Tanzania to go Wireless

Tanzania to go Wireless

..acheni umbeya hapo juu,JK has nothing to do na hii kitu,watu wanaweka hard work,utaalam,pesa zao kwenye line kufanya Biashara na sio serikali ambayo ukiangalia sana ni kikwazo hapo kutokana na sera mbovu za mawasiliano...sasa hapo mavuno ya kikwete yametoka wapi? mnanikumbusha documentary moja niliiona National Geographic ya North Korea,watu vipofu wametibiwa na madaktari wa kutoka US basi walivyopona wakaanza kupiga magoti wanalia eti wanamshukuru The Great Leader...what a bunch of bafoon!

Koba nakubaliana na wewe kuhusu North Korea, hata mimi niliona hiyo broadcast NGC Europe, siku chache zilizopita. Nilishangaa sana kuona wale Wakorea wanamsifu Kim Jong Il kwa kuponywa upofu, badala ya madaktari.
ndio hali hii iliyopo Tanganyika, kusifu utawala kwa kila kitu.
 
Tanzania about to get linked to vital piece of fibre-optic jigsaw

2008-11-14 11:06:13
By Correspondent Hellen Nachilongo


Dream that Africa will one date stop paying high price for trans-continental telecom services due to lack of undersea fibre-optic cables linking the continent with the rest of the world is about to see light of the day.

This is because construction on the USD650-million Seacom undersea fibre-optic cable, which would link southern and eastern Africa with India and Europe by June next year, to bring down connectivity costs on the continent is well under way.

A release from Shanduka Group, a black South African investment firm which owns 12.5 percent in Seacom says some 10,000 km of cable has been manufactured to-date at locations in the USA and Japan.

Tyco Telecommunications (US) Inc., the project contractors, started laying of-shore end cables at landing stations from September.

The process has comprised the cable portions at shallow depths ranging from 15 to 50m where large vessels are not able to operate.

As from last month, laying of the actual cable had began, but final splicing, which involves connecting all cable sections together, will happen in April next year.

Through the statement, Seacom president Brian Herlihy says some important milestones have been reached, including the establishment of landing sites in Mozambique and Kenya.

``Construction has started in Maputo and installation of prefabricated cable station buildings has commenced.

In Mombasa, foundations are beginning for similar prefabricated stations, which are in-country, ready for installation on site in December`` he said.

These containerised cable station modules were shipped from New Jersey to Africa in September.

The remaining cable stations for South Africa and Tanzania are on their way to Africa, it says.

At the moment, the Indian Ocean`s eastern African seabed is the only one in the world without a submarine fiber-optic cable, forcing the region to rely heavily on limited and expensive satellite links.

As a result, countries along the coast and in its hinterland have some of the highest communications costs in the world.

Even though fiber-optic links would drive down communication costs for businesses and consumers, it also could be a big opportunity for entrepreneurs.

Nearly 90 percent of the Seacom cable has been manufactured, with entire network expected to connect all cable sections together off the horn of Africa by June next year.

``We are particularly pleased with the recent groundbreakings in Kenya and Mozambique.

This important milestone gave Seacom an actual land-based footprint that will allow Tyco Telecommunications to install the high-speed optical transmission equipment at these sites soon.

Seacom, which is privately funded and over three quarter African owned (76.25%), would assist communication carriers in south and east Africa through the sale of wholesale international capacity to global networks via India and Europe.

The undersea fibre optic cable system will provide African retail carriers with equal and open access to inexpensive bandwidth, removing the international infrastructure bottleneck and supporting east and southern African economic growth.

Some ten years ago, the UN Chronicle estimated that some USD300m to USD400m were being lost by African countries each year due to lack of direct connectivity throughout the continent.

Eastern Africa is the only missing intercontinental link to undersea fibre optic systems, thus causing large proportion of inter-African telephone traffic to continue to be transited through transit centres outside the continent.

Bandwidth refers to amount of data that can be carried from one point to another, which for fibre optics is huge compared to satellite systems.

Seacom would also be the first cable to provide broadband to countries in east Africa which, at the moment, rely entirely on extremely expensive satellite connections.

It would enable functioning of high definition (HDTV), peer to peer networks, and internet protocol television (IPTV) as well as surging Internet demand.

Pricing will be significantly lower than current satellite or fibre pricing.

Seacom`s efforts would be complemented by yet another important project, the 9,900km East Africa submarine (EASSy) undersea cable which is set to run from Port Sudan in the north to Durban, thus completing the fibre loop surrounding Africa.

EASSy is the most advanced of all the sea cables proposed for the East and Southern African region and it will cost USD248m.

