Hivi waamuzi wa Tanzania mnaona jinsi dangerous play na reckless play zinavyoadhibiwa Kwa Kadi nyekundu?

Bila bila

JF-Expert Member
Dec 20, 2016
21,496
37,790
Naamini waaamuzi na waamuzi wasaidizi wa Tanzania mnaangalia AFCON Kwa lengo la kujifunza. Mechi mbili za Leo yaani Senegal vs Gambia na Cameroon Vs Guinea zimewapa funzo adhabu gani anapaswa kupewa mchezaji anayehatarisha usalama wa mwenzake Kwa kucheza madhambi bila tahadhari.
 
Daaah Aucho kwenye kile kiwiko ilikuwa ni straight red card sema huruma za refa zikamfanya apewe yellow

Sometimes marefa wanafanya maamuzi kwa hisia wanaamini haukuwa na intention ya kumfanyia rafu mpinzani ni coincidence tu imetokea katika kupambania timu yako
 
Marefa wa Africa ni wale wale tu kama kuna refa aliweza kumaliza mechi dakika ya 85 Tena kwenye Mechi kubwa kuna Nin apo
 
Marefa wa Africa ni wale wale tu kama kuna refa aliweza kumaliza mechi dakika ya 85 Tena kwenye Mechi kubwa kuna Nin apo
Mkuu wakati mwingine tunachokiona sisi ni tofauti na wanachokiona hao jamaa bodi za marefaree za CAF na FIFA Huyu refa alikua kati ya waamuzi wa World Cup pamoja na ule utumbo wake kwenye AFCON na nakumbuka mpaka Sky Sports walilisema.
 
Daaah Aucho kwenye kile kiwiko ilikuwa ni straight red card sema huruma za refa zikamfanya apewe yellow
Kuna ile nyingine ya Kapombe alimchezea Mudathir, na ile ya Inonga kwa Sureboy. Yote ni kwa sababu hatuna VAR yapo matukio mengi yanahatarisha wachezaji yanachukuliwa poa ila kama tutapata jicho la pili kali zaidi itasaidia
 
Daaah Aucho kwenye kile kiwiko ilikuwa ni straight red card sema huruma za refa zikamfanya apewe yellow

Sometimes marefa wanafanya maamuzi kwa hisia wanaamini haukuwa na intention ya kumfanyia rafu mpinzani ni coincidence tu imetokea katika kupambania timu yako

Lkn c amepewa adhabu kafungiwa mechi tatu
Au unakumbusha rafu ya Inonga mechi ya Ngao ya Hisani y 2022
 
Kuna ile nyingine ya Kapombe alimchezea Mudathir, na ile ya Inonga kwa Sureboy. Yote ni kwa sababu hatuna VAR yapo matukio mengi yanahatarisha wachezaji yanachukuliwa poa ila kama tutapata jicho la pili kali zaidi itasaidia
Dah kushabikia mpira then uwe mbongo noma sana yaani unakuwa bias tu muda wote.....
 
Naamini waaamuzi na waamuzi wasaidizi wa Tanzania mnaangalia AFCON Kwa lengo la kujifunza. Mechi mbili za Leo yaani Senegal vs Gambia na Cameroon Vs Guinea zimewapa funzo adhabu gani anapaswa kupewa mchezaji anayehatarisha usalama wa mwenzake Kwa kucheza madhambi bila tahadhari.
Wataonea wapi wakati muda huo wa mpira wapo bar wanalamba maji!
 
Dah kushabikia mpira then uwe mbongo noma sana yaani unakuwa bias tu muda wote.....
Kwa hiyo hutaki Simba iongelewe? Mbona jamaa yako kaiongelea Yanga hujasema kama unavyojisemesha hapa. Btw nimetoa maoni ya kimpira kulingana na mada mezani naona wewe imekugusa pabaya
 
Back
Top Bottom