wajimini nina swali,nikiangalia taifa stars kila mchezaji alikua na kitambaa cheusi mkono wa kulia,je tulikua twaomboleza au ndo mambo ya chenge hayo walikua wakitafuta siti uwanjani??!!?
maan anishasikiaga african teams hufanyaga mambo hayo
Mtaalam,
Wachezaji wa Taifa Stars walivaa kitambaa cheusi mkononi kuomboleza kifo cha mwanasoka mahiri Maulid Dilunga pia wali observe one minute silence b4 Ko