Upon completion, projected in the last quarter of 2009, it will, for the first time, bring faster and affordable internet to about 250 million people in the region.
  • SOURCE: Guardian
 
Mwanakijiji sijui kama ulifuatilia issue ya kuweka optical fibre kutoka Fujaila inayopita Zanzibar hadi cape, hiyo nadhani ilikuwa ndiyo dili ya kuifurahia. Hii sio mbaya, lakini naona kama ni njia nyingine ya kuwakamua watu, wakati teknonolojia sasa inaruhusu mpaka dola 12 kwa mwezi M512. Ingekuwa nia jamba la maana sana kama tungefuatilia development ya hillo.
By the way. ni watanzania wangapi wanatumia umeme, wana access ya computer. leave internet alone, utashangaa kuwa hata Dar zaidiya robo tatu ya wakazi hawajawahi kuona kompyuta. Hata hapa ubungo kwenye cafe ni vichekesho tu maana kuna wenegine hawajui umuhimu wa internet zaidi ya kuangalia picha za ngono na wanamuziki.
Swali linaweza kuja why now, why with this haste?
 
Redline wins national WiMAX network deal in Tanzania
-- Hotspot, Redline Communications and RapidCloud to install WiMAX Forum Certified™ network to cover six major centres --

Toronto, ON, November 14, 2007 -- Redline Communications Inc. (“Redline”) (TSX and AIM: RDL), a leading provider of standards-based WiMAX access and broadband wireless infrastructure products, today announced that Hotspot Business Solutions (“Hotspot”), a regional telecommunications provider in Tanzania, has selected Redline’s RedMAX products for the country’s first national WiMAX network.

Hotspot will launch the first phase of its WiMAX network, on November 15th, delivering commercial WiMAX services to Dar es Salaam, the country’s premier commercial centre, and Mwanza. The first phase will also include the deployment of a RedMAX network in Arusha in December 2007. Hotspot expects to increase the number of its subscribers in these regions by up to 60 per cent over the next two-years. The second phase of the Hotspot RedMAX deployment will begin in January 2008, and will bring WiMAX services to the capital city of Dodoma, as well as Morogoro and Zanzibar. With its six-city WiMAX network, Hotspot will be able to deliver high quality voice, video and data internet services to government agencies, corporations, educational institutions, and residents across Tanzania.

"This is a great milestone in Tanzanian history. By launching WiMAX in the region, we have become a catalyst for positive change,” said Emmanuel Nyaki, Chief Executive Officer of Hotspot. ”With Redline’s extensive experience installing OFDM and WiMAX systems, we will be able to quickly deploy our network and deliver revenue-generating broadband services. In addition, with Redline’s solution, our network can support a much greater capacity of subscribers than with other technologies, allowing a much faster return on our investment – a return we hope to realize within the next eight to 10 months.”


Hotspot selected Redline after a comprehensive review of four leading WiMAX companies. Under the terms of the agreement, the Hotspot WiMAX network will be closely managed and coordinated by RapidCloud Technology (Pty) Ltd (“RapidCloud”), a Premium Redline Certified Partner and major systems integrator that provides local logistical and post-sales operational support to the Hotspot and other RedMAX network installations in the East Africa region. Hotspot and RapidCloud have previously installed Redline’s AN-30e to connect Hotspot’s existing satellite network.


“Hotspot is the latest example of a company that has trialed Redline’s products and chosen RedMAX for its wide scale WiMAX commercial deployment in a fast-growing emerging market,” said Kevin Suitor, Vice President, Marketing and Business Development, Redline. “We expect that with its professional network planning and solid business model, Hotspot will join the many RedMAX customers with commercial deployments that are already generating revenues to fuel the further expansion of their networks.”

“Wireless broadband service providers must balance their customers’ expectations of high-quality broadband service against the reality of its cost,” said Malcolm Clark, Managing Director, RapidCloud. “With RedMAX, Hotspot meets its customer expectations, while avoiding expensive infrastructure investments, allowing for more growth and deployment opportunities.”


To celebrate their WiMAX launch, Hotspot is hosting a press conference on November 15th, 2007 at 6:45 pm at the Kilimanjaro Kempinski hotel in Tanzania. At the event, the following persons will be available to provide information on the Hotspot RedMAX deployment:

Daniel Noni, Operations Manager, Hotspot
Simon Wilder, Managing Director, Europe and Africa, Redline
Malcolm Clark, Managing Director, RapidCloud


My Take:
- If this were to go down as planned Tanzania will make that extra leap towards digital community and make a stride in communication transformation of the country.

- We will make a leap just like we did from analog to cellular phones where by most people in the country leaped the analog dial completely. This means, Tanzania who never had a dial up internet will skip the dial and head directly to wireless

- For us here at JF, the leap and the change will be of particular significance; new membership and exchange of ideas will reach more people than before.

