!!
Second,
Today, These organisations have un-used fibre optic capacity build by our taxes, TAZARA [DAR-TUNDUMA], TRC[DAR-TABORA], SONGAS[DAR-LINDI], TANESCO[DAR-KIHANSI], [DAR-TANFGA], [DAR-ARUSHA] etc,,, and almost everywhere where the national grid is installed, but till today we have not connected these high way pathways in terms data,,, and we are just waiting for them to be obsolete.
We have big problem guys!!!