- The only obstacle that the people who provide wireless service will have to overcome is the question of energy. Is there a way of charging laptops through solar power? Is there a way of chargin batteries through a fuel generator?

Je hii teknolojia imeshaanza kufanya kazi kwenye hiyo Miji lengwa? Tumegeeni mlioko huko maana zaidi ya kusoma hii article miezi kadhaa iliyopita sijasikia tena.
 
tatizo la umeme wa Tanzania ni la kukosa maono tu na uongozi. Leo hii sisi tungeweza kusupply hata asilimia 90 ya wananchi wetu kwa umeme, uwe wa maji, upepo, au jua! Tatizo bado tunafuata traditional models za kusubiri bwawa, then kusambaza nyaya, then watu wapate umeme.

Mwanakijiji:

Kuna mchumi mmoja anasema kuwa upatikanaji wa cellular phones kwa nchi zinazoendelea umechangiwa sana na mashirika binafsi. Lakini kama usambazaji wa cellular phones ungeachiwa serikali zetu tukufu kama vile tulivyowaachia usambaji wa simu za waya, basi ni sehemu ndogo sana ya wananchi ingefaidika na matumizi ya technologia hii. Tukumbuke wakati simu za waya zinatawala ni chini ya simu 100,000 zilikuwa zimeunganishwa. Na hesabu kamili ni kama 40,000 hivi.

Model ya mabwana bado inatusumbua. Lakini kwa taarifa zilizopo ni kuwa suala la matumizi ya energy kwa nchi za kwetu lingeweza kutatuliwa vizuri sana iwapo nchi zetu zingeweza kutatua migogoro ya kivita. Nchi kama DRC (Zaire) ina uwezo wa kuzalisha umeme wa ku-power nchi zote za Africa zilizopo kusini mwa Ikweta na beyond.

Tusitoke kwenye mada. suala la mawasialo ya wireless linaenda sambasamba na maendeleo katika masuala ya computer. Hivyo technologia ya computer inavyokuwa na kupunguza gharama za technologia zinazotegemea computer machinery kama vile mawasiliano, ndivyo huduma za wireless zitakavyozidi kupungua.

Kwa maoni yangu hiki ni kipindi kizuri kwa applications za elimu, serikali na biashara kuota mizizi. Siku zote tunafikra za mtu kuwa na laptop kijijini na kuona kuwa hana uwezo wa kutumia computer. Lakini ukifikiri hospital za wilaya zisizo na wataalamu wa kutosha zinaweza kufaidika zaidi kwa kutumia mawasiliano kama haya ku-send X-ray images kwa wataalamu walioko katika hospital kubwa.

Watanzania tupanue kiwango cha matumizi ya mawasialino.
 
Mwanakijiji:

Kuna mchumi mmoja anasema kuwa upatikanaji wa cellular phones kwa nchi zinazoendelea umechangiwa sana na mashirika binafsi. Lakini kama usambazaji wa cellular phones ungeachiwa serikali zetu tukufu kama vile tulivyowaachia usambaji wa simu za waya, basi ni sehemu ndogo sana ya wananchi ingefaidika na matumizi ya technologia hii. Tukumbuke wakati simu za waya zinatawala ni chini ya simu 100,000 zilikuwa zimeunganishwa. Na hesabu kamili ni kama 40,000 hivi.

Model ya mabwana bado inatusumbua. Lakini kwa taarifa zilizopo ni kuwa suala la matumizi ya energy kwa nchi za kwetu lingeweza kutatuliwa vizuri sana iwapo nchi zetu zingeweza kutatua migogoro ya kivita. Nchi kama DRC (Zaire) ina uwezo wa kuzalisha umeme wa ku-power nchi zote za Africa zilizopo kusini mwa Ikweta na beyond.

Tusitoke kwenye mada. suala la mawasialo ya wireless linaenda sambasamba na maendeleo katika masuala ya computer. Hivyo technologia ya computer inavyokuwa na kupunguza gharama za technologia zinazotegemea computer machinery kama vile mawasiliano, ndivyo huduma za wireless zitakavyozidi kupungua.

Kwa maoni yangu hiki ni kipindi kizuri kwa applications za elimu, serikali na biashara kuota mizizi. Siku zote tunafikra za mtu kuwa na laptop kijijini na kuona kuwa hana uwezo wa kutumia computer. Lakini ukifikiri hospital za wilaya zisizo na wataalamu wa kutosha zinaweza kufaidika zaidi kwa kutumia mawasiliano kama haya ku-send X-ray images kwa wataalamu walioko katika hospital kubwa.

Watanzania tupanue kiwango cha matumizi ya mawasialino.

Zakumi,

Kama kutuma x-ray moja kuna kula 50,000 kwenye pay as you go internet connection, unafikiri ni hospitali ngapi zitaweza?

Sambamba na kukua kwa matumizi ya mobiles ni muhimu mno kwa nchi kuwa na mtandao wa Internet ambao ni cheap and fast.

Serikali ingefanya la maana kama ingehakikisha backbone network imara inajengwa kwa kushirikiana na makampuni yote na kuondoa hiyo ya kila kampuni na ka network kake fake.

Hiyo itakuwa hatua ya kwanza baada ya hapo ni kuhakikisha nchi inaunganishwa na high optical fibres kwenda huko duniani kwa bei poa na quality ya hali ya juu.

Nakubaliana na wewe kwamba kukua kwa matumizi ya Internet hasa kwenye mashule, hospitali na halmashauri za wilaya kutaongeza ufanisi katika shughuli mbalimbali tunazofanya. Njia moja ya kupambana na uhaba wa wataalam ni kuwatumia vizuri wale wachache tulio nao. Mwalimu mzuri wa Kibaha anaweza kutumia mtandao kuelemisha wanafunzi wa shule mbalimbali nchini.

Hili litawezekana kama tu nchi itaamua kujikita kwenye quality badala ya quantity. Hakuna haja ya kusema watu milioni tano wanatumia internet, kumbe wanachofanya ni kutuma na kupokea emails tu. Ukijaribu mambo makubwa zaidi ya hapo, unasubiri nusu saa ku download document moja kubwa.

Robo ya fedha walizochota mafisadi wa EPA zingeweza kutengeneza backbone network ya maana kwa nchi nzima.
 
Zakumi,

Kama kutuma x-ray moja kuna kula 50,000 kwenye pay as you go internet connection, unafikiri ni hospitali ngapi zitaweza?

Sambamba na kukua kwa matumizi ya mobiles ni muhimu mno kwa nchi kuwa na mtandao wa Internet ambao ni cheap and fast.

Serikali ingefanya la maana kama ingehakikisha backbone network imara inajengwa kwa kushirikiana na makampuni yote na kuondoa hiyo ya kila kampuni na ka network kake fake.

Hiyo itakuwa hatua ya kwanza baada ya hapo ni kuhakikisha nchi inaunganishwa na high optical fibres kwenda huko duniani kwa bei poa na quality ya hali ya juu.

Nakubaliana na wewe kwamba kukua kwa matumizi ya Internet hasa kwenye mashule, hospitali na halmashauri za wilaya kutaongeza ufanisi katika shughuli mbalimbali tunazofanya. Njia moja ya kupambana na uhaba wa wataalam ni kuwatumia vizuri wale wachache tulio nao. Mwalimu mzuri wa Kibaha anaweza kutumia mtandao kuelemisha wanafunzi wa shule mbalimbali nchini.

Hili litawezekana kama tu nchi itaamua kujikita kwenye quality badala ya quantity. Hakuna haja ya kusema watu milioni tano wanatumia internet, kumbe wanachofanya ni kutuma na kupokea emails tu. Ukijaribu mambo makubwa zaidi ya hapo, unasubiri nusu saa ku download document moja kubwa.

Robo ya fedha walizochota mafisadi wa EPA zingeweza kutengeneza backbone network ya maana kwa nchi nzima.

Mtanzania:

Makampuni binafsi yatafanya kazi vizuri zaidi. Siku zote model iliyokuwepo ni kuwa yule anayejenga na ku-maintain infrastucture ni lazima awe service provider. Hii dhana sio muhimu katika biashara. Hivyo kuna uwezekano mkubwa kwa serikali kutoa tenda kwa kampuni binafsi kujenga na ku-maintain infrastucture kwa muda fulani. Service providers wakatumia hizo infrastucture kutoa service. Lakini U-Richmonduli usitumike.

Matumizi makubwa ya internet ni locally. Na matumizi yaliyo locally hayaitaji backbone ya maana. Internet ilipoanza ni coaxil cables zilizo-play part. Connection kati ya Hospital ya wilaya ya Geita na Hospital kuu ya Bugando haziitaji backbone ya fibre.

Internet kwa Tanzania ni lazima watumiaji wa-connect na servers zilizopo nje ya Tanzania. Mobile phones zimeweza kujikita vizuri kwa sababu watumiaji wengi wa local na hawatumii servers au connection zilizopo nje. Na kwa mtaji huu applications za mashule, mabenki, hospitals na utawala zitakuwa local (ndani ya Tanzania) na zinaweza kutumia infrastucture isiyo na gharama kubwa sana.

Siku zote tumekuwa watu wa kusubiri mpaka vitu vyote vikomae ndipo tuanze.
 
Back
Top Bottom